Tarehe 24/10/2007 Balozi Dr. W.P. Slaa, akiwa viwanja vya Mwembeyanga Temeke alitaja majina 11 akiwemo Rais mstaafu Mkapa na Rais aliyekuwa madarakani Mh Kikwete kuwa ni miongoni mwa Mafisadi wa nchi.
Akiongea na waandishi wa habari kwenye hotel ya Regency 13 June, Slaa alisema,
“Waliohudhuria maonesho ya Dubai Expo 2022 ni viongozi wa Serikali, wamesafiri, wamelala hoteli, wamekula chakula kwa kodi ya watanzania.”
“Naomba pia kuwakumbusha kuwa Serikali ya Tanzania iliwakilishwa na Rais mwenyewe na kulisainiwa mikataba 17.”
Tutarajie makubwa tena kwenye mkutano wake unaotarajiwa kufanyika Jumapili ya tarehe 23/7 mwaka huu. Je atawataja wahusika wote walio nyuma ya uuzwaji wa Bandari zetu? Na je, majina ya baadhi ya walio kwenye Listi of Shame kama kina Rostam Azizi yatajirudia? Tutege masikio.
Mwembeyanga List of Shame.
1. Dr. Daudi T.S. Balali X
2. Gray Mgonja
3. Basil P. Mramba X
4. Patrick W.R. Rutabanzibwa
5. Nimrod E. Mkono X
6. Benjamin W. Mkapa X
7. Andrew J. Chenge
8. Edward N. Lowassa
9. Rostam Aziz
10.Nazir Karamagi
11. Jakaya Mrisho Kikwete.
Akiongea na waandishi wa habari kwenye hotel ya Regency 13 June, Slaa alisema,
“Waliohudhuria maonesho ya Dubai Expo 2022 ni viongozi wa Serikali, wamesafiri, wamelala hoteli, wamekula chakula kwa kodi ya watanzania.”
“Naomba pia kuwakumbusha kuwa Serikali ya Tanzania iliwakilishwa na Rais mwenyewe na kulisainiwa mikataba 17.”
Tutarajie makubwa tena kwenye mkutano wake unaotarajiwa kufanyika Jumapili ya tarehe 23/7 mwaka huu. Je atawataja wahusika wote walio nyuma ya uuzwaji wa Bandari zetu? Na je, majina ya baadhi ya walio kwenye Listi of Shame kama kina Rostam Azizi yatajirudia? Tutege masikio.
Mwembeyanga List of Shame.
1. Dr. Daudi T.S. Balali X
2. Gray Mgonja
3. Basil P. Mramba X
4. Patrick W.R. Rutabanzibwa
5. Nimrod E. Mkono X
6. Benjamin W. Mkapa X
7. Andrew J. Chenge
8. Edward N. Lowassa
9. Rostam Aziz
10.Nazir Karamagi
11. Jakaya Mrisho Kikwete.