Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,529
- 8,614
Phillemon Mikael,
Niliposoma hoja zako tu nilielewa wazi kwamba wewe ni mdini... Issue inazungumzia Mramba haya maswala ya dini yanatoka wapi.
Imesemekana katajwa Mkapa, Kikwete na Uislaam unatoka wapi kuwakinga Lowassa, na Karamagi ambao ni Wakristu!
Hizi chuki zenu kwa Kikwete kwa sababu ni Muislaam ni utumwa wa kufikiri..Watu kama wewe wanamfuata Yesu kwa sababu ni mtoto wa Mungu, nje ya hapo usingeamini Biblia!..Pole sana.
wewe wasema....!
kuna watu ambao wakishindwa kazi wakiambiwa kweli wanakimbilia mwavuli wa udini...,mtu anaweza kunichukia mimi kama mimi kutokana na utendaji wangu..sio lazima iwe kwa ajili ya dini yangu!!!