DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,038
- 45,611
Unapokuwa na Familia Usiseme Kazi yako ni kuwapa Chakula tu na Sehemu ya kulala.
Unapoitwa Baba au Mama Lengo kubwa sio kumpa mtoto Chakula au Sehemu ya kulala , Maana kila mtu anaweza kufanya hivyo.
Unapokuwa na Familia tenga Muda wa kumjenga mtoto wako kumpatia MAARIFA ya kumjenga Kama kuhakikisha anakuwa Wiser , smater, God fearing and Etc.
Hakikisha Mwanao unapata Muda wa kumjenga kiakili, kihisia na kiroho ili aje kuwa mtu Bora.
Nasema hivi maana Kuna Watu wanajiita Baba na wengine Mama lakini hawakustahili kuwa Baba Mama maana wao jinsi wanalea watoto wamekariri kulea ni kutoa chakula na sehemu ya kulala tu.
Na mwisho wamezalisha taifa bovu.
Unapoitwa Baba au Mama Lengo kubwa sio kumpa mtoto Chakula au Sehemu ya kulala , Maana kila mtu anaweza kufanya hivyo.
Unapokuwa na Familia tenga Muda wa kumjenga mtoto wako kumpatia MAARIFA ya kumjenga Kama kuhakikisha anakuwa Wiser , smater, God fearing and Etc.
Hakikisha Mwanao unapata Muda wa kumjenga kiakili, kihisia na kiroho ili aje kuwa mtu Bora.
Nasema hivi maana Kuna Watu wanajiita Baba na wengine Mama lakini hawakustahili kuwa Baba Mama maana wao jinsi wanalea watoto wamekariri kulea ni kutoa chakula na sehemu ya kulala tu.
Na mwisho wamezalisha taifa bovu.