BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,899
- 8,069
Sababu ya kihistoria na utunzwaji wake ni baibo iliyotumiwa na H.I.M Kutoka kwa babu yake king solomon..Umejuaje kama hiyo ya Ethiopia ndio OG?
Wewe hii baibo yako ya kisasa unajuaje km ni og?
Sababu ya kihistoria na utunzwaji wake ni baibo iliyotumiwa na H.I.M Kutoka kwa babu yake king solomon..Umejuaje kama hiyo ya Ethiopia ndio OG?
Mimi naangalia kilichoandikwa maana ndicho kitiacho uzima. Hata aliyeandika sina shida ya kumjua!Sababu ya kihistoria na utunzwaji wake ni baibo iliyotumiwa na H.I.M Kutoka kwa babu yake king solomon..
Wewe hii baibo yako ya kisasa unajuaje km ni og?
Mzee unaongea vitu usivyovijua au ni story umeisikia kijiweni na wewe umeibeba kama ilivyoSababu ya kihistoria na utunzwaji wake ni baibo iliyotumiwa na H.I.M Kutoka kwa babu yake king solomon..
Wewe hii baibo yako ya kisasa unajuaje km ni og?
Uzuri hapa wamekusanywa woteAcha nisubiri majeshi kutoka Saudi Arabia pamoja na Vatican waje kujibu
Sawa mkuu wengine baibo ni kama gazeti la udakuMimi naangalia kilichoandikwa maana ndicho kitiacho uzima. Hata aliyeandika sina shida ya kumjua!
Haya wewe mwenye hiyo Elimu ya Uungu. Thibitisha huyo Mungu yupo.Kwa muktdha huo wewe sio binadamu wa kawaida kitu ambacho umeshindwa kuniconvice, binadamu Mimi na wewe hatuna tofauti Kama Mimi naamini it means na wewe unahizo feeling because your human lakin si lazima ziwe directly Kwenye the samething na ninachoamini.
That's why huamini Kwenye kuamini..
Lakini unahitaji kujua Kwa ushahidi na uthibitsho which means hivyo vitu vikipatikana na kuthibitika utavunja kanuni Yako ya kuamini kwasababu utakua umejua.
Mimi nimewahi kuota ndoto niko ikulu ya marekani naongea na Trump na tunaelewana kabisa na nikaja nikakupa muonekano wa ikulu ya marekani exactly Kama ilivyo lakini Kama wewe uliwahi kufika utakubali kwakua umewahi kufika marekani ikulu lakini Mimi nikikwambia sijawahi ata kukanyaga marekani huwezi kunielewa. Kwahio lazima uelewe Kuna level ya Elimu ambayo huna ambayo inayokufanya kuwa katka situation uliyonayo, hivyo wew kupinga Kwako ni kwasababu ya levo ya Elimu ulonayo kuhusu maarifa ya uungu.
Zamani nilipokua mdogo tulikua na tabia ya kuchezea zile cassette zenye uzi mweusi, na kipindi hicho tulikua tunabishana kuhusu watu wanaoimba music wako ndani ya zile nyuzi imagine! Ni kwasabu level yetu ya uelewa katka Hilo eneo ulikua mdogo hivyo wewe unakataa uchawi ni Elimu ambayo huna tu, lakini ikienda ujerumani Kuna chuo kikuu, naskia na Nairobi kimefunguliwa ukienda pale chuoni unaweza rudi namtazamo tofauti kabisa
TuvumilianeAllen Kilewella
Sasa hivi nyuzi zako nitakuwa siji , wapotoshaji na wanaoleta story za kijiweni nikishaleta hoja wazijibu wanaingia mitini
Mkuu hii si inategemea na utashi wa mtuSawa mkuu wengine baibo ni kama gazeti la udaku
karatasi zake tunavutia ganja
jah bless you!
Quran imeshushwa Kwa mtindo wa Aya na baadhi zimeshuka Kwa sura kamili.Kwenye manuscript zilizopo
Walioandika Quran hii ya Leo wametoa wapi ikiwa hakuna nakala ya karne ya 7 hata moja?
NILETEE kipande cha Quran ya karne ya 7Quran imeshushwa Kwa mtindo wa Aya na baadhi zimeshuka Kwa sura kamili.
Kila Aya unayoiona kwenye Quran imepita Kwa jibril ikaenda Kwa Muhammad ndo wakasomewa watu.hakuna Aya Wala sura hata Moja iliyotungwa na binadamu.ndo maana mfumo wa kusoma Quran ulikuwa ni WA kuuhifadhi moyoni .wakarithishwa vizazi na vizazi mpaka Leo hii.
Aya niambie biblia asili ipo wapi?
Quran yote unayoiona sasa.ndo ilikuwa kipindi Cha Muhammad.NILETEE kipande cha Quran ya karne ya 7
Sitaki porojo
Na ndyo maana Quran imeshuka Kwa kiarabu na mpaka Leo imebakia lugha yake ya asili ni KIARABU.NILETEE kipande cha Quran ya karne ya 7
Sitaki porojo
Vitabu halisi ni vipi hivyo kwa fikra zako au ulitaka yaani miaka 2000 nyuma walivyokuwepo wakina Yesu na Muhammad wangevifungia kabatini hadi leo uje kuvikuta wewe ama umelenga nini kusema neno halisi?Leo nimekutana na mwanazuoni mmoja mbobevu kwenye masuala ya dini amenihakikishia kuwa hakuna hata mtu mmoja mitaani mwenye Biblia au Quran halisi.
Mwanazuoni huyo kaniambia mitaani kuna nakala tu za vitabu hivyo wala si vitabu halisi. Kaniambia ni uchochezi wa kidini tu kuzitakatifusha hizo nakala kama ni vitu vitakatifu.
Kasema kiuhalisia nakala hizo zinatokana na vitabu halisi lakini zenyewe siyo vitabu halisi. Kasema hakuna mtu mwenye uwezo wa kuwa na Biblia au Quran halisi.
Kazi ipo.
NILETEE kipande cha Quran ya karne ya 7Na ndyo maana Quran imeshuka Kwa kiarabu na mpaka Leo imebakia lugha yake ya asili ni KIARABU.
Ila biblia sasa.agano la kale limeandikwa kiebrania ,agano jipya limeandikwa kigiriki
NILETEE kipande cha Quran ya karne ya 7Quran yote unayoiona sasa.ndo ilikuwa kipindi Cha Muhammad.
Hyo sio nguo useme utakata kipande.
Hakuna maandishi yaliyopunguzwa Wala kuongezwa
Hakuna kitu kinachoitwa lipande Cha Quran Cha Karne ya saba..NILETEE kipande cha Quran ya karne ya 7
Sitaki porojo
Leta Ushahid ,acha uongoHakuna kitu kinachoitwa lipande Cha Quran Cha Karne ya saba..
Acha uongo.
Quran yote unayoiona hapa Sasa ndo ile aliyopewa MTUME MUHAMMAD