Kule kwenye jukwaa la siasa siendi tena

Kule kwenye jukwaa la siasa siendi tena

njoo mwaya huku ktk ulimwengu wa maraha...yaliyoanza tangu enzi za Adamu na Hawa



Yaani bora niwe huku, nimeona kule ntachezea burn, huchelewi kupandwa hasira na kuanza kutukana watu kisa babu zao walifia enzi ya tanu.

Bora huku ni story na watoto wazuri.

Yaani jukwaa la siasa mimi sirudi tena.
 
Huko uwe na moyo mgumu la sivyoooo huendiko ng'ooo kuna watu hata kuchunguliako siasan hawachunguliii mchezooo
 
Jukwaa la siasa kuna watu wako kazini... Malipo yanatoka LUMUMBA
 
Nikikuona kule nakusemelea. Baki huku uchafue nguo. Kwaheri!
 
Yaani bora niwe huku, nimeona kule ntachezea burn, huchelewi kupandwa hasira na kuanza kutukana watu kisa babu zao walifia enzi ya tanu.

Bora huku ni story na watoto wazuri.

Yaani jukwaa la siasa mimi sirudi tena.


hata huku pia kuna watu wakorofi na wabizabina na wagadu watakutia hasira na ukitukana tuu unachomwa yaani unabaniwa au unapigwa ban sijui bun sijui burn.......................!!!
 
ohoo! Mbona unanitisha mkuu, ina watu wote huku huchafua nguo zao? Wanachafuaje sasa?

utajua tuuuuuuu
ma bidada wa huku huvaa kanga moko kabla ya kuingia makaka nao huvaa nguo za mipira.
shida ya nini?
Napenda jukwaa la siasa
 
Back
Top Bottom