Nilisema hizi kesi, ni kesi si kesi ili mradi kuurudisha umaarufu wa mpenda sifa. Ukipenda sana kusifiwa, utakuwa tayari kufanya lolote ili mradi nyimbo za mapambio ziendelee kurindima.
Niliposema serikali has a very weak case against them in the eyes of law, watu walinisakama sana. Nasubiri kesi ianze nithibitishe maneno yangu.
Hata ile kesi ya BOT, akipatikana mwanasheria makini, atathibitisha we have defective law systeam inayokiuka haki za binaadamu.
Masikini Liyumba na Mzee wetu wa Kanisa, Mzee Kweka, wanawaonea bure!. Time will tell ninachoshukuru, hii kesi itafanya badhi ya bad laws kuwa scraped from the book of laws!.