KUMEKUCHA, Mramba amtaja Mkapa!

kitendawili tega..pruuuuuuuuuuu mpaka maka Jibu Utelezi!!!!!!!!!!!???????????????
 
Baada ya kusema hivyo je mahakama inaweza ikamwamuru huyu mzee Mkapa kuja kutoa ushahidi? au naye ataunganishwa katika hili sakata...hatuwezi tegemea kitu kama hiki kitokee kwa serikali yetu hii sijui...
 
Baada ya kusema hivyo je mahakama inaweza ikamwamuru huyu mzee Mkapa kuja kutoa ushahidi? au naye ataunganishwa katika hili sakata...hatuwezi tegemea kitu kama hiki kitokee kwa serikali yetu hii sijui...
This will never happen coz the prez has immunity so far.
 
Last edited:
..je, Mramba ana uwezo wa kuithibitishia mahakama kwamba Raisi Mkapa ndiye aliyemtuma kufanya madudu aliyoyafanya?



Pasco,

..utaratibu ni kwamba client humlipa contractor baada ya project consultant kukagua na kuhakiki kazi iliyofanyika.

..hata mimi naona ni vigumu kuwatia Liyumba na Kweka hatiani unless walikiuka maelekezo ya project consultant.
Kitendo cha Mramba kusema ni maekezo toka juu, anamaanisha ni Cabinet na ndio rais na serikali nzima. Maamuzi yoyote ya cabinet yanabeba sura ya collective resiponsibilities, hata kama ni Mramba aliyapigia debe kwenye Cabinet, yakishapita na kutoka, siyo ya Mramba tena, ni ya Rais na serikali yote, huwezi kumsulubu Mramba kwa uamuzi wa Cabinet. Nasisitiza hii kesi hamna kitu

Nikija kwa kina Liyumba na Kweka, plant yote ni defective inakwenda kinyume cha haki za binaadamu kwa kuwashitaki Liyumba na Kweka for the whole cost of Twin Towers.

Kwa mujibu wa charge sheet, inaonekana thamani iliyotumika yote imeonekana kama ni hasara, kitu ambacho sio cha kweli. Majengo yapo na kulikuwa na thamani ya awali iliyokubaliwa na kazi ikaanza, gharama zikazidi kupanda na kupanda mpaka zikafikia hapo zilipofika.

Kesi ya ukweli mbele ya haki, ingewezekana baada ya
Value for money audit ya kilichopo ili kuestablish the true value, baada ya kujua thamani halisi, ndipo unachukua fedha iliyotumika na kuitoa thamani halisi, the diference ndio hasara iliyosababishwa na Marehemu Balali!.

Hasira za serikali ya Kikwete kwa madudu yaliyofanywa na Marehemu Balali ndio imepelekea kumfikisha Liyumba who was only the signatory na Kweka, msimamizi wa mradi.

Haiingii akilini hata kidogo eti yote yahusuyo Twin Tower yalifanywa na Liyumba bila baraka ya Bodi ya BOT!. Hebu angalie structure ya BOT ni ya ajabu sana, hakuna cha bodi wala cha nini, Gavana ndio kila kitu. Ndiye Mtendaji Mkuu wa BOT, ndiye msemaji pekee wa BOT na ndiye Mwenyekiti wa hiyo bodi zuga ya BOT!. Kila kikao sitting ni 2-5m kila mjumbe, nani atakohoa mbele ya Gavana?!.
Ulikuwa ni 'Wizi Mtupu!,na sasa ni kesi zuga japo watu wasio na hatia wanaozea selo!.
 
These are "dummy cases".Kwani unadhani hawajui wanachokifanya? They know ila basi tu.Na ndiyo maana Mramba harakaharaka anajibu kuwa ni kweli alifanya ila kwa malekezo ya Ikulu/Cabinet.Anajua kuwa hiyo ndiyo defence yake na pia uzuri wa kuwa na bureaucracy na collective responsibility ni pale linapotokea kosa - u cant hold just one person in the whole chain responsible.Ndiyo maana TZ tunasemwa sana kuwa bado hatuna investigation and prosecutorial skills za kutosha licha ya massive training ndani na nje ya nchi.Mpaka sasa watu wengi wameshazungumzia ugumu wa kesi hizi kusimama kwa misingi uliyoiainisha lakini wahusika hawaja jaribu hata ku substitute charge.Ngoja tuone itakavyokuwa.
 
hizi kesi zote zipo open na ushahidi upo, tatizo ni nani atamvisha paka kengele,
uwezi ukasema ni maamuzi ya ikulu na ndio kiwe kigezo, kinachoangaliwa ni nani aliyesaini na sio nani aliyesema, kama alikuwa anakiona kitu akina maslahi ya taifa na yeye ndio wa mwisho bac angeacha kusaini, lakini kwa sababu na yeye alikuwa na interest ilibidi asaini sasa asitafute support kutoka kwa mkapa

issue kama hii ilitokea wakati zile boat mbili zilipokuwa zinataka kwenda ziwa victoria, lakini kwa maslahi ya taifa Mr John Magufuli alikataa katakata pamoja na shinikizo la ikulu kwamaba zile boat haziwezi kupita kwenye babrabara zetu ambazo zimejengwa kwa shida mno, huo ndio uongozi na sio unafanya vitu kwa shinikizo, basi haina maana ya wewe kuwepo pale kama uwezi kufanya kazi kwa uwezo wako, unafanya kazi kwa remote,
shame on u BPM
 
Sheria hata chukuwa Mkondo wake huko ni kujitapata kwa TZ ye hahaha ni kama story na watu wacheka baadae kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kumtaja Ni simple.
Ila kisheria kumhusanisha na kesi kunahitaji vielelezo Je Mheshimiwa anavimemo alivyokuwa anatumiwa???
Kama anavyo then Game Imekaa vizuri.
Na bilashaka atakua anavyo ule mkoba muheshimiwa hauachagi siku akitoa madocument
patakuwa patamu sala.

Lets weight and see if he can Justify.
 
Game over.
Huwezi kumfunga au kumhukumu Mramba, Yona na Mgonja bila Nkapa kwenda mahakamani, na hilo halitatokea.
Ukisema Ikulu maana yake ni Raisi, huwezi toa maelekezo Ikulu bila Raisi isipokuwa Tanzania.

Move hii imekaa hivi, Mkapa kakubali kubebeshwa ushwaini wote ili aokoe washikaji na JK analijua ikifika hapo move ileeeee poooop corn......
 

Sasa mbona umesema kwenye kichwa cha thread kwamba kamtaja Mkapa?

Hivi mbona Watanzania tumezoea kuongopeana?

Umejiongopea mwenyewe. Wachangiaji wengine wote wameelewa alichomaanisha Halisi kwenye ujumbe wake na kuendelea kukiongelea. Splitting hair hata pale zisipoota.
 
Kwani nilisema hakueleweka? Nimesema aliongopa, sio hakueleweka. Alieleweka akisema Mkapa hakutajwa, lakini alidanganya kwenye kichwa cha thread akisema Mkapa katajwa. Ukimuelewa muongo alificha nini haina maana hakuongopa, eti kwa vile ni rahisi kung'amua ukweli.

Unasema watu hawakuona tatizo, lakini hiyo ni kwa sababu wewe uko out of touch, una anasa ya kusoma habari mtandaoni. Kuna watu ambao wakiona vichwa vya habari hawana anasa ya kujaribisha kwa lengesha-na-bonyeza kuona kilichomo ndani. Inabidi wanunue gazeti kung'amua huo uongo.

Huo ndio ubaya wa uongo kama wa Halisi. Na ubaya wa watu out of touch kama wewe. Hajui au huna uchungu, huna sensitivity na hali halisi ya Mtanzania. Mfano mwingine, wasomaji jana wameibiwa hela yao na gazeti la THE CITIZEN ambalo liliandika kichwa habari "DECI Yaamrishwa Kurudisha Hela" kumbe ndani ya habari ni mapendezo ya wananchi tu, si amri ya serikali. Wamenunua gazeti kwa kulaghaiwa. JF tunakataa tabia za waandishi kama hao. Halisi aliyejijengea uaminifu na kujulikana kwa umakini, leo anaanza kupotosha habari?
 
Kwani nilisema hakueleweka? Nimesema aliongopa, sio hakueleweka. Alieleweka akisema Mkapa hakutajwa, lakini alidanganya kwenye kichwa cha thread akisema Mkapa katajwa. Ukimuelewa muongo alificha nini haina maana hakuongopa, eti kwa vile ni rahisi kung'amua ukweli.

Unasema watu hawakuona tatizo, lakini hiyo ni kwa sababu wewe uko out of touch, una anasa ya kusoma habari mtandaoni. Kuna watu ambao wakiona vichwa vya habari hawana anasa ya kujaribisha kwa lengesha-na-bonyeza kuona kilichomo ndani. Inabidi wanunue gazeti kung'amua huo uongo.

Huo ndio ubaya wa uongo kama wa Halisi. Na ubaya wa watu out of touch kama wewe. Hajui au huna uchungu, huna sensitivity na hali halisi ya Mtanzania. Mfano mwingine, wasomaji jana wameibiwa hela yao na gazeti la THE CITIZEN ambalo liliandika kichwa habari "DECI Yaamrishwa Kurudisha Hela" kumbe ndani ya habari ni mapendezo ya wananchi tu, si amri ya serikali. Wamenunua gazeti kwa kulaghaiwa. JF tunakataa tabia za waandishi kama hao. Halisi aliyejijengea uaminifu na kujulikana kwa umakini, leo anaanza kupotosha habari?

Hongera: Naona umeingia JF kwa kasi mpya. Ni vizuri ukatusaidia kutuelimisha tusio na elimu kama yako. Ni vizuri pia ukatusaidia kutupasha habari za uhakika ulizo nazo kama zile za kutueleza ni nani aliyekuwa Rais wakati Mramba akiwa Waziri wa Fedha na mtu akisema hakumtaja jina lakini sote tunajua kwamba ni nani alikua Rais, Ni MKAPA. Kama uko Tanzania soma magazeti ya Mtanzania na Tanzania Daima pamoja na The Citizen utaona

TheCitizen Newspaper

Mtanzania limeandika, "Mramba amtwisha msalaba Rais Mkapa"
Tanzania Daima, "Mramba 'amlipua' Mkapa"
bahati mbaya Mtanzania na Tanzania Daima hayapo mtandaoni
 
SERIKALI YA AWAMU YA TATU ICHUNGUZWE, IFANYIWE UKAGUZI ILIKUWA OVYO KATIKA KUSIMAMIA BENKI KUU, WIZARA YA FEDHA

Ipo haja ya kufanya ukaguzi wa Serikali ya Awamu ya Tatu kwa kuwa inaonekana iliachia mambo mengi kwenda ovyo ovyo. Mambo hayo ni pamoja na kutokuwa na udhibiti makini wa Benki Kuu na Wizara ya Fedha.

Uchunguzi, upelelezi na ukaguzi wa kilichofanyika katika miaka 10 ya awamu hiyo kutatoa majibu kadhaa kwa maswali ya Watanzania ambayo hadi wa leo hayana majibu bali ubabaishaji mtupu na kesi za kutafuta umaarufu na kura za 2010 au wakati mwingine wote ni bubu kuhusu majibu ya maswali yanayotakiwa. Kazi wa wanajamii kuchangamkia tenda hii ili kazi ifanyika inavyotakikana.
 
Hongera: Naona umeingia JF kwa kasi mpya. Ni vizuri ukatusaidia kutuelimisha tusio na elimu kama yako. Ni vizuri pia ukatusaidia kutupasha habari za uhakika ulizo nazo kama zile za kutueleza ni nani aliyekuwa Rais wakati Mramba akiwa Waziri wa Fedha na mtu akisema hakumtaja jina lakini sote tunajua kwamba ni nani alikua Rais, Ni MKAPA. Kama uko Tanzania soma magazeti ya Mtanzania na Tanzania Daima pamoja na The Citizen utaona

TheCitizen Newspaper

Mtanzania limeandika, "Mramba amtwisha msalaba Rais Mkapa"
Tanzania Daima, "Mramba 'amlipua' Mkapa"
bahati mbaya Mtanzania na Tanzania Daima hayapo mtandaoni

Tanzania daima lipo mtandaoni pitia free media - Tanzania Daima - Sauti ya Watu
 
Kwani nilisema hakueleweka? Nimesema aliongopa, sio hakueleweka. Alieleweka akisema Mkapa hakutajwa, lakini alidanganya kwenye kichwa cha thread akisema Mkapa katajwa. Ukimuelewa muongo alificha nini haina maana hakuongopa, eti kwa vile ni rahisi kung'amua ukweli.

Unasema watu hawakuona tatizo, lakini hiyo ni kwa sababu wewe uko out of touch, una anasa ya kusoma habari mtandaoni. Kuna watu ambao wakiona vichwa vya habari hawana anasa ya kujaribisha kwa lengesha-na-bonyeza kuona kilichomo ndani. Inabidi wanunue gazeti kung'amua huo uongo.

Huo ndio ubaya wa uongo kama wa Halisi. Na ubaya wa watu out of touch kama wewe. Hajui au huna uchungu, huna sensitivity na hali halisi ya Mtanzania. Mfano mwingine, wasomaji jana wameibiwa hela yao na gazeti la THE CITIZEN ambalo liliandika kichwa habari "DECI Yaamrishwa Kurudisha Hela" kumbe ndani ya habari ni mapendezo ya wananchi tu, si amri ya serikali. Wamenunua gazeti kwa kulaghaiwa. JF tunakataa tabia za waandishi kama hao. Halisi aliyejijengea uaminifu na kujulikana kwa umakini, leo anaanza kupotosha habari?

Wana JF wakiwa kama cross section ya Watanzania wanajua ni yupi kati yangu na wewe ni mtu ambaye yuko "out of touch". Asilimia kubwa ya post zako na jinsi unavyo engage na wenzako ni kithibitisho tosha. Hayo mengine ni blah blaha tu na sensationalizing ku-split hair tulizozizoea kutoka kwenye nafsi yako zikiambatana na maneno ya kukejeli nafsi za wenzako kwa majina wasiyostahili. Matamshi kama "uongo wa Halisi" yanaelezea nafsi ya mtu. Kama wewe usingependa kuitwa hivyo, usithubutu kuwaita wenzako hivyo.

Mfano, unaposema kwa kutoa mfano kuwa; wasomaji wa THE CITIZEN wameibiwa hela yao, je, unavithibitisho vyovyote kuonesha hilo? Ulifanya survey kwa kuwahoji kila mmoja baada ya kununua gazeti hilo? Una uhakika gani hawakununua gazeti hilo ikiwa kama upenzi wa gazeti, kwa maana kwamba ni gazeti wanalonunua kila siku bila kujali vichwa vya habari? Una uhakika gani kuwa waliponunua hilo gazeti hawakuwa wanafata habari nyinginezo kama vile michezo na tamthiliya? Survey hiyo ulianza kuifanya lini na ukaikamilisha lini? Je, unavithibitisho vya haya yote au ndiyo nawe tukuite muongo katika jitihada zako za kukataa waandishi kama hao?
 
it doesnt make sense kumshitaki waziri kwa maamumizi aliyoyafanya kama waziri and the somehow believe that mkuu wake wa kazi yuko safi!!! hiki ndicho anachosema Mramba, and he is damn right...
meli ikipotea njia captain ndio anapaswa kuwa mtu wa kwanza kuulizwa sababu za kupotea, sio wasaidizi wake.
 
Back
Top Bottom