Kumbe mitaani hakuna Biblia Wala Quran halisi!

Kumbe mitaani hakuna Biblia Wala Quran halisi!

Ukiachana na Quran una orodha yoyote ya vitabu vyovyote vya kihistoria ulivyosoma kuzipa nguvu hoja zako? Au nawewe ndio wale wale mnaotumia maandiko ya kitabu cha dini kutetea na kujenga hoja?.

Hivi kwanini nnje ya vitabu vya dini zenu, matukio na matendo ya matukio hayo hayana ushahidi wa uwepo wake? Hivi historia za manabii wenu na huyo Mungu wenu aliandikwa ktk biblia na Quran pekee?,😂😂.
ukisoma historia za mafalao, falme za misri, Ethiopia, sudan, Mali na hata ulaya, china, india kote huko historia zao zina maelfu ya miaka lkn zimeandikwa ktk nakala nyingi kuprove ushahidi wa uwepo wake, je nje ya Quran kuna ushahidi wa uwepo wa Ishmael?, Musa?, huyo adamu?, au basi hata huyo Issa wa marium je?.

Amkeni mnachezewa na hizo dini

Kuna matukio yapo kwenye kumbukumbu za kihistoria nje ya Biblia. Kuhusu Yesu Kristo, hasa miujiza aliyoitenda, kuhukumiwa na kuuawa msalabani, hayo yameandikwa na wanahistoria wa Kiyahudi na Kirumi.

Kama lugha inapanda vizuri, soma hapa chini. Haya ni maelezo kwa kifupi ya wanahistoria wasio na imani ya kidini, walimzungumzia Yesu Kristo, tena wanaelezea mpaka mwonekano wake. Ukisumbuliwa na lugha, weka wazi, tukutafsirie:

Several ancient non-Christian historians and writers, including Tacitus, Josephus, and Pliny the Younger, provide critical, independent evidence for the historical existence of Jesus Chris:
Key Historical Reports Outside the Bible
  • Flavius Josephus (c. 93–94 AD): A Jewish historian who mentioned Jesus twice in Antiquities of the Jews. He describes Jesus as a wise man, a teacher, and a worker of "startling deeds" who was crucified, and he also mentions the death of James, identified as Jesus' brother.
  • Tacitus (c. 116 AD): The Roman historian, writing in Annals, reports that "Christus" was executed under procurator Pontius Pilate during Tiberius's reign, marking the start of a "mischievous superstition" (Christianity).
  • Pliny the Younger (c. 112 AD): A Roman governor who wrote to Emperor Trajan describing early Christians singing hymns to Christ "as to a god," confirming early worship of Jesus.
  • The Talmud: Mentions the execution of "Yeshu" on the eve of Passover, acknowledging his death and role as a teacher, while justifying the execution.
  • Thallus (c. 52 AD): While his writings are lost, fragments quoted by others indicate he (a non-Christian) tried to explain the darkness during the crucifixion as an eclipse, validating that a crucifixion and related, unusual events occurred.
Contextual Details
  • Execution: Multiple sources agree on the crucifixion.
  • Character: He was viewed as a teacher and worker of wonders.
  • Physical Description: Based on the time and region, scholars suggest he had olive-brown skin, dark hair, and brown eyes, as mentioned in this History.com article.
These accounts, written within decades of his life, are considered independent verification by historians, confirming that the Jesus of the Gospels was a real historical figure, despite the scarcity of contemporary Roman records.
 
Mchakato wa biblia unajulikana na upo wazi,

Biblia ya zaman kabisa ni Septuaginta LXX hata Yesu kazikuta ,iliandikwa kwa Kigiriki kule Alexandria misri kwa wayahudi waliokuwa Misri

Agano jipya nakala zake zipo pia za awali

Na manuscripts nyingi zipo

Ni jambo ambalo kwenye Ukristo linakulikana ,na hata vitabu vya apokrifa vinajulikana kwanini waprotestant hawavikubali

Mchakato biblical canonization unajulikana na upo wazi

Shida ipo kwa Quran mchakato huo unafichwa kama Bangi, na muumini wa kawaida hatakiwi kujua , anatakiwa kuambiwa tu Quran ilishushwa kutoka juu, haijawahi kubadilika,kitu ambacho sio kweli ,mchakato wake Hadi inaandikwa hapo Al Azhar University 1924 unajulikana ,

Manuscript zake za karne ya 7 hazipo ,maana Uthman alichoma moto Quran zote,aliyobaki nayo haijulikani ipo wapi
Walioandika hizo biblia walikuwa wanatoa wapi hizo Aya?
 
Bado kuna wapumbavu watetezi wa hizi dini watapinga, mfano biblia japo mistari yake imesema hairuhusiwi kuongeza wala kupunguza lolote lkn ndio kitabu kinachoongoza kufanyiwa mabadiriko na marekebisho ya kila aina, kuanzia kufutwa kwa baadhi ya mistari, kuongeza maneno nje ya yaliyokuwepo, kuondolewa/kufichwa kwa baadhi ya vitabu kwa maslahi ya kundi fulani, hivi kitabu cha aina hii unasemaje ni kitakatifu?.

Tukirudi kwa Quran huku ndio matatizo matupu, watu wameaminishwa ni maneno ya mitume na maneno ya Allah kumbe kuna wajanja walikaa wakachukua stories za mamilioni ya miaka kutoka kwa jamii za waafrika then wakabadiri maana, geografía ya maeneo na historia nzima na Kuunda hiyo vitabu vya biblia na Quran.

Ni kweli kuwa hakuna mwenye Biblia/Quran halisi maana hivyo vyote viliundwa mamia ya miaka iliyopita kutoka nakala mbalimbali, baadhi zinazofichua haya mambo zilishachomwa.

Ww ni shetani halis ushndwe na ulegee
 
Vile vya mwanzo kuandikwa ndivyo halisi...
Vitaje hivyo vya mwanzo alivyokutajia huyo muhuni halafu huyo muhuni alikua amevuta nini kabla ya kuanza kuongea na wewe na kukulisha matango ya porini ili ufe? Wewe badala ukapige story na father au Askofu unaenda kupiga story na muhuni hata theology hajui ni nini unatagemea nini?
 
Magalatia yanaforce tufanane, you don't trust yourself.. Tatizo linaanzia hapo Quran 2:2 kitabu hakina shaka.... Nyie wagalatia hamjiamini mna dini imara Sana Ya Yesu aliwaachia kitu kilicho nyooka ila ndio watu mnaoyumbishwa kila kukicha lait mngelijiamini na Imani yenu msingefika hapa mlipo.
 
Magalatia yanaforce tufanane, you don't trust yourself.. Tatizo linaanzia hapo Quran 2:2 kitabu hakina shaka.... Nyie wagalatia hamjiamini mna dini imara Sana Ya Yesu aliwaachia kitu kilicho nyooka ila ndio watu mnaoyumbishwa kila kukicha lait mngelijiamini na Imani yenu msingefika hapa mlipo.
Hii inahusiana na hii mada? Quran 2:2 inasema nini?
 
Wewe umesema hakuna Quran na biblia halisi, una maana Hata hizi dini sio halisi? Au una amiini dini hizi ni halisi ila vitabu ndio sio halisi?
Afadhali umeuliza... Hakuna mahali nimezungumzia yaliyomo ndani ya hivyo vitabu... Hoja yangu kumbe vitabu tulivyo navyo majumbani mwetu ni nakala na siyo vitabu halisi.

Ukisema hii ni Biblia au Quran kiuhalisia hiyo ni nakala ya ile halisi ambayo inawezekana hatujui ilipo.
 
Wewe ni mpagani?
Mimi ni Atheist.

Siamini kwenye kuamini.

Sina imani ya aina yoyote ile ya Mungu au miungu.

Wapagani ni tofauti na Atheists.

Wapagani kwa kiingereza "pagans" ni watu ambao hawaamini Mungu wa ukristo yaani Yesu Kristo. Lakini wana imani kwa miungu yao mingine. Hawa ndio waliitwa Wapagani.

Ni sawa na waislamu wanavyoita "makafiri" kwa watu ambao hawamwamini Allah. Vivyo hivyo Wapagani ni watu wote wasio mwamini Yesu Kristo. Ila wana imani za Miungu yao mingine.

Sasa Atheists ni watu ambao hatuna imani ya aina yoyote ile ya Mungu au miungu. Hatumwamini Mungu wa aina yoyote ile.

Hatuamini Mungu, miungu, Shetani, mapepo, majini, mizimu, uchawi, uganga, ulozi au ushirikina.
 
Leo nimekutana na mwanazuoni mmoja mbobevu kwenye masuala ya dini amenihakikishia kuwa hakuna hata mtu mmoja mitaani mwenye Biblia au Quran halisi.

Mwanazuoni huyo kaniambia mitaani kuna nakala tu za vitabu hivyo wala si vitabu halisi. Kaniambia ni uchochezi wa kidini tu kuzitakatifusha hizo nakala kama ni vitu vitakatifu.

Kasema kiuhalisia nakala hizo zinatokana na vitabu halisi lakini zenyewe siyo vitabu halisi. Kasema hakuna mtu mwenye uwezo wa kuwa na Biblia au Quran halisi.

Kazi ipo.
Ni kama vile mtu amebaini mke wake ni malaya halafu anataka atuaminishe kuwa wanawake wote ni malaya.😂😂😂
 
Mimi ni Atheist.

Siamini kwenye kuamini.

Sina imani ya aina yoyote ile ya Mungu au miungu.

Wapagani ni tofauti na Atheists.

Wapagani kwa kiingereza "pagans" ni watu ambao hawaamini Mungu wa ukristo yaani Yesu Kristo. Lakini wana imani kwa miungu yao mingine. Hawa ndio waliitwa Wapagani.

Ni sawa na waislamu wanavyoita "makafiri" kwa watu ambao hawamwamini Allah. Vivyo hivyo Wapagani ni watu wote wasio mwamini Yesu Kristo. Ila wana imani za Miungu yao mingine.

Sasa Atheists ni watu ambao hatuna imani ya aina yoyote ile ya Mungu au miungu. Hatumwamini Mungu wa aina yoyote ile.

Hatuamini Mungu, miungu, Shetani, mapepo, majini, mizimu, uchawi, uganga, ulozi au ushirikina.
Je unafikiri ni Sahihi kuwa na mtazamo huo? Ni kipi kimekusuma kuamini Kama haya yote uliyotaja ni fake haya exist?
 
Leo nimekutana na mwanazuoni mmoja mbobevu kwenye masuala ya dini amenihakikishia kuwa hakuna hata mtu mmoja mitaani mwenye Biblia au Quran halisi.

Mwanazuoni huyo kaniambia mitaani kuna nakala tu za vitabu hivyo wala si vitabu halisi. Kaniambia ni uchochezi wa kidini tu kuzitakatifusha hizo nakala kama ni vitu vitakatifu.

Kasema kiuhalisia nakala hizo zinatokana na vitabu halisi lakini zenyewe siyo vitabu halisi. Kasema hakuna mtu mwenye uwezo wa kuwa na Biblia au Quran halisi.

Kazi ipo.
Huyo Mwanazuoni wako ameupimaje uhalisi wa Biblia?
 
Back
Top Bottom