Kumiliki laini zaidi ya moja ni ushamba uliokithiri

Kumiliki laini zaidi ya moja ni ushamba uliokithiri

Sie tunaosafiri hapa na pale kwa mishe zetu tuna laini mitandao yote na zote ziko hewani. Simu mbili tu zinabeba laini sita. Kuna maeneo mtandao fulani haipatikani inabidi utumie mtandao unaopatikana eneo hilo
 
Unalaumu vitu usivyovijua. Sisi tunaosafiri mara kwa mara maeneo ya vijijini na tunahitaji network ili tufanye kazi unajua umuhimu wa kuwa na namba za simu zaidi ya moja. Nakupa mfano,
Ukiwa Morogoro maeneo ya Mvumi, Kilosa voda haifanyi kazi vizuri.....unashindwa kufungua kifile cha 20KB.

Ukiwa Mngeta meneo ya Mchombe na Ikule.....voda haishiki kabisa. Hata kupiga simu huwezi.

Ukiwa Malinyi maeneo ya Njiapanda Songea ndio kabisaaaaa, sio voda, halitel, airtel wala Yas. Kule ni TTCL labda,tena kwa Mbinde. Kuna siku niliteseka sana, mwenyeji wangu aliniacha mahali akaniambia yeye anatangulia lodge akanitajia jina.

Nilipohitaji kwenda lodge, nikasahau jina la lodge. Napiga simu hazitoki, yeye pia hanipati. Nimeita boda boda najaribu kumuuliza majina ya lodges lakini wapi.

Usilaumu mtu kuwa na namba zaidi ya moja. Kuna circumstances.
 
Watu wa namna hii wanaudhi sana kama sio kusikitisha. Unakutana na mtu ana namba ya kila mtandao. Day one kakupa let say namba yake ya Voda, wakati anarudisha message unashangaa namba nyingine (Yas), unavumilia, unasave

Kesho yake unashangaa kuona namba ngeni inaingia kwa simu (Airtel), kwa sisi wenye vipengele hapa mjini huwa hatupokei namba ngeni kirahisi rahisi. Baada ya 40 missed calls unaamua kumpokelea, kumbe ni Athumani Majaba, halafu analaumu eti hupokei simu

Kwenye miamala anakutumia namba let say ya Halotel "Utaskia Tuma Humu", majibu ya kuonesha kuwa muamala umefika yanakuja kwa laini ya TTCL

Huo ni uzamwamwa! Nowdays serikali imethibiti utofauti wa huduma za mawasiliano ya mitandao ya simu. Kwa kifupi hakuna mtandao bora kumzidi mwingine, zote ni sawa, MB 245 za Yas ni kwa Tsh. 500 vivyo hivyo kwa mitandao mingine yote, au dizaini hii ya watu ndo wale wanaodanganyika kwa spika za dj maki za "Jipatie laini ya chuo" kwa chuo gani ulichosomea? Shwain

Hakuna kitu kinachonikera na kuchafua simu yangu kama kusave majina Juma Voda, Juma 2, Juma 3, J4 nikiwa na maana ya mtu mmoja
Nilicho gundya wewe ndiye mshamba
 
Watu wa namna hii wanaudhi sana kama sio kusikitisha. Unakutana na mtu ana namba ya kila mtandao. Day one kakupa let say namba yake ya Voda, wakati anarudisha message unashangaa namba nyingine (Yas), unavumilia, unasave

Kesho yake unashangaa kuona namba ngeni inaingia kwa simu (Airtel), kwa sisi wenye vipengele hapa mjini huwa hatupokei namba ngeni kirahisi rahisi. Baada ya 40 missed calls unaamua kumpokelea, kumbe ni Athumani Majaba, halafu analaumu eti hupokei simu

Kwenye miamala anakutumia namba let say ya Halotel "Utaskia Tuma Humu", majibu ya kuonesha kuwa muamala umefika yanakuja kwa laini ya TTCL

Huo ni uzamwamwa! Nowdays serikali imethibiti utofauti wa huduma za mawasiliano ya mitandao ya simu. Kwa kifupi hakuna mtandao bora kumzidi mwingine, zote ni sawa, MB 245 za Yas ni kwa Tsh. 500 vivyo hivyo kwa mitandao mingine yote, au dizaini hii ya watu ndo wale wanaodanganyika kwa spika za dj maki za "Jipatie laini ya chuo" kwa chuo gani ulichosomea? Shwain

Hakuna kitu kinachonikera na kuchafua simu yangu kama kusave majina Juma Voda, Juma 2, Juma 3, J4 nikiwa na maana ya mtu mmoja
Kuna nyakati mtandao A huwa na shida, mtandao B utasaidia,kuna sehemu utakosa huduma kwa mtandao A mtandao C utasaidia, tatizo maisha yako yote ni kutoka mavurunza,panda mwendokasi nenda kkoo rudi
 
Back
Top Bottom