dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
mimi nina account mbili fb. moja ni yakinyumbani nyingine ya club na vijiweni mademu na kila uchafu. moja ya 2008 nyingine 2010. na zote zipo active. sasa wasemaje? una neno lingine? kwani ukiwa fb unapungukiwa nini? mbona hata marais wenu (kikwete na Slaa) wapo facebook? acha upumbavu wako. mnajifanya mpo juu kumbe wizi mtupu.