Kule ni hatariiii, jukwaa jingine ambalo sitii maguu ni lile la kina Nguruvi
Ni lipi hilo........?
We vipi hako katoto ketu cha kwanza
Lile la Great thinker, ukisoma comment moja tu kichwa kinauma
sentesi tata hii.... unaweza kudadavua kidogo!!
Yani bora niwe huku, nimeona kule ntachezea burn, huchelewi kupandwa hasira na kuanza kutukana watu kisa babu zao walifia enzi ya tanu... Bora huku ni story na watoto wazuri... Yani jukwaa la siasa mi sirudi tena, tena na tena na tena.
We vipi hako katoto ketu cha kwanza