norbit
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 897
- 768
Wenye akili zao mbona wameshaelewaHapa unamaanisha nini?
Wenye akili zao mbona wameshaelewaHapa unamaanisha nini?
Quran imeshushwa KUTOKA Kwa Mungu akampa jibril akamsomea mtume ambaye alikwenda kuwasomea WA watu.Umeshindwa kuleta hata kipande cha karatasi cha Quran ya karne ya 7 ,
Unakimbilia kutafuta kichaka
Waislamu kama nyie ni vipofu mnaoburuzwa
Kwani wewe uliposema yakobo na Mungu hawakushindana kinguvu ila kiroho nilipokuuliza hyo maana uliitoa wapi .UMEJIBU?Huwa mtu anayejibu vitu bila reference kwangu namuona ni muongo
Ndio wewe sasa ,
Israel ni Mja wa Mungu kwa reference ipi
Ukamsingizia ibn kathiri,cha ajabu umeshindwa kuleta wapi kasema 😂😂
Wewe uislamu Bado sana ,
Kuna wenye akili za wengine?Wenye akili zao mbona wameshaelewa
Mpaka mwisho siulikimbia wewe 😂Kwani wewe uliposema yakobo na Mungu hawakushindana kinguvu ila kiroho nilipokuuliza hyo maana uliitoa wapi .UMEJIBU?
Hazina tofauti, sasa waislamu hata hizo nakala hakunaHivi maana ya nakala ni nini?!
Nikiandika barua kwenda idara/taasisi 'A' halafu nakala zake nikazituma sehemu tofauti tatu, nne, tano au zaidi..... hizo nakala zitakuwa na mapungufu gani kulinganisha na ile barua halisi niliyoandika?!
Ndio ulivyodanganywa?Quran imeshushwa KUTOKA Kwa Mungu akampa jibril akamsomea mtume ambaye alikwenda kuwasomea WA watu.
Haya tuambie biblia kapewa mtume gani?
Quran yote unayoiona hapa Dunia.ndo Quran hyo unayoitaka ya Karne ya saba.Ndio ulivyodanganywa?
Haya naomba nakala ya Quran ya karne ya 7
Jibuu.wewe ulipo sema YAKOBO na Mungu hawakushindana kinguvu ila kiroho hayo maelezo uliyatoa wapi?Mpaka mwisho siulikimbia wewe 😂
Isee, kuran wanazotumia ni nini?!Hazina tofauti, sasa waislamu hata hizo nakala hakuna
Isee, sasa imekuwa kama vile ni ufahari kupinga uwepo wa Mungu! Kwamba kihistoria Yesu hakuwepo! Pole sana.Tukianza na historia kabisa tuchukue nakala halisi za historia na nakala za biblia kuanza kukagua mambo, tutagundua hata huyo Yesu hajawai kuwepo maana miaka 2000 iliyopita kama mnavyoaminishana alikuwepo huyo jamaa, hutopata ushahidi wowote wa kihistoria, kijiografia, kifizikia mpaka kibiolojia hakuna huo ushahidi wa uwepo wa yesu wala taifa la israel hapo Middle East zaidi zaidi ilikuwa ardhi ya koloni la wazungu walipoishi waarabu pia na si taifa la israel na wala historia za hao manabii uchwara hazipo.
sasa turudi kwenye mada je hayo maandiko hayajawai kufanyiwa mabadiriko?, kwanini kuna nakala na matoleo mengi?, je maana ktk nakala za zamani una uhakika ndizo hizi hizi unazotumia wewe kanisani?, yaani mzungu mrumi aliyeuchezea ukristo na muanzilishi wa ukristo na kuleta hii migawanyiko utegemee akupe nakala halisi?.
Hivi wafia dini akili huwa mnaweka wapi, soma historia
Man madeIsee, kuran wanazotumia ni nini?!
Ona huyu muongo! Mudi mnayekubali kuwa hakujua kusoma wala kuandika alikwenda 'kuwasomea' vipi watu?!Quran imeshushwa KUTOKA Kwa Mungu akampa jibril akamsomea mtume ambaye alikwenda kuwasomea WA watu.
Haya tuambie biblia kapewa mtume gani?
Alikuwa anakariri.yaani anasomewa na yeye alikuwa anakwenda KUWASOMEA.kumbuka kusoma unatumia mdomo ila.kuandika unatumia mkono.Ona huyu muongo! Mudi mnayekubali kuwa hakujua kusoma wala kuandika alikwenda 'kuwasomea' vipi watu?!
Na hyo ndo inaaminika ndo Aya ya kwanza kushushiwa mtumeOna huyu muongo! Mudi mnayekubali kuwa hakujua kusoma wala kuandika alikwenda 'kuwasomea' vipi watu?!
Kusoma unasoma yaliyoandikwa au unatamka uliyokariri?!Alikuwa anakariri.yaani anasomewa na yeye alikuwa anakwenda KUWASOMEA.kumbuka kusoma unatumia mdomo ila.kuandika unatumia mkono.
Kwa hyo Kila alilosomewa na jibril yeye alikuwa anakariri
Kutamka uliyokariri ndo kusoma kwenyewe.maana Quran ilikuwa inashushwa Kwa mfumo wa aya.ni kitabu sio maongezi.Kusoma unasoma yaliyoandikwa au unatamka uliyokariri?!
Isee, mimi hapa nimesoma reply yako kwa sababu umeiandika kwa maandishi, unasema kutamka uliyokariri ndiyo kusoma! Na kusoma yaliyoandikwa ni kufanyaje?!Kutamka uliyokariri ndo kusoma kwenyewe.maana Quran ilikuwa inashushwa Kwa mfumo wa aya.ni kitabu sio maongezi.