Yaani bora niwe huku, nimeona kule ntachezea burn, huchelewi kupandwa hasira na kuanza kutukana watu kisa babu zao walifia enzi ya tanu.
Bora huku ni story na watoto wazuri.
Yaani jukwaa la siasa mimi sirudi tena.
kwani huku wageni hawatakiwi mkuu?
wewe mwenye nayo sijawahi kukuona kule unaposema kwa wakubwa!
wewe mhaya nini?
nimeamia mazima huku mkuu, nikizoea pande hizi na mimi ntakua mwenyewe.
mama mimba changa zina tabu kweli ujifungue salama
m PM litz
mtwa mkulu umesoma post hii!Back up your comments using appropriate evidence
Ni lipi hilo........?