William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
- Thread starter
- #81
Field Marshall ...wewe ni Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana .".....nafikiri haya uliyoyasema hapa utakuwa umewashauri vikaoni ..,unaona kimya
naona kuna na wengine wanawatuhumu Mwenyekiti ni kichaa....MAkamu ni kicheche ...na Katibu Malaya ...nadhani those are too personal attacks without justification
- Kwanza heshima yako sana mkuu, sawa sawa mimi ni mjumbe wa baraza lao la Taifa, juzi nilikuwa kwenye ziara Kilimanjaro siku tunayoondoka Mwenyekiti wa UWT ndio aliingia na yeye Kilimanjaro, ilitakiwa siku anapoondoka Mwenyekiti wa Vijana awe naye anaingia, sio siri mara ya mwisho kwenye kikao Dodoma niliwashauri sana haya niliyoyasema hapa, nashangaa sana kuona wapo kimyaa!!
- Kaka wa Mama yangu mzazi Marehemu Elly Anangisye, ndiye aliyenifanya nianze kuwa na interest ya siasa toka nikiwa mdogo kwa sababu akiwa Katibu Mkuu wa TANU Youth League, alipishana mawazo na Mwalimu, akawekwa kizuizini so nikiwa mdogo nilishiriki sana kwenda kumuona Jela, it made me think a lot kuhusu siasa to this days. Sasa viongozi kama yeye walikuwa serious na Umoja wa Vijana wa Chama chochote cha Siasa Duniani ukiwa lege lege basi na chama kitakuwa hivyo hivyo!!, nashangaa UVCCM umejaa vichwa wengi sana, sasa kulikoni kuwa mstari wa mwisho badala ya mstari wa mbele?
Le Mutuz