Ertugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 13,490
- 27,207
Kuna kujenga sio michongo yao kabisa mkuu, mipango sio yetu Sijui umeelewa?Mkuu naona haujaelewa issue sio kuwa na pesa.
Uzi unakumbusha kujimanage kidogo na kununua/kujenga nyumba haijalishi unapesa nyingi au kidogo.
Nimekuelewa mkuu, tufanye mishe zako zipo town zile nauli za kla siku unazotumia ungekuwa umepanga town uoni kma ungekuwa unasave kiasi fulaniNimekulia Majumba sita alafu Mwenge na Sinza.
Washua wakahamia madale 2005 .
Nikawa nawashangaa hata kama wamejenga. Ila kwanini wasingejenga mjini?.
Mm nimeanzia Maisha Kinondoni na Kijitonyama. Na nikawa na mentality kuwa mjini sihami ngo.
Ila mbeleni akili za kikubwa zikanijia.
Niko Goba na maisha naona yanasonga.
kukaa mjini na kulipa Kodi kubwa Sio ujanja. Kwanza hakuna utulivu.
Kama uko age flan ya kujipanga (25+) bora ukae mbali kidogo na mji. Kwa gharama nafuu kidogo ili ikupe mazoea na uone kawaida kujenga na kuwa na kwako pembezon mwa mji.
Ukiwa mentality ya kukaa mjini. Utazeeka haujajenga.
Maana kupata mill 200+ kumvua mtu nyumba its a not a joke.
Haina shida mkuu kila la kheri but I said what I saidNimekulia Majumba sita alafu Mwenge na Sinza.
Washua wakahamia madale 2005 .
Nikawa nawashangaa hata kama wamejenga. Ila kwanini wasingejenga mjini?.
Mm nimeanzia Maisha Kinondoni na Kijitonyama. Na nikawa na mentality kuwa mjini sihami ngo.
Ila mbeleni akili za kikubwa zikanijia.
Niko Goba na maisha naona yanasonga.
kukaa mjini na kulipa Kodi kubwa Sio ujanja. Kwanza hakuna utulivu.
Kama uko age flan ya kujipanga (25+) bora ukae mbali kidogo na mji. Kwa gharama nafuu kidogo ili ikupe mazoea na uone kawaida kujenga na kuwa na kwako pembezon mwa mji.
Ukiwa mentality ya kukaa mjini. Utazeeka haujajenga.
Maana kupata mill 200+ kumvua mtu nyumba its a not a joke.
Kuna watu hata hiyo mihogo na maji hawana, Niambie unakula gwala hau hauli nikinukishe humusio magumu kwako familia😆😆,, mi nakula mihogo na maji hiyo gwala siitaki😜
Wengine wamezaliwa kusumbukia vitu vya ulimwengu, japo ndio hvo kila mtu anakitu chake kinachompa furaha... naweza kukaa nyumba ya 45,000 na nikamiliko gari ya milion20, naweza kuvaa suruali ya 5000 na nikawa na simu ya 2 milionMaisha ni rahisi sana,Sijui kwanini watu wanataka kuyafanya yawe magumu
kodi yangu ya pango ni asilimia 5 tu ya take home yangu.
Aaah ok hapo nmeelewa hesabu zinavopigwaHapa usizidi 100k.
Atleast mshahara mmoja uweze kulipa kodi ya miez 6.
Watanzania wengi wametokea Kijiji hiki na wamesoma hapo, ndiyo Maana ni MAFALAHellow wa JF.
Utasikia vijana wakisema mimi siwezi kukaa/kupanga chumba/nyumba chini ya 300,000 au 500,000 au 800,000 kwa mwezi. Hapo hapo siku za mbeleni anakuja kuzalisha/zalishwa watoto kwenye nyumba za watu hana kiwanja wala nyumba.
Naomba niwakumbushe hakuna tuzo utakuja kupewa ya kulipa kodi kubwa.
Mzee watu wa Goba tuache kabisa aisee tuna dunia yetuHaina shida mkuu kila la kheri but I said what I said
You’ll never catch me living in Goba,Salasala,Mbezi,Madale,kimara and the likes. I’ma City Boy.
akuuu mi nimefurahia kupata mtetezi maan na mmi nipo kweny geto la 15k ☺️😀 win-one mbona kama unanipa hongera ya kupanga kwenye ghetto langu la 15,000.
tena Goba matosa😅 awaache kabisaMzee watu wa Goba tuache kabisa aisee tuna dunia yetu
Mkuu Vijana/watu wengi Tanzania wanakutu kwenye akili zao wanahitaji msasa mkali sana.Nimekulia Majumba sita alafu Mwenge na Sinza.
Washua wakahamia madale 2005 .
Nikawa nawashangaa hata kama wamejenga. Ila kwanini wasingejenga mjini?.
Mm nimeanzia Maisha Kinondoni na Kijitonyama. Na nikawa na mentality kuwa mjini sihami ngo.
Ila mbeleni akili za kikubwa zikanijia.
Niko Goba na maisha naona yanasonga.
kukaa mjini na kulipa Kodi kubwa Sio ujanja. Kwanza hakuna utulivu.
Kama uko age flan ya kujipanga (25+) bora ukae mbali kidogo na mji. Kwa gharama nafuu kidogo ili ikupe mazoea na uone kawaida kujenga na kuwa na kwako pembezon mwa mji.
Ukiwa mentality ya kukaa mjini. Utazeeka haujajenga.
Maana kupata mill 200+ kumvua mtu nyumba its a not a joke.
Tangu nisome somo la saikolojia watu wa namna yoyote Huwa hawanisumbui hii Dunia hayo mambo yapo na Kuna zaidi ya hayo unaweza kuwasikiliza Kisha ukaendelea na majukumu yako hujui ujanja mwingi mbele kizaHellow wa JF.
Utasikia vijana wakisema mimi siwezi kukaa/kupanga chumba/nyumba chini ya 300,000 au 500,000 au 800,000 kwa mwezi. Hapo hapo siku za mbeleni anakuja kuzalisha/zalishwa watoto kwenye nyumba za watu hana kiwanja wala nyumba.
Naomba niwakumbushe hakuna tuzo utakuja kupewa ya kulipa kodi kubwa.
sili itaniongezea njaaKuna watu hata hiyo mihogo na maji hawana, Niambie unakula gwala hau hauli nikinukishe humu
Baelezee baelewe kabisa lafamiliatena Goba matosa😅 awaache kabisa
si ndiwoooo wasipoelewa na hapa basi hatuna msaada nao teinaBaelezee baelewe kabisa lafamilia