Kulikoni UVCCM Taifa Mbona Kimya Sana?

Kulikoni UVCCM Taifa Mbona Kimya Sana?

Lazima wagawanyike tu. Hali ya kisiasa iliyopo sasa bila vichwa vyenye hekima hawawezi.
Mbona vichwa ndani ya CCM vimejaa tu tatizo hekima na maarifa hakuna kabisa.
Kwa sasa 'majembe' ya ukweli ndani ya UVCCM ni matatu tu, hayo yanafanyakazi usiku na mchana, na huwa hayachoki. Yupo Juliana Shonza, Mtera Mwampamba na Tesha 'Tindikali'.
Na hapo ndipo CCM tulipofikia.
 
Hao vijana wanasubiri kutumiwa tu na makundi yenu ya urais 2015, subiri wakianza utawasikia tu!

Kwanza lazima ajue kuwa ccm yale leo haitetewi kwani imechafuka kila mahali. Na kiona mtutu anaitetea ccm kindakindaki ujue kanusishwa mzigo na sio bure kwani hata yeye hapo hizo kelele zio bule kapigwa mpunga mzuri na wanao mtumia ndio maana anaona simple hata kusema ccm bado inapendwa.
 
Vijana watapumzika kwa mahitaji yao lakini kazi ifanywe, tunataka nchi yenye maendeleo sio yenye wezi na mafisadi, je UVCCM inaweza kukemea?? muulize Nape aliokolewa na Makamba.
 
Hivyo vichwa vina madaraka gani ndani ya UVCCM? Mkuu ina maana Mwenyekiti na Katibu si vichwa?

- Mh. Jerry Silaa ni Meya wa Ilala na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Mjumbe wa NEC kutokea UVCCM taifa, Mh. Deo Ndejembi ni Mjumbe wa NEC kutokea UVCCM, na Mh. Anthony Mavunde ni Mjumbe wa NEC kutoka UVCCM. Hawa wote ni vichwa ila hawajapewa nafasi huko!!

Le Mutuz
 
Hii thread yako hailipi kaka! Naona kila mara unajaribu kui-activate ipande juu lakini ndio hivyo tena la kuvunda.
 
- Inasikitisha na kushangaza sana kuona UVCCM Taifa ikiwa kimya sana hasa katika kipindi hiki cha Rasimu ya Katiba mpya, ambapo Jumuiya zote za CCM zipo mbio mbio sana kuelimisha wanachama wetu kuhusu msimamo wa CCM kuhusu Katiba mpya. I mean mbona kuna vichwa sana huko kama kina Jerry Silaa, Deo Ndejembi na Anthony Mavunde, nilitegeemea mtawatumia sana hawa Vichwa kuirudishia UVCCM hadhi yake ya enzi za TANU Youth League ya kina My Uncle Elly Anangisye, lakini badala yake imekuwa ni Jumuiya mbili tu zinazosikika yaani Wazazi na UWT, kulikoni huko UVCCM?

- Jitahadini jamani, huu ni mwendo wa nginja nginja, habaki mtu nyuma CCM mbele tu, UVCCM kazeni buti watumieni vichwa hao twende kwa mbele!!

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!

Le Mutuz Live In Mbeya!!

usijekua una bifu na uvccm. mbona hujawataja viongozi wakuu wa uvccm? nakushauri uende ofisi kuu ya uvccm utapata jibu sahihi kuliko hapa JF. uvccm ndiyo sehemu muafaka ya kupeleka malalamiko yako ndugu.
 
Yaani chama kimeshawaamulia wananchama wake nini wanakitaka hata kabla hawajawasikiliza wananchama wenyewe. Sasa kuwaelemisha kitu gani kama mmeshawaamulia? Sioni hata umuhimu wa mabaraza ya katiba kama kundi dogo limeshaamua ni nini wanachama wanahitaji kabla hawajasikilizwa.
 
Ingekuchukuwa muda gani kuwapigia simu wahusika badala ya kuwavua nguo hapa kwenye public domain? Mie nilifikiri na wewe una speed dial ya hao watukuka!!
 
unategemea nini chama kinafadhiliwa na wauza unga hawaitaji vijana kuwafanyia kampeni,wanahitaji wazungu wa unga kuwaweka madarakani poleni na ccm yenu.
 
Le Mutuz
Hebu acha vituko mkuu wewe jikusanyie posho zako kama zilivyolengeshwa na wakubwa wa chama chetu ninaamini kabisa mwisho wa ziara hizi utakuwa na mtaji wa kuanzia maisha Bongo, mambo ya UVCCM yaache manake chama chetu chenyewe mvuto kwa wananchi umekuwa wa kuvuta na manati mpaka tulete wasanii wote kwenye mikutano ndo watu waje na uvccm wanajua yote haya so wamechagua kula pozi waangalie minyukano ya makundi chamani, wewe huwezi kushangaa kwa nini wale madogo walofukuzwa cdm wapewe kipaumbele kiasi kile utafikiri chama hakina vijana, unadhani hiyo ni sawa??

- Inasikitisha na kushangaza sana kuona UVCCM Taifa ikiwa kimya sana hasa katika kipindi hiki cha Rasimu ya Katiba mpya, ambapo Jumuiya zote za CCM zipo mbio mbio sana kuelimisha wanachama wetu kuhusu msimamo wa CCM kuhusu Katiba mpya. I mean mbona kuna vichwa sana huko kama kina Jerry Silaa, Deo Ndejembi na Anthony Mavunde, nilitegeemea mtawatumia sana hawa Vichwa kuirudishia UVCCM hadhi yake ya enzi za TANU Youth League ya kina My Uncle Elly Anangisye, lakini badala yake imekuwa ni Jumuiya mbili tu zinazosikika yaani Wazazi na UWT, kulikoni huko UVCCM?

- Jitahadini jamani, huu ni mwendo wa nginja nginja, habaki mtu nyuma CCM mbele tu, UVCCM kazeni buti watumieni vichwa hao twende kwa mbele!!

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!

Le Mutuz Live In Mbeya!!
 
Mzee,unadhani kwa tuhuma na umbea mnaoeneza utawaimarisha kisiasa?

All these lamentations and moans are not worth a brass farthing.

Your attempt to substitute petty political schemming for Politics cannot deter my political ambitions.Chunga sana.

Makundi yenu huko UVCCM myamalize huko.Jumuiya yenyewe imeshajifia hadi makada wenzenu kama W.J. Malecela anahoji uhai wenu mnatafuta pa kufufukia kupitia watu wengine?Leave me out of these groundless insinuations and equivocations! Nonesense

Tutafsirie hii lugha shemeji ben. Sisi uvccm hatuelewi haya pia naomba uache kuchanganya madada zetu akina eddah na mboni mhita.
 
- Mh. Jerry Silaa ni Meya wa Ilala na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Mjumbe wa NEC kutokea UVCCM taifa, Mh. Deo Ndejembi ni Mjumbe wa NEC kutokea UVCCM, na Mh. Anthony Mavunde ni Mjumbe wa NEC kutoka UVCCM. Hawa wote ni vichwa ila hawajapewa nafasi huko!!

Le Mutuz

Le Baharia bwana huwa una mambo! Kwa hiyo walio na madaraka huko hawakustahili?
 
UVCCM hii ya kina Martine Shigella wanaopanga kwenda Zanzibar kupigana nyama?
 
- Nimewaomba tu kuwatumia hao vichwa waliomo ndani yao!!

Le Mutuz

Field Marshall ...wewe ni Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana .".....nafikiri haya uliyoyasema hapa utakuwa umewashauri vikaoni ..,unaona kimya

naona kuna na wengine wanawatuhumu Mwenyekiti ni kichaa....MAkamu ni kicheche ...na Katibu Malaya ...nadhani those are too personal attacks without justification
 
Back
Top Bottom