Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,289
....
.........mbongo!! mbongo!!! mbongo!!! mbongo!!!!
.........mbongo!! mbongo!!! mbongo!!! mbongo!!!!
Unategemea nn m/mwenyekiti Mboni Mhita anapoisaliti nafasi yake kwa kuendekeza ngono na baadhi ya makada wa upinzani akina Ben Saanane.Tatizo jumuiya yetu ina watu walioshinda kwa rushwa na si mapenzi kwa chama badala yake wanaendekeza uzinzi tu.Kuwa na mwanamke katika nafasi za juu za jumuiya tunahatarisha maslahi na siri zetu zipo uchi
....
.........mbongo!! mbongo!!! mbongo!!! mbongo!!!!
Hivyo vichwa vina madaraka gani ndani ya UVCCM? Mkuu ina maana Mwenyekiti na Katibu si vichwa?
UVCCM kwa sasa ina vichwa vitatu vikuu ambavyo vinafanyakazi usiku na mchana kuhakikisha CCM inazidi kupendwa sana. Vijana hao ni Mtera Mwampamba, Juliana Shonza na Tesha 'Tindikali' wengine waliobaki ama wamezubaa au CCM imewatupa.
Wewe ulieleta mada ndio ulitakiwa utusaidie ni kwa nini ! kwa kuwa wewe ndio uko ndani ya ccm, wewe ndo utakuwa unajua zaidi.au wewe sio kijana?
- Inasikitisha na kushangaza sana kuona UVCCM Taifa ikiwa kimya sana hasa katika kipindi hiki cha Rasimu ya Katiba mpya, ambapo Jumuiya zote za CCM zipo mbio mbio sana kuelimisha wanachama wetu kuhusu msimamo wa CCM kuhusu Katiba mpya. I mean mbona kuna vichwa sana huko kama kina Jerry Silaa, Deo Ndejembi na Anthony Mavunde, nilitegeemea mtawatumia sana hawa Vichwa kuirudishia UVCCM hadhi yake ya enzi za TANU Youth League ya kina My Uncle Elly Anangisye, lakini badala yake imekuwa ni Jumuiya mbili tu zinazosikika yaani Wazazi na UWT, kulikoni huko UVCCM?
- Jitahadini jamani, huu ni mwendo wa nginja nginja, habaki mtu nyuma CCM mbele tu, UVCCM kazeni buti watumieni vichwa hao twende kwa mbele!!
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!
Le Mutuz Live In Mbeya!!
Mahaba ya watu wawili wewe yanakuhusu nini?Kwani Ben au Mboni walitumia kiungo chako?Mbona wabunge wenu wana uhusiano wa kimapenzi na baadhi ya wapinzani.?kama ni kuibiwa siri na nyaraka zenu anzeni na hao wabunge kisha mmalize na shigela kabla hamjamshughulikia Mboni
- Inasikitisha na kushangaza sana kuona UVCCM Taifa ikiwa kimya sana hasa katika kipindi hiki cha Rasimu ya Katiba mpya, ambapo Jumuiya zote za CCM zipo mbio mbio sana kuelimisha wanachama wetu kuhusu msimamo wa CCM kuhusu Katiba mpya. I mean mbona kuna vichwa sana huko kama kina Jerry Silaa, Deo Ndejembi na Anthony Mavunde, nilitegeemea mtawatumia sana hawa Vichwa kuirudishia UVCCM hadhi yake ya enzi za TANU Youth League ya kina My Uncle Elly Anangisye, lakini badala yake imekuwa ni Jumuiya mbili tu zinazosikika yaani Wazazi na UWT, kulikoni huko UVCCM?
- Jitahadini jamani, huu ni mwendo wa nginja nginja, habaki mtu nyuma CCM mbele tu, UVCCM kazeni buti watumieni vichwa hao twende kwa mbele!!
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!
Le Mutuz Live In Mbeya!!