Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,787
Mkuu pia kuna mchawi mmoja mwandamizi ambaye namchumbia mwanawe ambaye naye ni mchawi mshiriki msaidizi,naweza kupata instruction manual ili kurahisisha process?
Mkuu pia kuna mchawi mmoja mwandamizi ambaye namchumbia mwanawe ambaye naye ni mchawi mshiriki msaidizi,naweza kupata instruction manual ili kurahisisha process?
Sijawahi na wala mi si mchawiKuroga?
Hicho kitu kinachoitwa zongo hakipo?Hivi vitu vingi vinavyohusika na vchawi zimebaki story tuu
Zongo ipo na inafanywa sana mkoani Tanga ni uchawi tu, tena huo haulogi mtoto tu hadi mtu mzima. Nimezaliwa Tanga na kabila ni mdigo, kijijini ilipo asili ya baba yangu watu wanaogopa kukaa kifua wazi kisa zongo.Mshana watoto wanarogeka?
Kuna kitu nasikia kinaitwa zongo ila mi sijui kama kweli yanaexist? Hii kitu ni kweli? Ni uchawi?
Naomba kurogwaSisi wasukuma huwa tuna roga hata kama huroheki utarogeka tu
Zongo lipo na ni uchawi wa kitanga, na unakaa machoni ukipigwa zongo ama tumbo litauma sana ama utaharisha sana tiba yake ni mavumba yanaitwa makataHicho kitu kinachoitwa zongo hakipo?
Make duh kuna mdada ye mwanae akilia anasema kapigwa zongo, akikataa kula kapigwa zongo, ndo nikamuuliza zongo ni nini, ipo au imani tu?
Bonge LA nyimbo toka kwa VanesaNaomba uniroge naomba unirogee hahaha Mshana story zako bwana daaaaa
Hakuna kilichopo bila kuwana mantiki.Mantiki ni kitu kingine na uwepo wake ni kitu kingine
Nina elimu kidogo juu ya hilo ndo mana nasema hvo,,ila km wewe utakua ni muislam jiulize swali kwann mtume Muhammad(S.A.W) aliweza kurogwa na ilihali ana ulinzi maalum kutoka kwa Allah.Okay sasa umeajuaje kuwa hakuna kisichorogeka?
Hakuna kiumbe asierogeka,kwa taarifa yako hata chuma kinarogeka
hapana babuNgoja nikutesti na hii
![]()
Mi sio mchawi mkuu
Hapana mimi si MuislamNina elimu kidogo juu ya hilo ndo mana nasema hvo,,ila km wewe utakua ni muislam jiulize swali kwann mtume Muhammad(S.A.W) aliweza kurogwa na ilihali ana ulinzi maalum kutoka kwa Allah.
Hayo Matangazo mmewekewa wanaume wa dar
Umepata tenda ya kusambaza mabango nin
Basi elewa kurogwa kupo na ni moja kati ya mtihani na unaweza kumfika mtu yyte.Hapana mimi si Muislam
Na kama una elimu kidogo basi jitahidi usome zaidi
Mi sio mchawi mkuu
Hapana si kweli Nina uzoefu kwenye hili kielimu na kiutafiti, si kila mtu anaweza kuwa mhanga wa mchawi na ukicheki hapo nimeainisha kwa uwazi kabisaBasi elewa kurogwa kupo na ni moja kati ya mtihani na unaweza kumfika mtu yyte.