Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,667
- 3,584
Kama unavojione mamaa To yeye... Hapa hata sijui navitumia na nani??❤️Hayo ndiyo mambo sasa...
Nitakucheck nianze kuvaa Abaya mie
Kama unavojione mamaa To yeye... Hapa hata sijui navitumia na nani??❤️Hayo ndiyo mambo sasa...
Nitakucheck nianze kuvaa Abaya mie
Yeah sure mkuu ...nimepokea ushauri...😂🤣 Utaipata line ambayo haijakatwa imekamilika
Siyo vizuri kutumia line zaidi ya 1
Tumia 🎤
Nimeipenda hiiAcha ushamba wewe. Save jina moja then add namba zake zote mbona simple tu.
ngara23 nishatekwa....yaan kwishaaKama unajione mamaa To yeye... Hapa hata sijui navitumia na nani??
View attachment 3300866
🤣😂Pesa zangu ziko bank, zingine shambani me ni tajiri asiye na kelele.ngara23 nishatekwa....yaan kwishaa
Hapa kuku analiwa kwa Kuona kadi yenye maandishi tu.
Na wanaume mmejigundulia sana sikuhizi...ana tamaa na mwanaume mwenye gari bas wajipitisha nalo mbele yake..wampa lift wamgongea humohumo then kwenu🥴
🤣🤣Na unavyojua kufukuza wake,mi utanifurusha na tutoto twangu...peleka kwa baba yaoo🤒!!!🤣😂Pesa zangu ziko bank, zingine shambani me ni tajiri asiye na kelele.
Hiyo ni pesa ya bodaboda
Hapana me kama Fela tu nampenda mkubwa na wanawe🤣🤣Na unavyojua kufukuza wake,mi utanifurusha na tutoto twangu...peleka kwa baba yaoo🤒!!!
🤣🤣🤣🙌Hapana me kama Fela tu nampenda mkubwa na wanawe
To yeye hulaliiingara23 nishatekwa....yaan kwishaa
Hapa kuku analiwa kwa Kuona kadi yenye maandishi tu.
Na wanaume mmejigundulia sana sikuhizi...ana tamaa na mwanaume mwenye gari bas wajipitisha nalo mbele yake..wampa lift wamgongea humohumo then kwenu🥴
Jamaa kazingua sana mkuuMnao sema ushamba huenda hamjakutana na changamoto za mawasiliano,binafsi nina tigo na voda nikajisemea hizi sasa basi
Lkn nilikuwa songea sehemu moja karibia na msumbiji huko ni halotel na airtel tu,so ikanibidi nichukue airtel
Na kwakuwa nayo niliitumia na kujulikana kwa kiasi flan nimeamua kuishi nayo
Kwahiyo inategemeana na mazingira ya wakati huo
Nalala saa 6 Kuna vitu nafanyaTo yeye hulaliii
Naunva mkono..ni ushenzi sana kwa matendo hayo lkn sio ushenzi kumiliki namba zaidi ya moja.Watu wa namna hii wanaudhi sana kama sio kusikitisha. Unakutana na mtu ana namba ya kila mtandao. Day one kakupa let say namba yake ya Voda, wakati anarudisha message unashangaa namba nyingine (Yas), unavumilia, unasave
Kesho yake unashangaa kuona namba ngeni inaingia kwa simu (Airtel), kwa sisi wenye vipengele hapa mjini huwa hatupokei namba ngeni kirahisi rahisi. Baada ya 40 missed calls unaamua kumpokelea, kumbe ni Athumani Majaba, halafu analaumu eti hupokei simu
Kwenye miamala anakutumia namba let say ya Halotel "Utaskia Tuma Humu", majibu ya kuonesha kuwa muamala umefika yanakuja kwa laini ya TTCL
Huo ni uzamwamwa! Nowdays serikali imethibiti utofauti wa huduma za mawasiliano ya mitandao ya simu. Kwa kifupi hakuna mtandao bora kumzidi mwingine, zote ni sawa, MB 245 za Yas ni kwa Tsh. 500 vivyo hivyo kwa mitandao mingine yote, au dizaini hii ya watu ndo wale wanaodanganyika kwa spika za dj maki za "Jipatie laini ya chuo" kwa chuo gani ulichosomea? Shwain
Hakuna kitu kinachonikera na kuchafua simu yangu kama kusave majina Juma Voda, Juma 2, Juma 3, J4 nikiwa na maana ya mtu mmoja