Kumetangazwa hali ya hatari kimya kimya? Huu utoaji taarifa za Corona ni kinyume cha Sheria. Watanzania tuna Haki ya kupata habari za kweli

TUEPUKE HOFU!!!.Ni hatari kuliko corona yenyewe kikubwa tahadhari ichukuliwe ,naiyamini serikali kwa ujumla binafsi nimemelewa Sana raisi Magufuli

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Wanabodi, kila nipatapo fursa, huwa nawaletea zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huwa zinachapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano.

Ili kuepuka kuitwa popote na kuhojiwa kuwa nimesema kitu fulani, yaani statements, makala hizi huja kwa mtindo wa maswali, yaani questions nikihoji tuu and no statements zozote. Jumatano ya leo, nazungumzia hiki tkinachoendelea huku Tanzania Bara, katika utoaji wa update ya ugonjwa wa Corona ambapo updates inapaswa kutolewa daily, leo ni siku ya 5 tangu last update!.

Declaration of Interest
Unapoibua hoja nzito za kitaifa kama hii yenye maslahi kwa taifa, wakati taifa lako liko vitani, na limeisha tangaza vita, kama hoja hiyo itakwenda kinyume cha status quo, unaweza kuonekana kama ni msaliti wa vita hii, hivyo ni muhimu ku decrare interest kuwa huu sio usaliti, bali ndiko kulisaidia taifa lako. Naomba kusisitiza mimi Paskali wa JF, naunga mkono msimamo wa rais Magufuli wa kutofanya lockdown na kuhumiza Watanzania tuendelee kuchapa kazi kwa kuzingatia maelekezo ya kitaalamu ya kuzuia maambukizi, na kumuunga mkono rais Magufuli kuwa kwenye janga hili la Corona, Watanzania tusitishane kuhusu haka ka Corona ni ka ugon ni ka ugonjwa kadogo tuu, ila inapofikia hali ya kuongezeka kwa kasi ya maambukizi na kuanza kutokea kwa vifo, kwa watu kufa, hivyo sasa, Corona, the situation now bado sio ile ile ya Ka Corona, kama watu wanakufa, haka sio kaugonjwa kadogo, ni janga, na maadam kuna vifo, then sio tena tusitishane, bali tuambiane ukweli kuwa Corona ni ugonjwa hatari, unatisha!, na watu wanakufa kweli, ila sio kila anayekufa ni Corona!.

Huu ukimya wa updates kwa siku 5 unazua maswali, je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, tumetangaziwa ka hali ya hatari ka kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi?. Nimeuliza hivi kufuatia kutokuwepo kwa update yoyote ya hali ya ugonjwa wa Corona upande wa Tanzania bara for 5 days, tangu baada ya Rais Magufuli kulihutubia Taifa akitokea Ikulu ya Chato!

Hiki kinachoendelea cha kutokutolewa kwa update yoyote for 5 days, kingeweza kufanyika tuu endapo taifa liko kwenye hali ya hatari ambayo inao utaratibu wake kuitangaza, na haiwezi kutangazwa kimya kimya, tena kwa sababu janga hili ni la taifa zima, hali ya hatari haiwezi kutangazwa upande mmoja tuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kwa huku upande wa bara tuu pekee yake, wakati upande wa pili wa Zanziba, inatolewa daily updates!, huu utoaji taarifa za Corona unaoendelea huku Tanzania Bara, wa kutotoa update yoyote tangu last Friday ni kinyume cha Sheria ya Haki ya Kupata Habari, The Right to Information, kupitia sheria hiyo, Watanzania tuna haki ya kupata habari sahihi na za kweli kuhusu hali ya maambukizi ya Corona, wangapi wameambukizwa, wangapi wamepona, wangapi wamekufa, wangapi bado wako quarantine, wangapi walikuwa quarantine na wamemaliza, hii update inapaswa kutolewa daily regardless kuna ongezeko lolote au hata kama hakuna ongezeko lolote bado hiyo daily updates inatesema hakuna ongezeko jipya na kuwataja waliopona ambao wanapona kwa kasi kubwa daily.

Mpaka ninapoandika hapa, kwa Tanzania idadi ya waliokufa kwa Corona tangu janga hili lilipoanza kwa mujibu wa taarifa rasmi ni watu 10 tuu!. Kwa sasa tunaishi kwenye the age of information world, tuko kwenye dunia ya utandawazi, information zina flows from every corner, information nyingine ni za ukweli, nyingine ni za uongo na nyingine ni uzushi, mfano watu tunaona kila kitu, hadi video za mazishi ya usiku usiku, miili inetelekezwa mabarani for days!, watu wanawapoteza wapendwa wao kwa kushindwa kupokelewa au kuhudumiwa on time na kutoruhusiwa kuwazika, tangu hiyo Ijumaa tuu mpaka jana, kuna visa zaidi ya 10 vya vifo vimeripotiwa kwenye main steam media na kwenye mitandao ya kijamii na tena wengine ni vigogo wakubwa kabisa, kitendo cha kutokuwepo update yoyote toka Ijumaa last week hadi leo Jumatano, na idadi ya vifo kubaki ile ile ya vifo 10 toka Alhamisi iliyopita, kunatoa mwanya kwa waongo na wazushi kuleta vifo vingine na kusingizia ni Corona, sio kila anayekufa ni Corona, lakini kunapotokea vifo vinaandamana na serikali haitoi update kunatoa mwanya wa jamii kuamini uongo na uzushi kuwa kuna kitu kinafichwa!.

This is not right, kama Tanzania tuna sheria ya haki ya kupata habari, haiwezekani serikali yetu ikaendelea kukaa kimya bila daily updates ya habari kama hizi katika mazingira kama haya, no matter how bad the situation is, Watanzania tuambiwe ukweli daily hata kama ukweli huu unauma vipi, ndio ukweli wa hali halisi ni haki yetu kujua na kuambiwa ukweli na serikali yetu ili kuzuia Watanzania kuaminishwa uongo wa mitandaoni!.

Kwanza naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kutokana na bandiko la mwana jf huyu
Hivi kwanini wananchi tunanyimwa taarifa ya maambukizi mapya na ya wale wanaokufa kwa ugonjwa wa COVID-19? - JamiiForums na hapa ninaomba kunakili sehemu tuu ya bandiko hilo
Mkuu Mystery, naunga mkono hoja, enzi za zamani, mambo ya kutoa habari kwa upande wa serikali ilikuwa iko huru kutoa habari au kutotoa, ikijisikia kutoa habari, inatoa, ikijisikia kutotoa habari, haitoi na hakuna yoyote mwenye mamlaka ya kuiuliza.

Kupata Habari ni Haki sio Favour
Lakini kuanzia mwaka 2016, Tanzania tumepitisha sheria ya haki ya kupata habari, the right to information act, ambapo sasa kupata habari ni haki, sio favors, serikali inawajibika kutoa habari za kweli kwa wananchi, hiki kinachoendelea sasa kwenye utoaji wa habari za maendeleo ya ugonjwa wa Corona, bila any updates for 5 days ni kinyume cha sheria. Watanzania wana haki ya kupata habari, unless rais atangaze hali ya hatari, hili likitokea, sheria zote na haki zote zinasimama!.
Kipengele cha Haki ya kupata habari ni hiki
View attachment 1434164
Lakini pamoja na haki hii, sheria hii pia inaipa serikali mamlaka ya kuzuia habari andapo sarikali itakuwa na sababu za msingi za kuzuia habari fulani isitoke, kama Mmarekani alivyozuia eneo walipomzika Osama Bin Laden.
View attachment 1434165
kigezo pekee cha serikali kuzuia habari fulani isitoke ni endapo habari hizo zitakuwa na madhara kwa public interest, jee habari za updates ya Corona vikiwemo vifo, zina madhara kwa public interest?, jee jamii ya Watanzania wakiijua idadi kamili ya watu walioambukizwa, kufa, kupona daily kwa Corona, kuna tatizo gani, au watu wakijua watu wanakufa kweli kwa Corona tunapanic?. Mbona nchi za wenzetu wamekuwa wakitangaza daily na kuna nchi watu walikuwa wanakufa zaidi ya 1000 per day na wanatangaza, sisi tunaogopa nini?!. Truth and transparency ndio the only way out ya kuishinda hii vita ya Corona!.

Corona ni Janga Kweli, Jee Rais Atangaze Hali ya Hatari?.
Mamlaka ya rais kutangaza hali ya hatari ni haya
View attachment 1434166
Kwa hali ya Janga la Corona lilipofika, rais Magufuli anazo sababu zote za kweli na za kihalali za kutangaza hali ya hatari kwa kutumia sababu hizi zilizoainishwa kwenye Katiba
View attachment 1434167
Kwa mujibu wa katiba yetu, rais Magufuli hawezi yeye tuu kuamua kujitangazia tuu hali ya hatari, tangazo la rais kutangaza hali ya hatari lazima liridhiwe na Bunge na kupigiwa kura ya ndio na theluthi mbili za wabunge wote wa Bunge la JMT,
View attachment 1434168

Sasa kwa vile hakuna kitu chochote kama hiki kimefanyika kwa Tanzania, hii withholding updates za Corona, inafanyika kwa sheria gani na mamlaka gani?, ukimya huu unatoa mwanya kwa waongo na wazushi wa mitandaoni kuleta habari za uongo au vifo vingine vyote kusingizia ni Corona!.

Leo Waziri Ummie Atatangaza Update.
Kuna kitu kinaniambia kuwa leo Waziri wa Afya, atatoa update, namuomba wazi Ummy wakati akitoa hiyo update ya leo, pia awe mkweli na muwazi kuhusu idadi halisi ya vifo vya Corona bila kusahau kuifafanua hii sintofahamu iliyotokea hapa katikati ya sababu ya kigugumizi cha ukmya wa siku 5 bila any update. Pia nawaomba updates ikitangazwa, hata tukiambiwa hakuna vifo vyovyote vya Corona zaidi ya vile vifo, 10, naomba tuziamini kuwa ni ukweli kwasababu sio kila anayekufa ni Corona!.

Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali
Je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, kuna ka hali ya hatari ka aina fulani ya kisiri siri imetangazwa kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi, hivyo huu ukimya wa kutotangaza update ya Corona ni utekelezaji tuu?, vinginevyo hiki kinachoendelea kwenye kutotoa update ya Corona ni kinyume cha sheria ya haki ya kupata habari na kinawapa mwanya wasiotutakia mema kutuzushia na kuisingizia serikali yetu kuwa inaminya habari?.

Nawatakia Jumatano njema
Paskali.
Baba hataki. Tunafanyaje sasa.
 
kitendo cha kutokuwepo update yoyote toka Ijumaa last week hadi leo Jumatano, na idadi ya vifo kubaki ile ile ya vifo 10 toka Alhamisi iliyopita, kunatoa mwanya kwa waongo na wazushi kuleta vifo vingine na kusingizia ni Corona, sio kila anayekufa ni Corona, lakini kunapotokea vifo vinaandamana na serikali haitoi update kunatoa mwanya wa jamii kuamini uongo na uzushi kuwa kuna kitu kinafichwa!.
Sasa hivi wamekuja na jina jipya. Ugonjwa wa KUSHINDWA KUPUMUA. Hii CORONA haitaki janjajanja. Unless something is done urgently, watu wataendelea kudondoka na kufa ghafla kila siku. Kwa hali ya sasa na ujeuri wa Serikali, PM, Speaker na mzee baba mwenyewe wapo hatarini.


Taarifa za COVID19 zinapaswa kutolewa every 24 hours kwa usahihi zaidi ili kila mtu popote alipo ndani ya Tanzania achukue hatua. Naanza kuamini kuwa labda Waziri Ummy alikuwa na nia ya dhati ya kutoa taarifa za ugonjwa kwa kila mkoa ila kuna kundi la watu huko juu bado lina mawazo ya kale.
 
Nilishangaa niliporudi home kuona wapo kama kawaida eti bunge linaendelea na wanapanga kuandikisha wapiga kura kama hakuna kitu kinachoendelea wenzetu wamefanikiwa kwa kuwa na partila lockdown wala sio toatal lockdown sisi hata kufunga Safari za mikoa tumeshindwa kwa mabasi haya tunachokitegemea sijui nini...
 
Acha upumbafu nifurahie kwa lipi... Hoja zenu n zakiwenda wazim... Tupeni taarifa sahihi hata kama n mmoja au hakuna kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati ukiona fahari juu ya mdomo wako kumilki matusi, wenye Hekima na waona Mbali, wanaona ni moja vitu vinavyoweza kumpa mtu udumavu wa akiri, maana ni rahisi mtu kushindwa kuchanganua lipi jema na Baya

Wewe Endelea kuupalilia huo ulemavu wako
 
Halafu kama ni kweli wote Hawa wanaozikwa na govt ni kutokana na Covid19 why ni wengi ukilinganisha na nchi nyingine za Afrika?
majibu curfew.......lock down ...........case tracing,,,,,,,,,,,,,,social distancing ndio vinafanya tofauti
ukiact faster vinalipa ukichelewa unaliwa......usipoact kabisa ni catastrophe
ukifatilia machaneli ya ukweli kama CNN,,,,Aljazera......BBC.......FOX NEWS.......NHK na kadhalika huu ugonjwa wameu a.k.a sweeper hasa kwa makundi yaliyo katika hali hatarishi....(underlying conditions)
Vijana wenye immune nzuri wanakuwa asymptotic .....lugha nzuri "Carriers"..,,,,wanabeba naa kupeleka kwa walw wenye hali hatarishi(wazee na wagonjwa) majumbani
 
Wanabodi, kila nipatapo fursa, huwa nawaletea zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huwa zinachapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano.

Ili kuepuka kuitwa popote na kuhojiwa kuwa nimesema kitu fulani, yaani statements, makala hizi huja kwa mtindo wa maswali, yaani questions nikihoji tuu and no statements zozote. Jumatano ya leo, nazungumzia hiki tkinachoendelea huku Tanzania Bara, katika utoaji wa update ya ugonjwa wa Corona ambapo updates inapaswa kutolewa daily, leo ni siku ya 5 tangu last update!.

Declaration of Interest
Unapoibua hoja nzito za kitaifa kama hii yenye maslahi kwa taifa, wakati taifa lako liko vitani, na limeisha tangaza vita, kama hoja hiyo itakwenda kinyume cha status quo, unaweza kuonekana kama ni msaliti wa vita hii, hivyo ni muhimu ku decrare interest kuwa huu sio usaliti, bali ndiko kulisaidia taifa lako. Naomba kusisitiza mimi Paskali wa JF, naunga mkono msimamo wa rais Magufuli wa kutofanya lockdown na kuhumiza Watanzania tuendelee kuchapa kazi kwa kuzingatia maelekezo ya kitaalamu ya kuzuia maambukizi, na kumuunga mkono rais Magufuli kuwa kwenye janga hili la Corona, Watanzania tusitishane kuhusu haka ka Corona ni ka ugon ni ka ugonjwa kadogo tuu, ila inapofikia hali ya kuongezeka kwa kasi ya maambukizi na kuanza kutokea kwa vifo, kwa watu kufa, hivyo sasa, Corona, the situation now bado sio ile ile ya Ka Corona, kama watu wanakufa, haka sio kaugonjwa kadogo, ni janga, na maadam kuna vifo, then sio tena tusitishane, bali tuambiane ukweli kuwa Corona ni ugonjwa hatari, unatisha!, na watu wanakufa kweli, ila sio kila anayekufa ni Corona!.

Huu ukimya wa updates kwa siku 5 unazua maswali, je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, tumetangaziwa ka hali ya hatari ka kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi?. Nimeuliza hivi kufuatia kutokuwepo kwa update yoyote ya hali ya ugonjwa wa Corona upande wa Tanzania bara for 5 days, tangu baada ya Rais Magufuli kulihutubia Taifa akitokea Ikulu ya Chato!

Hiki kinachoendelea cha kutokutolewa kwa update yoyote for 5 days, kingeweza kufanyika tuu endapo taifa liko kwenye hali ya hatari ambayo inao utaratibu wake kuitangaza, na haiwezi kutangazwa kimya kimya, tena kwa sababu janga hili ni la taifa zima, hali ya hatari haiwezi kutangazwa upande mmoja tuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kwa huku upande wa bara tuu pekee yake, wakati upande wa pili wa Zanziba, inatolewa daily updates!, huu utoaji taarifa za Corona unaoendelea huku Tanzania Bara, wa kutotoa update yoyote tangu last Friday ni kinyume cha Sheria ya Haki ya Kupata Habari, The Right to Information, kupitia sheria hiyo, Watanzania tuna haki ya kupata habari sahihi na za kweli kuhusu hali ya maambukizi ya Corona, wangapi wameambukizwa, wangapi wamepona, wangapi wamekufa, wangapi bado wako quarantine, wangapi walikuwa quarantine na wamemaliza, hii update inapaswa kutolewa daily regardless kuna ongezeko lolote au hata kama hakuna ongezeko lolote bado hiyo daily updates inatesema hakuna ongezeko jipya na kuwataja waliopona ambao wanapona kwa kasi kubwa daily.

Mpaka ninapoandika hapa, kwa Tanzania idadi ya waliokufa kwa Corona tangu janga hili lilipoanza kwa mujibu wa taarifa rasmi ni watu 10 tuu!. Kwa sasa tunaishi kwenye the age of information world, tuko kwenye dunia ya utandawazi, information zina flows from every corner, information nyingine ni za ukweli, nyingine ni za uongo na nyingine ni uzushi, mfano watu tunaona kila kitu, hadi video za mazishi ya usiku usiku, miili inetelekezwa mabarani for days!, watu wanawapoteza wapendwa wao kwa kushindwa kupokelewa au kuhudumiwa on time na kutoruhusiwa kuwazika, tangu hiyo Ijumaa tuu mpaka jana, kuna visa zaidi ya 10 vya vifo vimeripotiwa kwenye main steam media na kwenye mitandao ya kijamii na tena wengine ni vigogo wakubwa kabisa, kitendo cha kutokuwepo update yoyote toka Ijumaa last week hadi leo Jumatano, na idadi ya vifo kubaki ile ile ya vifo 10 toka Alhamisi iliyopita, kunatoa mwanya kwa waongo na wazushi kuleta vifo vingine na kusingizia ni Corona, sio kila anayekufa ni Corona, lakini kunapotokea vifo vinaandamana na serikali haitoi update kunatoa mwanya wa jamii kuamini uongo na uzushi kuwa kuna kitu kinafichwa!.

This is not right, kama Tanzania tuna sheria ya haki ya kupata habari, haiwezekani serikali yetu ikaendelea kukaa kimya bila daily updates ya habari kama hizi katika mazingira kama haya, no matter how bad the situation is, Watanzania tuambiwe ukweli daily hata kama ukweli huu unauma vipi, ndio ukweli wa hali halisi ni haki yetu kujua na kuambiwa ukweli na serikali yetu ili kuzuia Watanzania kuaminishwa uongo wa mitandaoni!.

Kwanza naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kutokana na bandiko la mwana jf huyu
Hivi kwanini wananchi tunanyimwa taarifa ya maambukizi mapya na ya wale wanaokufa kwa ugonjwa wa COVID-19? - JamiiForums na hapa ninaomba kunakili sehemu tuu ya bandiko hilo
Mkuu Mystery, naunga mkono hoja, enzi za zamani, mambo ya kutoa habari kwa upande wa serikali ilikuwa iko huru kutoa habari au kutotoa, ikijisikia kutoa habari, inatoa, ikijisikia kutotoa habari, haitoi na hakuna yoyote mwenye mamlaka ya kuiuliza.

Kupata Habari ni Haki sio Favour
Lakini kuanzia mwaka 2016, Tanzania tumepitisha sheria ya haki ya kupata habari, the right to information act, ambapo sasa kupata habari ni haki, sio favors, serikali inawajibika kutoa habari za kweli kwa wananchi, hiki kinachoendelea sasa kwenye utoaji wa habari za maendeleo ya ugonjwa wa Corona, bila any updates for 5 days ni kinyume cha sheria. Watanzania wana haki ya kupata habari, unless rais atangaze hali ya hatari, hili likitokea, sheria zote na haki zote zinasimama!.
Kipengele cha Haki ya kupata habari ni hiki
View attachment 1434164
Lakini pamoja na haki hii, sheria hii pia inaipa serikali mamlaka ya kuzuia habari andapo sarikali itakuwa na sababu za msingi za kuzuia habari fulani isitoke, kama Mmarekani alivyozuia eneo walipomzika Osama Bin Laden.
View attachment 1434165
kigezo pekee cha serikali kuzuia habari fulani isitoke ni endapo habari hizo zitakuwa na madhara kwa public interest, jee habari za updates ya Corona vikiwemo vifo, zina madhara kwa public interest?, jee jamii ya Watanzania wakiijua idadi kamili ya watu walioambukizwa, kufa, kupona daily kwa Corona, kuna tatizo gani, au watu wakijua watu wanakufa kweli kwa Corona tunapanic?. Mbona nchi za wenzetu wamekuwa wakitangaza daily na kuna nchi watu walikuwa wanakufa zaidi ya 1000 per day na wanatangaza, sisi tunaogopa nini?!. Truth and transparency ndio the only way out ya kuishinda hii vita ya Corona!.

Corona ni Janga Kweli, Jee Rais Atangaze Hali ya Hatari?.
Mamlaka ya rais kutangaza hali ya hatari ni haya
View attachment 1434166
Kwa hali ya Janga la Corona lilipofika, rais Magufuli anazo sababu zote za kweli na za kihalali za kutangaza hali ya hatari kwa kutumia sababu hizi zilizoainishwa kwenye Katiba
View attachment 1434167
Kwa mujibu wa katiba yetu, rais Magufuli hawezi yeye tuu kuamua kujitangazia tuu hali ya hatari, tangazo la rais kutangaza hali ya hatari lazima liridhiwe na Bunge na kupigiwa kura ya ndio na theluthi mbili za wabunge wote wa Bunge la JMT,
View attachment 1434168

Sasa kwa vile hakuna kitu chochote kama hiki kimefanyika kwa Tanzania, hii withholding updates za Corona, inafanyika kwa sheria gani na mamlaka gani?, ukimya huu unatoa mwanya kwa waongo na wazushi wa mitandaoni kuleta habari za uongo au vifo vingine vyote kusingizia ni Corona!.

Leo Waziri Ummie Atatangaza Update.
Kuna kitu kinaniambia kuwa leo Waziri wa Afya, atatoa update, namuomba wazi Ummy wakati akitoa hiyo update ya leo, pia awe mkweli na muwazi kuhusu idadi halisi ya vifo vya Corona bila kusahau kuifafanua hii sintofahamu iliyotokea hapa katikati ya sababu ya kigugumizi cha ukmya wa siku 5 bila any update. Pia nawaomba updates ikitangazwa, hata tukiambiwa hakuna vifo vyovyote vya Corona zaidi ya vile vifo, 10, naomba tuziamini kuwa ni ukweli kwasababu sio kila anayekufa ni Corona!.

Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali
Je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, kuna ka hali ya hatari ka aina fulani ya kisiri siri imetangazwa kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi, hivyo huu ukimya wa kutotangaza update ya Corona ni utekelezaji tuu?, vinginevyo hiki kinachoendelea kwenye kutotoa update ya Corona ni kinyume cha sheria ya haki ya kupata habari na kinawapa mwanya wasiotutakia mema kutuzushia na kuisingizia serikali yetu kuwa inaminya habari?.

Nawatakia Jumatano njema
Paskali.
Huyu Paskali na wasukuma wengine wengi wapo katika kundi la gwajiboy. Na wanaambizana ujinga kwamba hakuna kum-criticize Magufail kwa chochote. Haya ndio matokeo yake. Anatuletea ... humu ndani, akiungwa mkono na wasukuma wengine na misukule ya pale lumumba.
Duh...!, karibu huku auangalie tunavyosifu!.
P
 
Wanabodi, kila nipatapo fursa, huwa nawaletea zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huwa zinachapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano.

Ili kuepuka kuitwa popote na kuhojiwa kuwa nimesema kitu fulani, yaani statements, makala hizi huja kwa mtindo wa maswali, yaani questions nikihoji tuu and no statements zozote. Jumatano ya leo, nazungumzia hiki tkinachoendelea huku Tanzania Bara, katika utoaji wa update ya ugonjwa wa Corona ambapo updates inapaswa kutolewa daily, leo ni siku ya 5 tangu last update!.

Declaration of Interest
Unapoibua hoja nzito za kitaifa kama hii yenye maslahi kwa taifa, wakati taifa lako liko vitani, na limeisha tangaza vita, kama hoja hiyo itakwenda kinyume cha status quo, unaweza kuonekana kama ni msaliti wa vita hii, hivyo ni muhimu ku decrare interest kuwa huu sio usaliti, bali ndiko kulisaidia taifa lako. Naomba kusisitiza mimi Paskali wa JF, naunga mkono msimamo wa rais Magufuli wa kutofanya lockdown na kuhumiza Watanzania tuendelee kuchapa kazi kwa kuzingatia maelekezo ya kitaalamu ya kuzuia maambukizi, na kumuunga mkono rais Magufuli kuwa kwenye janga hili la Corona, Watanzania tusitishane kuhusu haka ka Corona ni ka ugon ni ka ugonjwa kadogo tuu, ila inapofikia hali ya kuongezeka kwa kasi ya maambukizi na kuanza kutokea kwa vifo, kwa watu kufa, hivyo sasa, Corona, the situation now bado sio ile ile ya Ka Corona, kama watu wanakufa, haka sio kaugonjwa kadogo, ni janga, na maadam kuna vifo, then sio tena tusitishane, bali tuambiane ukweli kuwa Corona ni ugonjwa hatari, unatisha!, na watu wanakufa kweli, ila sio kila anayekufa ni Corona!.

Huu ukimya wa updates kwa siku 5 unazua maswali, je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, tumetangaziwa ka hali ya hatari ka kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi?. Nimeuliza hivi kufuatia kutokuwepo kwa update yoyote ya hali ya ugonjwa wa Corona upande wa Tanzania bara for 5 days, tangu baada ya Rais Magufuli kulihutubia Taifa akitokea Ikulu ya Chato!

Hiki kinachoendelea cha kutokutolewa kwa update yoyote for 5 days, kingeweza kufanyika tuu endapo taifa liko kwenye hali ya hatari ambayo inao utaratibu wake kuitangaza, na haiwezi kutangazwa kimya kimya, tena kwa sababu janga hili ni la taifa zima, hali ya hatari haiwezi kutangazwa upande mmoja tuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kwa huku upande wa bara tuu pekee yake, wakati upande wa pili wa Zanziba, inatolewa daily updates!, huu utoaji taarifa za Corona unaoendelea huku Tanzania Bara, wa kutotoa update yoyote tangu last Friday ni kinyume cha Sheria ya Haki ya Kupata Habari, The Right to Information, kupitia sheria hiyo, Watanzania tuna haki ya kupata habari sahihi na za kweli kuhusu hali ya maambukizi ya Corona, wangapi wameambukizwa, wangapi wamepona, wangapi wamekufa, wangapi bado wako quarantine, wangapi walikuwa quarantine na wamemaliza, hii update inapaswa kutolewa daily regardless kuna ongezeko lolote au hata kama hakuna ongezeko lolote bado hiyo daily updates inatesema hakuna ongezeko jipya na kuwataja waliopona ambao wanapona kwa kasi kubwa daily.

Mpaka ninapoandika hapa, kwa Tanzania idadi ya waliokufa kwa Corona tangu janga hili lilipoanza kwa mujibu wa taarifa rasmi ni watu 10 tuu!. Kwa sasa tunaishi kwenye the age of information world, tuko kwenye dunia ya utandawazi, information zina flows from every corner, information nyingine ni za ukweli, nyingine ni za uongo na nyingine ni uzushi, mfano watu tunaona kila kitu, hadi video za mazishi ya usiku usiku, miili inetelekezwa mabarani for days!, watu wanawapoteza wapendwa wao kwa kushindwa kupokelewa au kuhudumiwa on time na kutoruhusiwa kuwazika, tangu hiyo Ijumaa tuu mpaka jana, kuna visa zaidi ya 10 vya vifo vimeripotiwa kwenye main steam media na kwenye mitandao ya kijamii na tena wengine ni vigogo wakubwa kabisa, kitendo cha kutokuwepo update yoyote toka Ijumaa last week hadi leo Jumatano, na idadi ya vifo kubaki ile ile ya vifo 10 toka Alhamisi iliyopita, kunatoa mwanya kwa waongo na wazushi kuleta vifo vingine na kusingizia ni Corona, sio kila anayekufa ni Corona, lakini kunapotokea vifo vinaandamana na serikali haitoi update kunatoa mwanya wa jamii kuamini uongo na uzushi kuwa kuna kitu kinafichwa!.

This is not right, kama Tanzania tuna sheria ya haki ya kupata habari, haiwezekani serikali yetu ikaendelea kukaa kimya bila daily updates ya habari kama hizi katika mazingira kama haya, no matter how bad the situation is, Watanzania tuambiwe ukweli daily hata kama ukweli huu unauma vipi, ndio ukweli wa hali halisi ni haki yetu kujua na kuambiwa ukweli na serikali yetu ili kuzuia Watanzania kuaminishwa uongo wa mitandaoni!.

Kwanza naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kutokana na bandiko la mwana jf huyu
Hivi kwanini wananchi tunanyimwa taarifa ya maambukizi mapya na ya wale wanaokufa kwa ugonjwa wa COVID-19? - JamiiForums na hapa ninaomba kunakili sehemu tuu ya bandiko hilo
Mkuu Mystery, naunga mkono hoja, enzi za zamani, mambo ya kutoa habari kwa upande wa serikali ilikuwa iko huru kutoa habari au kutotoa, ikijisikia kutoa habari, inatoa, ikijisikia kutotoa habari, haitoi na hakuna yoyote mwenye mamlaka ya kuiuliza.

Kupata Habari ni Haki sio Favour
Lakini kuanzia mwaka 2016, Tanzania tumepitisha sheria ya haki ya kupata habari, the right to information act, ambapo sasa kupata habari ni haki, sio favors, serikali inawajibika kutoa habari za kweli kwa wananchi, hiki kinachoendelea sasa kwenye utoaji wa habari za maendeleo ya ugonjwa wa Corona, bila any updates for 5 days ni kinyume cha sheria. Watanzania wana haki ya kupata habari, unless rais atangaze hali ya hatari, hili likitokea, sheria zote na haki zote zinasimama!.
Kipengele cha Haki ya kupata habari ni hiki
View attachment 1434164
Lakini pamoja na haki hii, sheria hii pia inaipa serikali mamlaka ya kuzuia habari andapo sarikali itakuwa na sababu za msingi za kuzuia habari fulani isitoke, kama Mmarekani alivyozuia eneo walipomzika Osama Bin Laden.
View attachment 1434165
kigezo pekee cha serikali kuzuia habari fulani isitoke ni endapo habari hizo zitakuwa na madhara kwa public interest, jee habari za updates ya Corona vikiwemo vifo, zina madhara kwa public interest?, jee jamii ya Watanzania wakiijua idadi kamili ya watu walioambukizwa, kufa, kupona daily kwa Corona, kuna tatizo gani, au watu wakijua watu wanakufa kweli kwa Corona tunapanic?. Mbona nchi za wenzetu wamekuwa wakitangaza daily na kuna nchi watu walikuwa wanakufa zaidi ya 1000 per day na wanatangaza, sisi tunaogopa nini?!. Truth and transparency ndio the only way out ya kuishinda hii vita ya Corona!.

Corona ni Janga Kweli, Jee Rais Atangaze Hali ya Hatari?.
Mamlaka ya rais kutangaza hali ya hatari ni haya
View attachment 1434166
Kwa hali ya Janga la Corona lilipofika, rais Magufuli anazo sababu zote za kweli na za kihalali za kutangaza hali ya hatari kwa kutumia sababu hizi zilizoainishwa kwenye Katiba
View attachment 1434167
Kwa mujibu wa katiba yetu, rais Magufuli hawezi yeye tuu kuamua kujitangazia tuu hali ya hatari, tangazo la rais kutangaza hali ya hatari lazima liridhiwe na Bunge na kupigiwa kura ya ndio na theluthi mbili za wabunge wote wa Bunge la JMT,
View attachment 1434168

Sasa kwa vile hakuna kitu chochote kama hiki kimefanyika kwa Tanzania, hii withholding updates za Corona, inafanyika kwa sheria gani na mamlaka gani?, ukimya huu unatoa mwanya kwa waongo na wazushi wa mitandaoni kuleta habari za uongo au vifo vingine vyote kusingizia ni Corona!.

Leo Waziri Ummie Atatangaza Update.
Kuna kitu kinaniambia kuwa leo Waziri wa Afya, atatoa update, namuomba wazi Ummy wakati akitoa hiyo update ya leo, pia awe mkweli na muwazi kuhusu idadi halisi ya vifo vya Corona bila kusahau kuifafanua hii sintofahamu iliyotokea hapa katikati ya sababu ya kigugumizi cha ukmya wa siku 5 bila any update. Pia nawaomba updates ikitangazwa, hata tukiambiwa hakuna vifo vyovyote vya Corona zaidi ya vile vifo, 10, naomba tuziamini kuwa ni ukweli kwasababu sio kila anayekufa ni Corona!.

Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali
Je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, kuna ka hali ya hatari ka aina fulani ya kisiri siri imetangazwa kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi, hivyo huu ukimya wa kutotangaza update ya Corona ni utekelezaji tuu?, vinginevyo hiki kinachoendelea kwenye kutotoa update ya Corona ni kinyume cha sheria ya haki ya kupata habari na kinawapa mwanya wasiotutakia mema kutuzushia na kuisingizia serikali yetu kuwa inaminya habari?.

Nawatakia Jumatano njema
Paskali.
Pole yake Pasco Mayalla,na huu uteuzi umrmpita licha ya juzi kuramba miguu kupitia 🌟 tv
P
 
Wanabodi, kila nipatapo fursa, huwa nawaletea zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huwa zinachapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano.

Ili kuepuka kuitwa popote na kuhojiwa kuwa nimesema kitu fulani, yaani statements, makala hizi huja kwa mtindo wa maswali, yaani questions nikihoji tuu and no statements zozote. Jumatano ya leo, nazungumzia hiki tkinachoendelea huku Tanzania Bara, katika utoaji wa update ya ugonjwa wa Corona ambapo updates inapaswa kutolewa daily, leo ni siku ya 5 tangu last update!.

Declaration of Interest
Unapoibua hoja nzito za kitaifa kama hii yenye maslahi kwa taifa, wakati taifa lako liko vitani, na limeisha tangaza vita, kama hoja hiyo itakwenda kinyume cha status quo, unaweza kuonekana kama ni msaliti wa vita hii, hivyo ni muhimu ku decrare interest kuwa huu sio usaliti, bali ndiko kulisaidia taifa lako. Naomba kusisitiza mimi Paskali wa JF, naunga mkono msimamo wa rais Magufuli wa kutofanya lockdown na kuhumiza Watanzania tuendelee kuchapa kazi kwa kuzingatia maelekezo ya kitaalamu ya kuzuia maambukizi, na kumuunga mkono rais Magufuli kuwa kwenye janga hili la Corona, Watanzania tusitishane kuhusu haka ka Corona ni ka ugon ni ka ugonjwa kadogo tuu, ila inapofikia hali ya kuongezeka kwa kasi ya maambukizi na kuanza kutokea kwa vifo, kwa watu kufa, hivyo sasa, Corona, the situation now bado sio ile ile ya Ka Corona, kama watu wanakufa, haka sio kaugonjwa kadogo, ni janga, na maadam kuna vifo, then sio tena tusitishane, bali tuambiane ukweli kuwa Corona ni ugonjwa hatari, unatisha!, na watu wanakufa kweli, ila sio kila anayekufa ni Corona!.

Huu ukimya wa updates kwa siku 5 unazua maswali, je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, tumetangaziwa ka hali ya hatari ka kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi?. Nimeuliza hivi kufuatia kutokuwepo kwa update yoyote ya hali ya ugonjwa wa Corona upande wa Tanzania bara for 5 days, tangu baada ya Rais Magufuli kulihutubia Taifa akitokea Ikulu ya Chato!

Hiki kinachoendelea cha kutokutolewa kwa update yoyote for 5 days, kingeweza kufanyika tuu endapo taifa liko kwenye hali ya hatari ambayo inao utaratibu wake kuitangaza, na haiwezi kutangazwa kimya kimya, tena kwa sababu janga hili ni la taifa zima, hali ya hatari haiwezi kutangazwa upande mmoja tuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kwa huku upande wa bara tuu pekee yake, wakati upande wa pili wa Zanziba, inatolewa daily updates!, huu utoaji taarifa za Corona unaoendelea huku Tanzania Bara, wa kutotoa update yoyote tangu last Friday ni kinyume cha Sheria ya Haki ya Kupata Habari, The Right to Information, kupitia sheria hiyo, Watanzania tuna haki ya kupata habari sahihi na za kweli kuhusu hali ya maambukizi ya Corona, wangapi wameambukizwa, wangapi wamepona, wangapi wamekufa, wangapi bado wako quarantine, wangapi walikuwa quarantine na wamemaliza, hii update inapaswa kutolewa daily regardless kuna ongezeko lolote au hata kama hakuna ongezeko lolote bado hiyo daily updates inatesema hakuna ongezeko jipya na kuwataja waliopona ambao wanapona kwa kasi kubwa daily.

Mpaka ninapoandika hapa, kwa Tanzania idadi ya waliokufa kwa Corona tangu janga hili lilipoanza kwa mujibu wa taarifa rasmi ni watu 10 tuu!. Kwa sasa tunaishi kwenye the age of information world, tuko kwenye dunia ya utandawazi, information zina flows from every corner, information nyingine ni za ukweli, nyingine ni za uongo na nyingine ni uzushi, mfano watu tunaona kila kitu, hadi video za mazishi ya usiku usiku, miili inetelekezwa mabarani for days!, watu wanawapoteza wapendwa wao kwa kushindwa kupokelewa au kuhudumiwa on time na kutoruhusiwa kuwazika, tangu hiyo Ijumaa tuu mpaka jana, kuna visa zaidi ya 10 vya vifo vimeripotiwa kwenye main steam media na kwenye mitandao ya kijamii na tena wengine ni vigogo wakubwa kabisa, kitendo cha kutokuwepo update yoyote toka Ijumaa last week hadi leo Jumatano, na idadi ya vifo kubaki ile ile ya vifo 10 toka Alhamisi iliyopita, kunatoa mwanya kwa waongo na wazushi kuleta vifo vingine na kusingizia ni Corona, sio kila anayekufa ni Corona, lakini kunapotokea vifo vinaandamana na serikali haitoi update kunatoa mwanya wa jamii kuamini uongo na uzushi kuwa kuna kitu kinafichwa!.

This is not right, kama Tanzania tuna sheria ya haki ya kupata habari, haiwezekani serikali yetu ikaendelea kukaa kimya bila daily updates ya habari kama hizi katika mazingira kama haya, no matter how bad the situation is, Watanzania tuambiwe ukweli daily hata kama ukweli huu unauma vipi, ndio ukweli wa hali halisi ni haki yetu kujua na kuambiwa ukweli na serikali yetu ili kuzuia Watanzania kuaminishwa uongo wa mitandaoni!.

Kwanza naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kutokana na bandiko la mwana jf huyu
Hivi kwanini wananchi tunanyimwa taarifa ya maambukizi mapya na ya wale wanaokufa kwa ugonjwa wa COVID-19? - JamiiForums na hapa ninaomba kunakili sehemu tuu ya bandiko hilo
Mkuu Mystery, naunga mkono hoja, enzi za zamani, mambo ya kutoa habari kwa upande wa serikali ilikuwa iko huru kutoa habari au kutotoa, ikijisikia kutoa habari, inatoa, ikijisikia kutotoa habari, haitoi na hakuna yoyote mwenye mamlaka ya kuiuliza.

Kupata Habari ni Haki sio Favour
Lakini kuanzia mwaka 2016, Tanzania tumepitisha sheria ya haki ya kupata habari, the right to information act, ambapo sasa kupata habari ni haki, sio favors, serikali inawajibika kutoa habari za kweli kwa wananchi, hiki kinachoendelea sasa kwenye utoaji wa habari za maendeleo ya ugonjwa wa Corona, bila any updates for 5 days ni kinyume cha sheria. Watanzania wana haki ya kupata habari, unless rais atangaze hali ya hatari, hili likitokea, sheria zote na haki zote zinasimama!.
Kipengele cha Haki ya kupata habari ni hiki
View attachment 1434164
Lakini pamoja na haki hii, sheria hii pia inaipa serikali mamlaka ya kuzuia habari andapo sarikali itakuwa na sababu za msingi za kuzuia habari fulani isitoke, kama Mmarekani alivyozuia eneo walipomzika Osama Bin Laden.
View attachment 1434165
kigezo pekee cha serikali kuzuia habari fulani isitoke ni endapo habari hizo zitakuwa na madhara kwa public interest, jee habari za updates ya Corona vikiwemo vifo, zina madhara kwa public interest?, jee jamii ya Watanzania wakiijua idadi kamili ya watu walioambukizwa, kufa, kupona daily kwa Corona, kuna tatizo gani, au watu wakijua watu wanakufa kweli kwa Corona tunapanic?. Mbona nchi za wenzetu wamekuwa wakitangaza daily na kuna nchi watu walikuwa wanakufa zaidi ya 1000 per day na wanatangaza, sisi tunaogopa nini?!. Truth and transparency ndio the only way out ya kuishinda hii vita ya Corona!.

Corona ni Janga Kweli, Jee Rais Atangaze Hali ya Hatari?.
Mamlaka ya rais kutangaza hali ya hatari ni haya
View attachment 1434166
Kwa hali ya Janga la Corona lilipofika, rais Magufuli anazo sababu zote za kweli na za kihalali za kutangaza hali ya hatari kwa kutumia sababu hizi zilizoainishwa kwenye Katiba
View attachment 1434167
Kwa mujibu wa katiba yetu, rais Magufuli hawezi yeye tuu kuamua kujitangazia tuu hali ya hatari, tangazo la rais kutangaza hali ya hatari lazima liridhiwe na Bunge na kupigiwa kura ya ndio na theluthi mbili za wabunge wote wa Bunge la JMT,
View attachment 1434168

Sasa kwa vile hakuna kitu chochote kama hiki kimefanyika kwa Tanzania, hii withholding updates za Corona, inafanyika kwa sheria gani na mamlaka gani?, ukimya huu unatoa mwanya kwa waongo na wazushi wa mitandaoni kuleta habari za uongo au vifo vingine vyote kusingizia ni Corona!.

Leo Waziri Ummie Atatangaza Update.
Kuna kitu kinaniambia kuwa leo Waziri wa Afya, atatoa update, namuomba wazi Ummy wakati akitoa hiyo update ya leo, pia awe mkweli na muwazi kuhusu idadi halisi ya vifo vya Corona bila kusahau kuifafanua hii sintofahamu iliyotokea hapa katikati ya sababu ya kigugumizi cha ukmya wa siku 5 bila any update. Pia nawaomba updates ikitangazwa, hata tukiambiwa hakuna vifo vyovyote vya Corona zaidi ya vile vifo, 10, naomba tuziamini kuwa ni ukweli kwasababu sio kila anayekufa ni Corona!.

Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali
Je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, kuna ka hali ya hatari ka aina fulani ya kisiri siri imetangazwa kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi, hivyo huu ukimya wa kutotangaza update ya Corona ni utekelezaji tuu?, vinginevyo hiki kinachoendelea kwenye kutotoa update ya Corona ni kinyume cha sheria ya haki ya kupata habari na kinawapa mwanya wasiotutakia mema kutuzushia na kuisingizia serikali yetu kuwa inaminya habari?.

Nawatakia Jumatano njema
Paskali.
Wandugu, hapa nafanya tuu follow up ya Corona nikipitia kujikumbusha niliwahi kuandika nini au kusema nini kuhusu Corona na hiki kinacho endelea sasa. Corona is real tusifanye masihara, tujilinde kwa kufuata ushauri wa kitaalamu.

Kila Jumamosi asubuhi kuanzia saa 1:30 hadi saa 3:00 asubuhi , Star TV, huwa ninakuwa live kwenye kipindi cha TV cha Jicho Letu Ndani ya Habari ambacho huwa kinatangwa live na Star TV kila siku za Jumamosi asubuhi, kwa Jumamosi ya kesho, mgeni wetu ni Waziri wa Habari, Dr. Harrison Mwakyembe tukijadili kuhusu athari za Corona kwenye sekta ya Habari, nini kifanyike.

Ukipata nafasi karibu utufuatilie.

P
 
Wandugu, hapa nafanya tuu follow up ya Corona nikipitia kujikumbusha niliwahi kuandika nini au kusema nini kuhusu Corona na hiki kinacho endelea sasa. Corona is real tusifanye masihara, tujilinde kwa kufuata ushauri wa kitaalamu.

Kila Jumamosi asubuhi kuanzia saa 1:30 hadi saa 3:00 asubuhi , Star TV, huwa ninakuwa live kwenye kipindi cha TV cha Jicho Letu Ndani ya Habari ambacho huwa kinatangwa live na Star TV kila siku za Jumamosi asubuhi, kwa Jumamosi ya kesho, mgeni wetu ni Waziri wa Habari, Dr. Harrison Mwakyembe tukijadili kuhusu athari za Corona kwenye sekta ya Habari, nini kifanyike.

Ukipata nafasi karibu utufuatilie.

P
Kuwa mstaarabu,wewe ni mtu mzima na haya unayofanya ni utoto!Nani amekwambia tunataka kuona nyuzi zako ukurasa mzima wa JF?Unakera bhana,umeshafungua uzi ukatoa habari inatosha!Huu ni uhuni
 
Maguful is simply a Coward,nashangaa CCM,vyimbo vya usalama wanashindwa kuliona hilo kumtoa kumueka mtu mwenye sense pale sbb uwezo wanao na watu wenye sifa wanao.
Una akili ndogo ww...
ww unafikiri mtu anatolewa na kubadilishwa kama machungwa..!!??
hv unajua hata maana ya uchaguzi/
 
Wanabodi, kila nipatapo fursa, huwa nawaletea zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huwa zinachapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano.

Ili kuepuka kuitwa popote na kuhojiwa kuwa nimesema kitu fulani, yaani statements, makala hizi huja kwa mtindo wa maswali, yaani questions nikihoji tuu and no statements zozote. Jumatano ya leo, nazungumzia hiki tkinachoendelea huku Tanzania Bara, katika utoaji wa update ya ugonjwa wa Corona ambapo updates inapaswa kutolewa daily, leo ni siku ya 5 tangu last update!.

Declaration of Interest
Unapoibua hoja nzito za kitaifa kama hii yenye maslahi kwa taifa, wakati taifa lako liko vitani, na limeisha tangaza vita, kama hoja hiyo itakwenda kinyume cha status quo, unaweza kuonekana kama ni msaliti wa vita hii, hivyo ni muhimu ku decrare interest kuwa huu sio usaliti, bali ndiko kulisaidia taifa lako. Naomba kusisitiza mimi Paskali wa JF, naunga mkono msimamo wa rais Magufuli wa kutofanya lockdown na kuhumiza Watanzania tuendelee kuchapa kazi kwa kuzingatia maelekezo ya kitaalamu ya kuzuia maambukizi, na kumuunga mkono rais Magufuli kuwa kwenye janga hili la Corona, Watanzania tusitishane kuhusu haka ka Corona ni ka ugon ni ka ugonjwa kadogo tuu, ila inapofikia hali ya kuongezeka kwa kasi ya maambukizi na kuanza kutokea kwa vifo, kwa watu kufa, hivyo sasa, Corona, the situation now bado sio ile ile ya Ka Corona, kama watu wanakufa, haka sio kaugonjwa kadogo, ni janga, na maadam kuna vifo, then sio tena tusitishane, bali tuambiane ukweli kuwa Corona ni ugonjwa hatari, unatisha!, na watu wanakufa kweli, ila sio kila anayekufa ni Corona!.

Huu ukimya wa updates kwa siku 5 unazua maswali, je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, tumetangaziwa ka hali ya hatari ka kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi?. Nimeuliza hivi kufuatia kutokuwepo kwa update yoyote ya hali ya ugonjwa wa Corona upande wa Tanzania bara for 5 days, tangu baada ya Rais Magufuli kulihutubia Taifa akitokea Ikulu ya Chato!

Hiki kinachoendelea cha kutokutolewa kwa update yoyote for 5 days, kingeweza kufanyika tuu endapo taifa liko kwenye hali ya hatari ambayo inao utaratibu wake kuitangaza, na haiwezi kutangazwa kimya kimya, tena kwa sababu janga hili ni la taifa zima, hali ya hatari haiwezi kutangazwa upande mmoja tuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kwa huku upande wa bara tuu pekee yake, wakati upande wa pili wa Zanziba, inatolewa daily updates!, huu utoaji taarifa za Corona unaoendelea huku Tanzania Bara, wa kutotoa update yoyote tangu last Friday ni kinyume cha Sheria ya Haki ya Kupata Habari, The Right to Information, kupitia sheria hiyo, Watanzania tuna haki ya kupata habari sahihi na za kweli kuhusu hali ya maambukizi ya Corona, wangapi wameambukizwa, wangapi wamepona, wangapi wamekufa, wangapi bado wako quarantine, wangapi walikuwa quarantine na wamemaliza, hii update inapaswa kutolewa daily regardless kuna ongezeko lolote au hata kama hakuna ongezeko lolote bado hiyo daily updates inatesema hakuna ongezeko jipya na kuwataja waliopona ambao wanapona kwa kasi kubwa daily.

Mpaka ninapoandika hapa, kwa Tanzania idadi ya waliokufa kwa Corona tangu janga hili lilipoanza kwa mujibu wa taarifa rasmi ni watu 10 tuu!. Kwa sasa tunaishi kwenye the age of information world, tuko kwenye dunia ya utandawazi, information zina flows from every corner, information nyingine ni za ukweli, nyingine ni za uongo na nyingine ni uzushi, mfano watu tunaona kila kitu, hadi video za mazishi ya usiku usiku, miili inetelekezwa mabarani for days!, watu wanawapoteza wapendwa wao kwa kushindwa kupokelewa au kuhudumiwa on time na kutoruhusiwa kuwazika, tangu hiyo Ijumaa tuu mpaka jana, kuna visa zaidi ya 10 vya vifo vimeripotiwa kwenye main steam media na kwenye mitandao ya kijamii na tena wengine ni vigogo wakubwa kabisa, kitendo cha kutokuwepo update yoyote toka Ijumaa last week hadi leo Jumatano, na idadi ya vifo kubaki ile ile ya vifo 10 toka Alhamisi iliyopita, kunatoa mwanya kwa waongo na wazushi kuleta vifo vingine na kusingizia ni Corona, sio kila anayekufa ni Corona, lakini kunapotokea vifo vinaandamana na serikali haitoi update kunatoa mwanya wa jamii kuamini uongo na uzushi kuwa kuna kitu kinafichwa!.

This is not right, kama Tanzania tuna sheria ya haki ya kupata habari, haiwezekani serikali yetu ikaendelea kukaa kimya bila daily updates ya habari kama hizi katika mazingira kama haya, no matter how bad the situation is, Watanzania tuambiwe ukweli daily hata kama ukweli huu unauma vipi, ndio ukweli wa hali halisi ni haki yetu kujua na kuambiwa ukweli na serikali yetu ili kuzuia Watanzania kuaminishwa uongo wa mitandaoni!.

Kwanza naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kutokana na bandiko la mwana jf huyu
Hivi kwanini wananchi tunanyimwa taarifa ya maambukizi mapya na ya wale wanaokufa kwa ugonjwa wa COVID-19? - JamiiForums na hapa ninaomba kunakili sehemu tuu ya bandiko hilo
Mkuu Mystery, naunga mkono hoja, enzi za zamani, mambo ya kutoa habari kwa upande wa serikali ilikuwa iko huru kutoa habari au kutotoa, ikijisikia kutoa habari, inatoa, ikijisikia kutotoa habari, haitoi na hakuna yoyote mwenye mamlaka ya kuiuliza.

Kupata Habari ni Haki sio Favour
Lakini kuanzia mwaka 2016, Tanzania tumepitisha sheria ya haki ya kupata habari, the right to information act, ambapo sasa kupata habari ni haki, sio favors, serikali inawajibika kutoa habari za kweli kwa wananchi, hiki kinachoendelea sasa kwenye utoaji wa habari za maendeleo ya ugonjwa wa Corona, bila any updates for 5 days ni kinyume cha sheria. Watanzania wana haki ya kupata habari, unless rais atangaze hali ya hatari, hili likitokea, sheria zote na haki zote zinasimama!.
Kipengele cha Haki ya kupata habari ni hiki
View attachment 1434164
Lakini pamoja na haki hii, sheria hii pia inaipa serikali mamlaka ya kuzuia habari andapo sarikali itakuwa na sababu za msingi za kuzuia habari fulani isitoke, kama Mmarekani alivyozuia eneo walipomzika Osama Bin Laden.
View attachment 1434165
kigezo pekee cha serikali kuzuia habari fulani isitoke ni endapo habari hizo zitakuwa na madhara kwa public interest, jee habari za updates ya Corona vikiwemo vifo, zina madhara kwa public interest?, jee jamii ya Watanzania wakiijua idadi kamili ya watu walioambukizwa, kufa, kupona daily kwa Corona, kuna tatizo gani, au watu wakijua watu wanakufa kweli kwa Corona tunapanic?. Mbona nchi za wenzetu wamekuwa wakitangaza daily na kuna nchi watu walikuwa wanakufa zaidi ya 1000 per day na wanatangaza, sisi tunaogopa nini?!. Truth and transparency ndio the only way out ya kuishinda hii vita ya Corona!.

Corona ni Janga Kweli, Jee Rais Atangaze Hali ya Hatari?.
Mamlaka ya rais kutangaza hali ya hatari ni haya
View attachment 1434166
Kwa hali ya Janga la Corona lilipofika, rais Magufuli anazo sababu zote za kweli na za kihalali za kutangaza hali ya hatari kwa kutumia sababu hizi zilizoainishwa kwenye Katiba
View attachment 1434167
Kwa mujibu wa katiba yetu, rais Magufuli hawezi yeye tuu kuamua kujitangazia tuu hali ya hatari, tangazo la rais kutangaza hali ya hatari lazima liridhiwe na Bunge na kupigiwa kura ya ndio na theluthi mbili za wabunge wote wa Bunge la JMT,
View attachment 1434168

Sasa kwa vile hakuna kitu chochote kama hiki kimefanyika kwa Tanzania, hii withholding updates za Corona, inafanyika kwa sheria gani na mamlaka gani?, ukimya huu unatoa mwanya kwa waongo na wazushi wa mitandaoni kuleta habari za uongo au vifo vingine vyote kusingizia ni Corona!.

Leo Waziri Ummie Atatangaza Update.
Kuna kitu kinaniambia kuwa leo Waziri wa Afya, atatoa update, namuomba wazi Ummy wakati akitoa hiyo update ya leo, pia awe mkweli na muwazi kuhusu idadi halisi ya vifo vya Corona bila kusahau kuifafanua hii sintofahamu iliyotokea hapa katikati ya sababu ya kigugumizi cha ukmya wa siku 5 bila any update. Pia nawaomba updates ikitangazwa, hata tukiambiwa hakuna vifo vyovyote vya Corona zaidi ya vile vifo, 10, naomba tuziamini kuwa ni ukweli kwasababu sio kila anayekufa ni Corona!.

Hitimisho.
Namalizia kwa lile swali
Je kuna uwezekano sisi hapa nchini kwetu Tanzania, kuna ka hali ya hatari ka aina fulani ya kisiri siri imetangazwa kimya kimya bila Watanzania kutangaziwa rasmi, hivyo huu ukimya wa kutotangaza update ya Corona ni utekelezaji tuu?, vinginevyo hiki kinachoendelea kwenye kutotoa update ya Corona ni kinyume cha sheria ya haki ya kupata habari na kinawapa mwanya wasiotutakia mema kutuzushia na kuisingizia serikali yetu kuwa inaminya habari?.

Nawatakia Jumatano njema
Paskali.
Kwa hoja hii, kuna watu humu waliniita msaliti, haya ndio matokeo ya awali ya hiki nilichozungumza humu

Aisee kuweni extra makini sana. Check hiyo email hapo. Toka ubalozi wa marekani hapo.


----- Forwarded Message -----
From: "drsacs@state.gov" <drsacs@state.gov>
Sent: Tuesday, May 12, 2020, 10:53:37 AM EDT
Subject: Health Alert: U.S. Embassy Dar es Salaam (May 12, 2020)

Please note, you can subscribe or unsubscribe from these alerts.



The Tanzanian government has not released any data on COVID in Tanzania since April 29, so there are no current data on the number of people diagnosed with COVID-19 in Tanzania.



The Department of State has issued a Global Level 4 Health Advisory for COVID-19. For emergency American Citizen Services, including emergency passports, please visit our website for additional information.



The risk of contracting COVID-19 in Dar es Salaam is extremely high. Despite limited official reports, all evidence points to exponential growth of the epidemic in Dar and other locations in Tanzania. The Embassy has strongly recommended that U.S. government personnel and their families remain at home except for essential activities (e.g., grocery shopping) and substantially limit into private homes the entry of anyone but regular residents.



Many hospitals in Dar es Salaam have been overwhelmed in recent weeks. Limited hospital capacity throughout Tanzania could result in life-threatening delays for medical care, including for those with COVID-19.



The Government of Tanzania suspended all international scheduled passenger planes to Tanzania effective April 11 and international commercial flight options no longer exist in Tanzania.



U.S. citizens who remain in Tanzania should be prepared to remain abroad for an indefinite period. The U.S. government does not anticipate arranging additional repatriation flights in Tanzania at this time. However, in the event that opportunity becomes available, we are asking you to let us know if you are interested in being contacted. Please enter your information via the following link: bit.ly/USCitizenInfo and complete the form for each U.S. citizen or U.S. legal permanent resident guardian accompanying minor children in your family or group. If a repatriation flight is arranged, an email will be sent to anyone who submitted information via this form. If you have already submitted your information you do not need to submit your information again.



Actions to Take:

Consult the CDC website for the most up-to-date information.

Visit the COVID-19 crisis page on travel.state.gov for the latest information.

Visit our Embassy webpage on COVID-19.

Enroll in the Smart Traveler Enrollment Program (STEP) to receive Alerts and make it easier to locate you in an emergency.



Assistance:

U.S. Embassy Dar es Salaam, Tanzania

686 Old Bagamoyo Road, Msasani,

P.O. Box 9123

Dar es Salaam, TANZANIA

+255 22 229-4000

drsacs@state.gov

tz.usembassy.gov
P
 
Kuwa mstaarabu,wewe ni mtu mzima na haya unayofanya ni utoto!Nani amekwambia tunataka kuona nyuzi zako ukurasa mzima wa JF?Unakera bhana,umeshafungua uzi ukatoa habari inatosha!Huu ni uhuni
Vipi siku hizi kuna limit number ya mabandiko members wanaruhusiwa ku post?.
Ikitokea hutaki kuona nyuzi ya fulani si unaipita tuu, wanaotaka watasoma, mini tatizo?!.
P
 
Back
Top Bottom