wow! Asante baby, naitaka hiyo massage jamani mchumba, nataka mahaba yaniue kabisa manake nshakua sugu!
hahahaaaa duh! But ladies first bana.,. Kwani wewe umeingiza shilling ngapi?
kuna sehemu nyingine nikipita uzalendo unanishinda mkuu!
Lile la Great thinker, ukisoma comment moja tu kichwa kinauma
Yaani bora niwe huku, nimeona kule ntachezea burn, huchelewi kupandwa hasira na kuanza kutukana watu kisa babu zao walifia enzi ya tanu.
Bora huku ni story na watoto wazuri.
Yaani jukwaa la siasa mimi sirudi tena.
nataka hiyo kazi lakini sipo tayari kuwa na kadi ya kijani.