Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,658
- 4,866
Nimefanya utafiti wangu Uchwara mitandaoni na uraiani. Nimegundua asimilia kubwa ya watu wanaomchukia Legendary John Pombe Joseph Magufuli kwa asilimia kubwa ni watu kutoka Pwani na wengine Zanzibar ambao wengi wao ni wavaa vibagalashia.
Ikumbukwe sina chuki na Dini wala mambo ya Udini. Katika story za vilingeni nilikaa na jamaa kadhaa wakawa wanamponda Magufuli nifanya u-FBI wangu nikagundua ni watu kutoka Pwani, na Zenji. Pia mitandaoni huko Facebook, Twitter na Instagram nikawa napita kwenye profiles zao kuona na watu wa wapi, nikaja kugundua pia wengi wao ni watu wa pwani na wavaa vibagalashia.
JPM alisifika sana kwa kuwala vipanga watu mbalimbali ambao walikuwa wanahujumu Taifa, mfano wala rushwa, mafisadi, vyeti feki, na watu ambao walitaka keki ya Taifa iwe yao. Mimi binafsi kuna rafiki yangu aliwahi kufungwa kwa kesi ya Rushwa, lakini siwezi kusema JPM ni mbaya eti kisa rafiki yangu alikamatwa kwa kosa la rushwa, kwa sababu iliyomfunga ni rushwa na si Rais, hivyo mimi binafsi JPM simdai maana alifanya kila kitu kwa weledi sana, japo kuna mahali aliteleeza na kama binadamu tunamuelewa kwa sababu kuongoza watu milioni 60, si mchezo. Wengine kuongoza familia tu zinawashinda.
Sasa najiuliza hawa wavaa vibagalashia kwa nini wanamchikia jiwe kiasi hiki? Fanya utafiti wako, pita mitandaoni hata humu JF utakuta wavaa vibagalashia wengi ndio wanaoandika uzi wa kumkashifu JPM
Ikumbukwe sina chuki na Dini wala mambo ya Udini. Katika story za vilingeni nilikaa na jamaa kadhaa wakawa wanamponda Magufuli nifanya u-FBI wangu nikagundua ni watu kutoka Pwani, na Zenji. Pia mitandaoni huko Facebook, Twitter na Instagram nikawa napita kwenye profiles zao kuona na watu wa wapi, nikaja kugundua pia wengi wao ni watu wa pwani na wavaa vibagalashia.
JPM alisifika sana kwa kuwala vipanga watu mbalimbali ambao walikuwa wanahujumu Taifa, mfano wala rushwa, mafisadi, vyeti feki, na watu ambao walitaka keki ya Taifa iwe yao. Mimi binafsi kuna rafiki yangu aliwahi kufungwa kwa kesi ya Rushwa, lakini siwezi kusema JPM ni mbaya eti kisa rafiki yangu alikamatwa kwa kosa la rushwa, kwa sababu iliyomfunga ni rushwa na si Rais, hivyo mimi binafsi JPM simdai maana alifanya kila kitu kwa weledi sana, japo kuna mahali aliteleeza na kama binadamu tunamuelewa kwa sababu kuongoza watu milioni 60, si mchezo. Wengine kuongoza familia tu zinawashinda.
Sasa najiuliza hawa wavaa vibagalashia kwa nini wanamchikia jiwe kiasi hiki? Fanya utafiti wako, pita mitandaoni hata humu JF utakuta wavaa vibagalashia wengi ndio wanaoandika uzi wa kumkashifu JPM