Kumbe mitaani hakuna Biblia Wala Quran halisi!

Kumbe mitaani hakuna Biblia Wala Quran halisi!

Kama siyo vitabu halisi kumbe kurasa zake tunaweza kufungia maandazi kama tu tunavyotumia magazeti ya kawaida?

hamis77 Kiranga Infropreneur
Mchakato wa biblia unajulikana na upo wazi,

Biblia ya zaman kabisa ni Septuaginta LXX hata Yesu kazikuta ,iliandikwa kwa Kigiriki kule Alexandria misri kwa wayahudi waliokuwa Misri

Agano jipya nakala zake zipo pia za awali

Na manuscripts nyingi zipo

Ni jambo ambalo kwenye Ukristo linakulikana ,na hata vitabu vya apokrifa vinajulikana kwanini waprotestant hawavikubali

Mchakato biblical canonization unajulikana na upo wazi

Shida ipo kwa Quran mchakato huo unafichwa kama Bangi, na muumini wa kawaida hatakiwi kujua , anatakiwa kuambiwa tu Quran ilishushwa kutoka juu, haijawahi kubadilika,kitu ambacho sio kweli ,mchakato wake Hadi inaandikwa hapo Al Azhar University 1924 unajulikana ,

Manuscript zake za karne ya 7 hazipo ,maana Uthman alichoma moto Quran zote,aliyobaki nayo haijulikani ipo wapi
 
Bado kuna wapumbavu watetezi wa hizi dini watapinga, mfano biblia japo mistari yake imesema hairuhusiwi kuongeza wala kupunguza lolote lkn ndio kitabu kinachoongoza kufanyiwa mabadiriko na marekebisho ya kila aina, kuanzia kufutwa kwa baadhi ya mistari, kuongeza maneno nje ya yaliyokuwepo, kuondolewa/kufichwa kwa baadhi ya vitabu kwa maslahi ya kundi fulani, hivi kitabu cha aina hii unasemaje ni kitakatifu?.

Tukirudi kwa Quran huku ndio matatizo matupu, watu wameaminishwa ni maneno ya mitume na maneno ya Allah kumbe kuna wajanja walikaa wakachukua stories za mamilioni ya miaka kutoka kwa jamii za waafrika then wakabadiri maana, geografía ya maeneo na historia nzima na Kuunda hiyo vitabu vya biblia na Quran.

Ni kweli kuwa hakuna mwenye Biblia/Quran halisi maana hivyo vyote viliundwa mamia ya miaka iliyopita kutoka nakala mbalimbali, baadhi zinazofichua haya mambo zilishachomwa.

Lakini kitabu cha nakala halisi waliyoiba na kucopy hizo stories kipo ORIGINAL kabisa ambacho ndio msingi wa historia ya dunia, na ndio kitabu pekee kinachoeleza mambo yaliyopita yaliyopo na yajayo kiuhalisia wala huitaji dini kukijua wala huitaji kuwa ktk hayo makongamano yenu ya wachungaji na mashekhe.

Ukristo+uislamu ni dini za kitapeli, ziliundwa kwa maelekezo maalumu ya mzungu&mwarabu, hakuna ukweli ktk hizi dini, mnapoteza muda wenu bure.

Huu ndio muda wa hizi dini kujifia na zitakufa maana mwisho wa uongo lazima ufike, jinsi miaka inavyozidi kwenda mtashuhudia maelfu ya watu weusi kuachana na hizi dini, kuzipinga na hata kuhoji uhalali wa hiyo Miungu yake, hata sasa nadhani mnaona hizi mada zinavyoongezeka kila siku hili si bahati mbaya bali ni uhalisia na UTABIRI ambao lazima utimie, si JF tu mitandao yote mpaka mitaani japo watu wanaogopa kuhoji ktk familia na kwa wachungaji, miaka ijayo watu watauliza bila kuogopa kama hivi sasa.

Ni muda sasa makanisa/misikiti inapungua namba ya watu na tuendako majengo hayo yatabaki matupu, tupeane muda, miaka 5 kuanzia sasa tutashuhudia mengi sana.
 
Kama siyo vitabu halisi kumbe kurasa zake tunaweza kufungia maandazi kama tu tunavyotumia magazeti ya kawaida?

hamis77 Kiranga Infropreneur
Yaan muuza vitumbua anyofoe kurasa za Biblia au Quran na afungie vitumbua wateja wake? Labda kwa wagalatia watasema wanamwachia Yesu atashughulika na muuzaji siku ya mwisho ila wazee wa Kobazi wanafyeka kichwa mchana kweupeee..hawanaga uvumilivu wao kwao Allah anapiganiwa,yaan dini ya Allah inatakiwa ipiganiwe kwa jasho na damu.
 
We jamaa siku hizi sijui umekuwaje,mada za dini achana nazo zinaukakasi wewe sio mbobevu
Sasa hapa nimekosea nini ndugu mbobevu... Nilikuwa sijui ndiyo mtu Leo kaniambia.

Kama wewe ulikuwa unajua niwie radhi miye nilichelewa kujua... Ulimbukeni huwa hauishi duniani.
 
Mchakato wa biblia unajulikana na upo wazi,

Biblia ya zaman kabisa ni Septuaginta LXX hata Yesu kazikuta ,iliandikwa kwa Kigiriki kule Alexandria misri kwa wayahudi waliokuwa Misri

Agano jipya nakala zake zipo pia za awali

Na manuscripts nyingi zipo

Ni jambo ambalo kwenye Ukristo linakulikana ,na hata vitabu vya apokrifa vinajulikana kwanini waprotestant hawavikubali

Mchakato biblical canonization unajulikana na upo wazi

Shida ipo kwa Quran mchakato huo unafichwa kama Bangi, na muumini wa kawaida hatakiwi kujua , anatakiwa kuambiwa tu Quran ilishushwa kutoka juu, haijawahi kubadilika,kitu ambacho sio kweli ,mchakato wake Hadi inaandikwa hapo Al Azhar University 1924 unajulikana ,

Manuscript zake za karne ya 7 hazipo ,maana Uthman alichoma moto Quran zote,aliyobaki nayo haijulikani ipo wapi
Yesu hakukuta biblia popote, tengua kauli
 
Jaribu kufanya hivyo kwa Quran kesho asubuhi kama jioni bado utakuwa na kichwa kwenye kiwiliwili chako.
Mungu wa Quran wa ajabu sana hana nguvu za kutetea dini yake mpaka ategemee waumini wake waitete dini, huyu ana utofauti gani na mtoto mdogo asiye na uwezo wa kujitetea zaidi ya kusubiri watu wazima wamtetee?, hizo nguvu zake, miujiza mnayofundishana misikitini hivi kiuhalisia kuna hata muujiza mmoja ashawai kuufanya?, afadhali hata ile dini ya ukristo japo nao matapeli lkn Mungu wao hatetewi na waumini kaachwa ajitetee mwenyewe japo naye hana huo uwezo lkn miujiza ya maigizo huko makanisani si mnaiona?, kuna shekhe hata mmoja anauwezo wa kutibu hata Homa kupitia utapeli wa Quran?😂.

Unapohukumu dini za wenzenu hakikisha dini yako imekamilika na sio hayo maigizo yenu wafia dini.
 
“He that beats a drum for the mad man to dance is no better than the mad man himself.”
 
We jamaa siku hizi sijui umekuwaje,mada za dini achana nazo zinaukakasi wewe sio mbobevu
Mambo ya dini hayaitaji ubobevu kuyahoji, huu upuuzi wa kusubiri fulani ndie atoe jibu yamewachelewesha waafrika kuugundua utapeli wa hizi dini, maana hao mnaowaita wataalamu wa hizi dini nao ni wahuni wanaofanya kazi ya kitepeli kuhakikisha uongo unabaki hivyo, na hata mtu akihoji anapewa majibu yasiyo na maana+ vitisho vya kitoto.

Hamuwezi kuwazuia watu kuhoji huu utapeli wa Quran na Biblia, hivu vitabu lazima tuvifute
 
Quran ndo kitabu pekee ambacho hakijafanyiwa editing yoyote na Mungu ameahidi kukilinda mpk siku ya mwisho.
Hakutakuja kutokea mtu/watu au mtambo wala technologia yoyote itakayokuja kubadili Quran hii halisi na kuwa copy au kuharirirwa kwa namna yoyote ile.
Waulize wasomi wa elimu ya mambo ya imani watakwambia hii siri ni kwanini Quran haihaririki ukilinganisha na vitabu vingine.
Ndo kitabu pekee kulichopangiliwa kiweredi na utaalam wa hali ya juu.
 
Mchakato wa biblia unajulikana na upo wazi,

Biblia ya zaman kabisa ni Septuaginta LXX hata Yesu kazikuta ,iliandikwa kwa Kigiriki kule Alexandria misri kwa wayahudi waliokuwa Misri

Agano jipya nakala zake zipo pia za awali

Na manuscripts nyingi zipo

Ni jambo ambalo kwenye Ukristo linakulikana ,na hata vitabu vya apokrifa vinajulikana kwanini waprotestant hawavikubali

Mchakato biblical canonization unajulikana na upo wazi

Shida ipo kwa Quran mchakato huo unafichwa kama Bangi, na muumini wa kawaida hatakiwi kujua , anatakiwa kuambiwa tu Quran ilishushwa kutoka juu, haijawahi kubadilika,kitu ambacho sio kweli ,mchakato wake Hadi inaandikwa hapo Al Azhar University 1924 unajulikana ,

Manuscript zake za karne ya 7 hazipo ,maana Uthman alichoma moto Quran zote,aliyobaki nayo haijulikani ipo wapi
Tukianza na historia kabisa tuchukue nakala halisi za historia na nakala za biblia kuanza kukagua mambo, tutagundua hata huyo Yesu hajawai kuwepo maana miaka 2000 iliyopita kama mnavyoaminishana alikuwepo huyo jamaa, hutopata ushahidi wowote wa kihistoria, kijiografia, kifizikia mpaka kibiolojia hakuna huo ushahidi wa uwepo wa yesu wala taifa la israel hapo Middle East zaidi zaidi ilikuwa ardhi ya koloni la wazungu walipoishi waarabu pia na si taifa la israel na wala historia za hao manabii uchwara hazipo.

sasa turudi kwenye mada je hayo maandiko hayajawai kufanyiwa mabadiriko?, kwanini kuna nakala na matoleo mengi?, je maana ktk nakala za zamani una uhakika ndizo hizi hizi unazotumia wewe kanisani?, yaani mzungu mrumi aliyeuchezea ukristo na muanzilishi wa ukristo na kuleta hii migawanyiko utegemee akupe nakala halisi?.

Hivi wafia dini akili huwa mnaweka wapi, soma historia
 
Mambo ya dini hayaitaji ubobevu kuyahoji, huu upuuzi wa kusubiri fulani ndie atoe jibu yamewachelewesha waafrika kuugundua utapeli wa hizi dini, maana hao mnaowaita wataalamu wa hizi dini nao ni wahuni wanaofanya kazi ya kitepeli kuhakikisha uongo unabaki hivyo, na hata mtu akihoji anapewa majibu yasiyo na maana+ vitisho vya kitoto.

Hamuwezi kuwazuia watu kuhoji huu utapeli wa Quran na Biblia, hivu vitabu lazima tuvifute
kikubwa msemo wa kikwete utumike tu
 
Quran ndo kitabu pekee ambacho hakijafanyiwa editing yoyote na Mungu ameahidi kukilinda mpk siku ya mwisho.
Hakutakuja kutokea mtu/watu au mtambo wala technologia yoyote itakayokuja kubadili Quran hii halisi na kuwa copy au kuharirirwa kwa namna yoyote ile.
Waulize wasomi wa elimu ya mambo ya imani watakwambia hii siri.
Ukiachana na Quran una orodha yoyote ya vitabu vyovyote vya kihistoria ulivyosoma kuzipa nguvu hoja zako? Au nawewe ndio wale wale mnaotumia maandiko ya kitabu cha dini kutetea na kujenga hoja?.

Hivi kwanini nnje ya vitabu vya dini zenu, matukio na matendo ya matukio hayo hayana ushahidi wa uwepo wake? Hivi historia za manabii wenu na huyo Mungu wenu aliandikwa ktk biblia na Quran pekee?,😂😂.
ukisoma historia za mafalao, falme za misri, Ethiopia, sudan, Mali na hata ulaya, china, india kote huko historia zao zina maelfu ya miaka lkn zimeandikwa ktk nakala nyingi kuprove ushahidi wa uwepo wake, je nje ya Quran kuna ushahidi wa uwepo wa Ishmael?, Musa?, huyo adamu?, au basi hata huyo Issa wa marium je?.

Amkeni mnachezewa na hizo dini
 
Mbona hakuna cha ajabu kwenye maelezo hayo. Au alikuchanganya aliposema tulivyo navyo ni nakala? Maana ya nakala ni photocopy. Ukipiga photocopy maana yake content inakuwa ni ie ya original.

INgewezekana vipi biblia iwe ni ile original, yaani wangechapa copies bilioni ngapi hata vikatoshe Dunia nzima?

Biblia.na Quran original, vyote vipo kwente maktaba kuu Vatican, maktaba ambayo ni kubwa kuliko maktaba zote Duniani. Huko utaona maandishi kwenye magome ya miti, kwenye mbao, maandishi ya kutumia manyoya ya ndege kama ndiyo kalamu, utaona pia vitu mbalimbali vya zamani kabisa, ikiwemo sanda ya Yesu, japo vingine havikukusanywa wakati wa matukio bali vilipatikana baada ya tafiti nyingi na kutafutiwa uhakikisho wa Kisayansi, hasa carbon 14 dating ili kuona kama vitu hivyo vina umri ule unaotajwa katika Biblia.
 
Leo nimekutana na mwanazuoni mmoja mbobevu kwenye masuala ya dini amenihakikishia kuwa hakuna hata mtu mmoja mitaani mwenye Biblia au Quran halisi.

Mwanazuoni huyo kaniambia mitaani kuna nakala tu za vitabu hivyo wala si vitabu halisi. Kaniambia ni uchochezi wa kidini tu kuzitakatifusha hizo nakala kama ni vitu vitakatifu.

Kasema kiuhalisia nakala hizo zinatokana na vitabu halisi lakini zenyewe siyo vitabu halisi. Kasema hakuna mtu mwenye uwezo wa kuwa na Biblia au Quran halisi.

Kazi ipo.
Mungu acha ubishi
 
Back
Top Bottom