Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,891
Mr right ni show inaonyeshwa startimes na wasichana wanachaguliwa na wanaume single ili waolewe.
Ila baada ya yote Kuna huyu mmaza alikuwa huko majuzi hapa anahojiwa anadai yupo single na majuzi hapa alipata mchumba hapo Mr right na alidai wanaoana Sasa inakuwaje ni single tena naalikuwa anaolewa? Na mme akakiri kuwa anamuoa baby nai?
Ila baada ya yote Kuna huyu mmaza alikuwa huko majuzi hapa anahojiwa anadai yupo single na majuzi hapa alipata mchumba hapo Mr right na alidai wanaoana Sasa inakuwaje ni single tena naalikuwa anaolewa? Na mme akakiri kuwa anamuoa baby nai?