Kule kwenye jukwaa la siasa siendi tena

Kule kwenye jukwaa la siasa siendi tena

GAUTAMA
Huku ni mapenzi na uzalendo kama unayo karibu sana. Kamanda una acha kuipigania nchi umejiingiza kwenye michepuko afya yako muhimu. Ukiendekeza akili za kichwa kidogo utakufa kabla ya siku zako
 
Last edited by a moderator:
mkuu gautama hao ndo niliowakimbia kule na kuja kujificha huku! Tena unawaita huku huku! Kama hizo ajira zinatoka kwao basi nimeghairi mkuu!
 
GAUTAMA
Huku ni mapenzi na uzalendo kama unayo karibu sana. Kamanda una acha kuipigania nchi umejiingiza kwenye michepuko afya yako muhimu. Ukiendekeza akili za kichwa kidogo utakufa kabla ya siku zako

Ahsante kwa ushauri wako muhimu sana Mkuu
 
Last edited by a moderator:
Una urafiki na Bhanunu?

Wakati unazaliwa mama yako alikuwa anajamba ushuzi ndio maana huna akili ImageUploadedByJamiiForums1411797895.953096.jpg
 
Last edited by a moderator:
Jukwaa la siasa lahitaji uvumilivu kama ilivyo siasa yenyewe!

Kuna majukwaa mengine pia hayaingiliki kama la international, dini na celebreties.

International limevamiwa na watu wa dini kila utachoandika kinapindishwa na kuwa na mlengo wa dini mwisho wake kashfa na matusi ya kidini huanzia hapo.

Celebrities bana kumekaa kiumbea umbea kiasi mtu anasemwa hovyo then unakuta huyo mtu ni nduguyo au rafikiyo unamjua vizuri lakini yanyozungumzwa ni uongo uliopitiliza na watu wanashadadia kwelikweli na unakuta yanayozungumzwa ni tetesi! Waambie walete evidence uone unavyovamiwa na michambo ya haja!! Ban nje nje

Jukwaa la dini si jukwaa la kujifunza tena, ukiingia kule ukitoka kichwa kinauma!! Ukitaka ban ingia jukwaa la dini haipiti hata sekunde unakula kama tano hivi...!! Tatizo ni kukashfiana na kutukanana, multiple ID zimejaa kule! Mtu anapigwa ban anaingia na ingine anasongesha mashambulizi hahaaaa!

Ukipita majukwaa hayo kama una hasira za karibu soma na ujondokee kimyakimya

Aisee asante kwa kunitonya,...siziwez mbich hizi
 
Back
Top Bottom