Kulikoni UVCCM Taifa Mbona Kimya Sana?

Kulikoni UVCCM Taifa Mbona Kimya Sana?

Kuiuliza maiti kama iko kimya watu makini tunashindwa kukuelewa, Ukitaka kujuwa wenye UVCCM yao kina Bashe na Lowasa kama wapo au hawapo vuta subira mpaka 2015 kwenye kinyanganyiro cha kumpata mgombea Urais wenu ndio uatijuwa vizuri UVCCM, maana inaonekana kukaa kwako uhamishoni muda mrefu huelewi kinachoendelea ndio maana jana ukashangaa ya Mbeya.
 
Unategemea nn m/mwenyekiti Mboni Mhita anapoisaliti nafasi yake kwa kuendekeza ngono na baadhi ya makada wa upinzani akina Ben Saanane.Tatizo jumuiya yetu ina watu walioshinda kwa rushwa na si mapenzi kwa chama badala yake wanaendekeza uzinzi tu.Kuwa na mwanamke katika nafasi za juu za jumuiya tunahatarisha maslahi na siri zetu zipo uchi

Mzee,unadhani kwa tuhuma na umbea mnaoeneza utawaimarisha kisiasa?

All these lamentations and moans are not worth a brass farthing.

Your attempt to substitute petty political schemming for Politics cannot deter my political ambitions.Chunga sana.

Makundi yenu huko UVCCM myamalize huko.Jumuiya yenyewe imeshajifia hadi makada wenzenu kama W.J. Malecela anahoji uhai wenu mnatafuta pa kufufukia kupitia watu wengine?Leave me out of these groundless insinuations and equivocations! Nonesense
 
Unategemea nn m/mwenyekiti Mboni Mhita anapoisaliti nafasi yake kwa kuendekeza ngono na baadhi ya makada wa upinzani akina Ben Saanane.Tatizo jumuiya yetu ina watu walioshinda kwa rushwa na si mapenzi kwa chama badala yake wanaendekeza uzinzi tu.Kuwa na mwanamke katika nafasi za juu za jumuiya tunahatarisha maslahi na siri zetu zipo uchi
Toba! Mkuu jiandae maana wamama wanaweza kukushukia kama mvua.......kwani we hujui kuwa wakiwezeshwa wanaweza?
 
1011568_540261596027701_548718420_n.jpg

kazi ya katibu mkuu wao hii nini?
 
UVCCM imekuwa joka la kibisa,
Mtela Mwampamba akihojiwa ktk kipindi cha hotmix na Adrian Stepp alitambulisha kama afisa habari au mwandamizi wa UVCCM.

Sasa Le-mutumboz nadhani kuanzia hapo umejua uvccm inasemewa na nani kwa sasa.

Kansa inayoitafuna uvccm inakwenda kuitaitafuna ccm yote very soon.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Unategemea nn m/mwenyekiti Mboni Mhita anapoisaliti nafasi yake kwa kuendekeza ngono na baadhi ya makada wa upinzani akina Ben Saanane.Tatizo jumuiya yetu ina watu walioshinda kwa rushwa na si mapenzi kwa chama badala yake wanaendekeza uzinzi tu.Kuwa na mwanamke katika nafasi za juu za jumuiya tunahatarisha maslahi na siri zetu zipo uchi
Captain Green ,siasa si uadui, acha vijana wajinafasi. Ben we gegeda tu,ikibidi utoke na offspring.Lakini angalia,mpime pia kinga ni muhimu.Hapo UVCCM akina Savimbi wameshapaharibu,jamaa hawajatulia.
 
- Inasikitisha na kushangaza sana kuona UVCCM Taifa ikiwa kimya sana hasa katika kipindi hiki cha Rasimu ya Katiba mpya, ambapo Jumuiya zote za CCM zipo mbio mbio sana kuelimisha wanachama wetu kuhusu msimamo wa CCM kuhusu Katiba mpya. I mean mbona kuna vichwa sana huko kama kina Jerry Silaa, Deo Ndejembi na Anthony Mavunde, nilitegeemea mtawatumia sana hawa Vichwa kuirudishia UVCCM hadhi yake ya enzi za TANU Youth League ya kina My Uncle Elly Anangisye, lakini badala yake imekuwa ni Jumuiya mbili tu zinazosikika yaani Wazazi na UWT, kulikoni huko UVCCM?

- Jitahadini jamani, huu ni mwendo wa nginja nginja, habaki mtu nyuma CCM mbele tu, UVCCM kazeni buti watumieni vichwa hao twende kwa mbele!!

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!

Le Mutuz Live In Mbeya!!
Mzee wa totoz bhana, kwani kulikuwa na ulazima ufikishe ujumbe via JF.,Heshimu vikao vya ndani LEMutuz,mambo kama haya tunayamaliza kwenye Vikao.
 
Kiukweli UV CCM kwa safu iliyopo top level hakuna kitu kabisa!. Huyo Chair ndio kabisa hata hadhi hana!. Afadhali angekosa hadhi lakini zimo!, pale hakuna kitu kabisa!. Marehemu Sharo angekuwepo angewapa live kwa "hapo mmebugi men!".

UWT nako mamdogo kachokwa kama CCM ilivyochokwa!, enzi za uchakubimbi na kugaiana ndizo sifa kuu za uongozi wa UWT zimepita!. Sasa uongozi ni uwezo ambao chair wenu hana!.

Wazazi kidogo there is hope kama hii kasi mlioanza nayo siyo nguvu ya soda!, tatizo lenu chair ni mission town!, halafu amezungukwa na wapambe ambao baada ya kufeli maisha kwinginepo wanataka kuponea kwenye siasa at late age!, dalili za over ambitious zinaonekana wazi when things turn upside down, frustrations is the end product and soon they'll start back biting and they'll hit them hard where it pains more!.

Public queries kama hizi nazo ni dalili!, kwa sababu wenye chama chao wanao utaratibu wao wa kuulizana ndani kwa ndani kwenye vikao!, Leo jf sasa ndio inaokana pa CCM kuulizana!.

Ama kweli jioni ya CCM inakaribia!, tutake tusitake giza litaingia!, na matumaini ya hauchi hauchi ili kuendelea kulala usingizi, hatimaye yatatoweka na kutakucha kwa Tanzania yenye mwanga mpya inawezekana!.
P.
 
Labda kwa sababu hawana cha kusema?
Au hawafahamu waseme nini?
Au kuna watu wanategemea kuwa watawasemea?
Ama Mwigulu amewafunga mdomo Through Shonza na Mwampamba?
Ama wameamua kumsusia Mwigulu na "Vijana wake" chama?
 
Kiukweli UV CCM kwa safu iliyopo top level hakuna kitu kabisa!. Huyo Chair ndio kabisa hata hadhi hana!. Afadhali angekosa hadhi lakini zimo!, pale hakuna kitu kabisa!. Marehemu Sharo angekuwepo angewapa live kwa "hapo mmebugi men!".

UWT nako mamdogo kachokwa kama CCM ilivyochokwa!, enzi za uchakubimbi na kugaiana ndizo sifa kuu za uongozi wa UWT zimepita!. Sasa uongozi ni uwezo ambao chair wenu hana!.

Wazazi kidogo there is hope kama hii kasi mlioanza nayo siyo nguvu ya soda!, tatizo lenu chair ni mission town!, halafu amezungukwa na wapambe ambao baada ya kufeli maisha kwinginepo wanataka kuponea kwenye siasa at late age!, dalili za over ambitious zinaonekana wazi when things turn upside down, frustrations is the end product and soon they'll start back biting and they'll hit them hard where it pains more!.

Public queries kama hizi nazo ni dalili!, kwa sababu wenye chama chao wanao utaratibu wao wa kuulizana ndani kwa ndani kwenye vikao!, Leo jf sasa ndio inaokana pa CCM kuulizana!.

Ama kweli jioni ya CCM inakaribia!, tutake tusitake giza litaingia!, na matumaini ya hauchi hauchi ili kuendelea kulala usingizi, hatimaye yatatoweka na kutakucha kwa Tanzania yenye mwanga mpya inawezekana!.
P.

Shikamoo Pasco!!
 
- Inasikitisha na kushangaza sana kuona UVCCM Taifa ikiwa kimya sana hasa katika kipindi hiki cha Rasimu ya Katiba mpya, ambapo Jumuiya zote za CCM zipo mbio mbio sana kuelimisha wanachama wetu kuhusu msimamo wa CCM kuhusu Katiba mpya. I mean mbona kuna vichwa sana huko kama kina Jerry Silaa, Deo Ndejembi na Anthony Mavunde, nilitegeemea mtawatumia sana hawa Vichwa kuirudishia UVCCM hadhi yake ya enzi za TANU Youth League ya kina My Uncle Elly Anangisye, lakini badala yake imekuwa ni Jumuiya mbili tu zinazosikika yaani Wazazi na UWT, kulikoni huko UVCCM?

- Jitahadini jamani, huu ni mwendo wa nginja nginja, habaki mtu nyuma CCM mbele tu, UVCCM kazeni buti watumieni vichwa hao twende kwa mbele!!

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!

Le Mutuz Live In Mbeya!!

Sasa wewe uko ndani ya chama na ni kiongozi unakuja nje kulalamika ???? sasa maana ya vikao ndani ya chama maana yake ni nini?
Kweli hali ni mbaya,
 
- Inasikitisha na kushangaza sana kuona UVCCM Taifa ikiwa kimya sana hasa katika kipindi hiki cha Rasimu ya Katiba mpya, ambapo Jumuiya zote za CCM zipo mbio mbio sana kuelimisha wanachama wetu kuhusu msimamo wa CCM kuhusu Katiba mpya. I mean mbona kuna vichwa sana huko kama kina Jerry Silaa, Deo Ndejembi na Anthony Mavunde, nilitegeemea mtawatumia sana hawa Vichwa kuirudishia UVCCM hadhi yake ya enzi za TANU Youth League ya kina My Uncle Elly Anangisye, lakini badala yake imekuwa ni Jumuiya mbili tu zinazosikika yaani Wazazi na UWT, kulikoni huko UVCCM?

- Jitahadini jamani, huu ni mwendo wa nginja nginja, habaki mtu nyuma CCM mbele tu, UVCCM kazeni buti watumieni vichwa hao twende kwa mbele!!

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!

Le Mutuz Live In Mbeya!!

Sasa wewe nuko ndani ya chama na uongozi unatoka nje kuja kuwadhalilisha wenzio badala ya kuyazungumza na kuyasahihisha ndani ya vikao vya cha chama, hii maana yake ni nini?

Sasa kuna viongozi duuuuu

Kweli kazi ni nzito
 
Kiukweli UV CCM kwa safu iliyopo top level hakuna kitu kabisa!. Huyo Chair ndio kabisa hata hadhi hana!. Afadhali angekosa hadhi lakini zimo!, pale hakuna kitu kabisa!. Marehemu Sharo angekuwepo angewapa live kwa "hapo mmebugi men!".

UWT nako mamdogo kachokwa kama CCM ilivyochokwa!, enzi za uchakubimbi na kugaiana ndizo sifa kuu za uongozi wa UWT zimepita!. Sasa uongozi ni uwezo ambao chair wenu hana!.

Wazazi kidogo there is hope kama hii kasi mlioanza nayo siyo nguvu ya soda!, tatizo lenu chair ni mission town!, halafu amezungukwa na wapambe ambao baada ya kufeli maisha kwinginepo wanataka kuponea kwenye siasa at late age!, dalili za over ambitious zinaonekana wazi when things turn upside down, frustrations is the end product and soon they'll start back biting and they'll hit them hard where it pains more!.

Public queries kama hizi nazo ni dalili!, kwa sababu wenye chama chao wanao utaratibu wao wa kuulizana ndani kwa ndani kwenye vikao!, Leo jf sasa ndio inaokana pa CCM kuulizana!.

Ama kweli jioni ya CCM inakaribia!, tutake tusitake giza litaingia!, na matumaini ya hauchi hauchi ili kuendelea kulala usingizi, hatimaye yatatoweka na kutakucha kwa Tanzania yenye mwanga mpya inawezekana!.
P.

Pasco,
Ha ha ha ha taratibu naona unamvua NEPI mwenyekiti wa vijana bila hata kumuonea huruma na huu ni mwezi wa toba ha ha ha ha
 
- Inasikitisha na kushangaza sana kuona UVCCM Taifa ikiwa kimya sana hasa katika kipindi hiki cha Rasimu ya Katiba mpya, ambapo Jumuiya zote za CCM zipo mbio mbio sana kuelimisha wanachama wetu kuhusu msimamo wa CCM kuhusu Katiba mpya. I mean mbona kuna vichwa sana huko kama kina Jerry Silaa, Deo Ndejembi na Anthony Mavunde, nilitegeemea mtawatumia sana hawa Vichwa kuirudishia UVCCM hadhi yake ya enzi za TANU Youth League ya kina My Uncle Elly Anangisye, lakini badala yake imekuwa ni Jumuiya mbili tu zinazosikika yaani Wazazi na UWT, kulikoni huko UVCCM?

- Jitahadini jamani, huu ni mwendo wa nginja nginja, habaki mtu nyuma CCM mbele tu, UVCCM kazeni buti watumieni vichwa hao twende kwa mbele!!

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!

Le Mutuz Live In Mbeya!!

...kwa hiyo, katibu wenu Shigela na mwenyekiti wake - wao ni makanyagio siyo??
 
Back
Top Bottom