mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,207
Nampendea anavyorembua tu
Akirembua huwa inakusaidia nini🙄🙄🙄🙄🙄
Nampendea anavyorembua tu
Look at this foolish guy, guysSukuma gang chato gang at work..ila they will perish soon
Fidia walishalipwa miaka mingi iliyopita, wajanja wakauza maeneo wakasepa, wengine walibaki wakarithisha watoto mpaka Leo!Walipe fidia sasa sio kujivunjia kiboya tu
Heheheheh kwa style hii vilio havitaishaFidia walishalipwa miaka mingi iliyopita, wajanja wakauza maeneo wakasepa, wengine walibaki wakarithisha watoto mpaka Leo!
Mpwaa si unajuaa tena sisi wengine wa liftHahahaaaaaaaa mpwaaaaa umetishaaa kabisa mpwa Jana niliamua kuonja vya nyumbani maana nikilamba vya mbali usuku wanatutumia wasiojulikana njian mpwaa ungenshtua nionje baraka za mama unazokula mwenyewe mpwa....
Hahahahahhaaaa mpehigh lifty
Nilikuwa naelekea kwenye kile kiwanja kabla ya mjengo wa kkobeMpwa ulikuwa unaelekea viunga vyetu NN naamini ....zetu wamesalimika maana meza za mbele walijipanga kuniumiza heart Kama wameambiwa mpwa anakuja tatizo nilikwenda na bajeti kamili hahahaaa maguu katufundisha mengi jaman ntamkumbuka kwamagud
Namwonea huruma sana MAMA, ana maadui wengi sana huko ktk system ya maamuzi. Inanikumbusha Marxist Second Laws of Dialectical Materialism, "Unity and Struggle of the Opposite". Yaani gari linatembea kwenda kulee; tairi linataka barabara iharibike gari lisimame, barabara inataka tairi lipasuke gari lisimame na injini inataka mafuta yaishe gari lisimame. Dereva anatakiwa awe makini sana. Kwanza achague njia bora ya kwenda/kupita, tairi imara na mafuta yakutosha kwenda kulee anakotaka kwenda. Asipangiwe yeye bila kujua hiyo safari, njia ya kwenda huko, nyenzo za kutumia na nishati ya kutosha kwenda kulee anakoenda.Hahaaaaa yaan nikimwangalia SAMIA namuonea huruma tu maana hajui lolote maskini ye anajipigia tu misele hajui kuwa kuna wenzie wanamchonganisha na wanachi kwa makusudi kabisa
walianza umeme, wamekuja mafuta, haya makato ya line za simu, bado hapo makato ya luku haya sasa bomoa bomoa karibu kila mkoa yeye yupo yupo tu haelewi lolote maskini mzanzibari wawatu, hazijui fitna za wabara huku yeye anaamini wapo pamoja wanaimba wimbo mmoja kumbe wenzie wana hama tune taratibu kwa ustadi mkubwa.
Yaan wananchi huku hawamwelewi kabisaa na wamesha anza kumchukia kwa sasa maana tangu ashike nchi vitu vya msingi tena vinavyo gusa wananch moja kwa moja vimeanza kupanda bei
Mbeya wakifanya hivyo watabomoa mkoa mzima yaani sielewi kama huo mkoa ni jiji au kijiji.Waje na mbeya wafanye hiyo kitu
Ki historia inasemekana walio kuwa wanaishi maeneo hayo walipewa fidia then wao wakauza kwa wengine sasa wengine wakauza kwa wengine sasa hao wengine ndio hawa sasa wanao pigikaWalipe fidia sasa sio kujivunjia kiboya tu
Ok labda nikusaidiehawa walishabomolewa na alama za x ziliwekwa kama walirudi ni kosa lao maana tanroads waliwawekea x toka mwaka 2017
Ila tu isiwe agizo la wale s gang.Watazimaliza nyumba za Kimara sasa 😅😅😅 watawaua akina Mangi aisee!!!
HaahahahahKi historia inasemekana walio kuwa wanaishi maeneo hayo walipewa fidia then wao wakauza kwa wengine sasa wengine wakauza kwa wengine sasa hao wengine ndio hawa sasa wanao pigika
Acha kabisaWatazimaliza nyumba za Kimara sasa watawaua akina Mangi aisee!!!
Hii ni plani ya tangu mwanzo, walianzia kimara mwisho, inaendeleaFoleni ya Bucha mpaka Kimara Mwisho imewaamsha Tanroada
Mbeya ni kijiji kikubwaMbeya wakifanya hivyo watabomoa mkoa mzima yaani sielewi kama huo mkoa ni jiji au kijiji.
Pamoja na kuwa Barabara ya Ubungo—Kimara (stop over) zimepigwa X jioni hii hadi usiku huu. Wananchi wamepewa siku 30 waondoke kupisha upanuzi wa barabara.
Pia kuanzia Kimara Bucha mpaka Kimara resort wamepewa Notisi ya kobomoa na kuvacate kwa walio ndani ya Mita 90 za hifadhi ya barabara kama barua inavyoonesha.
Hii yote ni kwa ajili ya kuendelezwa kwa barabara hiyo na wakala wa barabara TANROADS. Nakala ya notisi hiyo ni kama inavyoonekana hapo chini:
View attachment 1847872