mkubhi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 2,204
- 3,308
Inaongea sheria sio Pascal wala nani.. Soma bandiko tena hili ndo uje kukoment kwa awamu nyingne
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nyie mnataka habari za Covid ili iweje?.Mmeshapata ushauri jinsi ya kujikinga na maambukizi, kutoka kwa serikali na sehemu zingine.Bado mnataka nini na ili iweje!.Hofu ni ugonjwa hatari kuliko Corona.Chapeni kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app