Kuna aina ya watu hawarogeki

Kuna aina ya watu hawarogeki

Kaka mkubwa naona wairaq wamekinukisha... Bado nina mpango wa kufika kule mahali kama unakumbuka

Jr

Aisee hapo ni mgogoro tu
Naona Trump anailaumu Iran
Bro tuombe hali ya vita na machafuko yaishe hapo maana wana historia kubwa sana na hawakustahili hivyo
Kila la kheri Mkuu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom