ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 16,697
- 39,154
Karibu tulee Nina nafasi ya kumiliki mchepuko mmoja🤣🤣🤣🙌
Karibu tulee Nina nafasi ya kumiliki mchepuko mmoja🤣🤣🤣🙌
Dah nimecheka knoma 😂Dizaini hii ya watu ndo wale wanaodanganyika kwa spika za dj maki za "Jipatie laini ya chuo" kwa chuo gani ulichosomea? Shwain
Tena sio kidogo mtu wanguJamaa kazingua sana mkuu
Hapo sijaona utofauti wa kazi za lain ya Voda, Yas na TTCL, labla kwakuwa umeandika kwa Kingereza ndo mana sielewi.Nina sim card 4, na kila sim card ina matumizi yake official.
Voda - official kwa matumizi ya ofisi na watu wa ofisini - official office contact.
Airtel - For family and friends and perdonal social issues
Yas - Social issues na some specific issues za research nk
Ttcl - for specific issues za kiofisi
sio ujinga kua na simcard nyingi, ni kawaida tu, ni vile wengine hatupendi kuchanganya mambo binafsi, ya kiofisi, ya marafiki na ya familia, na zote 4 kila moja iko kwenye simu yake na inatumika kwa muda wake, sio naenda kazini nabeba zote kwenye pochi, noo.
Nyumbani 1Hata mimi acha niwe, mshamba, ninazo line tatu, na zote ziko hewani.
.Kwa mtu anae safiri safiri hii inasaidia sana, maana kuna maeneo unakuta mtandao fulani unasumbua.
Mtu mwenye line nyingi namuonaga tapeli au kutojiaminiDah nimecheka knoma 😂
Mm nna namba moja ya Voda tuu tangu siku ya kwanza kuanza kutumia simu mpaka leo hii.
Binafsi pia hua sipendi kuwa na si card za mitandao mingi, pia sipendi kusave save kila mara namba za mtu mmoja na hua namuona anazingua mtu mwenye namba nyingi ila ndo hvy tuu huwezi kumpangia mtu namna ya kuishi.
Yah ht Mm hua siwaelew hawa watu, Mm niliwahi kujaribu kuwa na lain ya pili ila nikawa naona uvivu kwenye kuanza kujitambulisha hvy nikaachana nayo, mpaka leo h nna lain moja.Mtu mwenye line nyingi namuonaga tapeli au kutojiamini
Me Nina airtel tu, japo wanazingua ila Huwa siwahami
Huu sasa ni uhalifu😃Ninazo 5😂
Nina Whattssapp mbili, upo hapo?Watu wa namna hii wanaudhi sana kama sio kusikitisha. Unakutana na mtu ana namba ya kila mtandao. Day one kakupa let say namba yake ya Voda, wakati anarudisha message unashangaa namba nyingine (Yas), unavumilia, unasave
Kesho yake unashangaa kuona namba ngeni inaingia kwa simu (Airtel), kwa sisi wenye vipengele hapa mjini huwa hatupokei namba ngeni kirahisi rahisi. Baada ya 40 missed calls unaamua kumpokelea, kumbe ni Athumani Majaba, halafu analaumu eti hupokei simu
Kwenye miamala anakutumia namba let say ya Halotel "Utaskia Tuma Humu", majibu ya kuonesha kuwa muamala umefika yanakuja kwa laini ya TTCL
Huo ni uzamwamwa! Nowdays serikali imethibiti utofauti wa huduma za mawasiliano ya mitandao ya simu. Kwa kifupi hakuna mtandao bora kumzidi mwingine, zote ni sawa, MB 245 za Yas ni kwa Tsh. 500 vivyo hivyo kwa mitandao mingine yote, au dizaini hii ya watu ndo wale wanaodanganyika kwa spika za dj maki za "Jipatie laini ya chuo" kwa chuo gani ulichosomea? Shwain
Hakuna kitu kinachonikera na kuchafua simu yangu kama kusave majina Juma Voda, Juma 2, Juma 3, J4 nikiwa na maana ya mtu mmoja
Endelea kutuona matapeli, laini yangu niliyokuwa natumia Uingereza naitumia mpaka Tanzania.Mtu mwenye line nyingi namuonaga tapeli au kutojiamini
Me Nina airtel tu, japo wanazingua ila Huwa siwahami
wala hakuna utofauti, ni uamuzi tu na for security reasonsHapo sijaona utofauti wa kazi za lain ya Voda, Yas na TTCL, labla kwakuwa umeandika kwa Kingereza ndo mana sielewi.
Sikujuaga watu wanakwazika hadi kwa hili😀😀Watu wa namna hii wanaudhi sana kama sio kusikitisha. Unakutana na mtu ana namba ya kila mtandao. Day one kakupa let say namba yake ya Voda, wakati anarudisha message unashangaa namba nyingine (Yas), unavumilia, unasave
Kesho yake unashangaa kuona namba ngeni inaingia kwa simu (Airtel), kwa sisi wenye vipengele hapa mjini huwa hatupokei namba ngeni kirahisi rahisi. Baada ya 40 missed calls unaamua kumpokelea, kumbe ni Athumani Majaba, halafu analaumu eti hupokei simu
Kwenye miamala anakutumia namba let say ya Halotel "Utaskia Tuma Humu", majibu ya kuonesha kuwa muamala umefika yanakuja kwa laini ya TTCL
Huo ni uzamwamwa! Nowdays serikali imethibiti utofauti wa huduma za mawasiliano ya mitandao ya simu. Kwa kifupi hakuna mtandao bora kumzidi mwingine, zote ni sawa, MB 245 za Yas ni kwa Tsh. 500 vivyo hivyo kwa mitandao mingine yote, au dizaini hii ya watu ndo wale wanaodanganyika kwa spika za dj maki za "Jipatie laini ya chuo" kwa chuo gani ulichosomea? Shwain
Hakuna kitu kinachonikera na kuchafua simu yangu kama kusave majina Juma Voda, Juma 2, Juma 3, J4 nikiwa na maana ya mtu mmoja
Hapana ni kwa mujibu wa sheriaHuu sasa ni uhalifu😃