Kula ugali usiku nacho ni kipimo cha umaskini

Kula ugali usiku nacho ni kipimo cha umaskini

Basi Mimi ni masikini sana, kwa mapenzi yangu na ugali saa yeyote ni ugali time
Nina kakaangu mkewe akipika chakula kingine tofauti na ugali lazima apikiwe ugali wake.

Wengine wanapenda tu ugali wala si kwa sababu ya umaskini. Halafu watafiti wa ugali wamekuwa wengi sana siku hizi kwani wazee wetu walikuwa wanakula nn enzi hizo!!!!
 
ha ha haa!! mimi kwa kweli kama haujanianadalia/kuandaa ugali usiku siwezi kukuaelewa aisee!!

Hakuna kitu nakipenda kama ugali

Na vitu amabavyosipendi kula usiku ni ndizi, tambi na chips kwa kweli sijawahi kuwa mpenzi wa hivyo vitu.
Unapenda ugali ukiambatana na mboga gani?
Mie sipendi ugali na michuzi michuzi!!!
 
Nina kakaangu mkewe akipika chakula kingine tofauti na ugali lazima apikiwe ugali wake.

Wengine wanapenda tu ugali wala si kwa sababu ya umaskini. Halafu watafiti wa ugali wamekuwa wengi sana siku hizi kwani wazee wetu walikuwa wanakula nn enzi hizo!!!!
Enzi ninapiga kunywaji nilikuwa ninapiga ugali saa sita- saba nikirudi home, ninalala fresh lakini nilikuwa ninapiga gym once or twice a week
 
Endeleeni kuchangia!

Napima tabia, ufahamu, vipendeleo na maisha ya watu hapa!
 
kwani ugali mtu anaumeza kama ulivyo? bora ungesema chapati, ila ugali ni sawa tuu na vyakula vingine maana vyote hufika tumboni vikiwa ujiuji tuu.
 
Ninapika mboga mara nyingi ni bamia ninakata vipande vidogo mchicha ninaukata kata nyanya, kitunguu, maggi. Nikishakaanga vyote hivyo ninaweza kwenye fridge inamaana kwa siku tatu. nikitaka kula ugali hata kama nimerudi ma myama choma minaweka mboga kwenye microwave
 
Wali ndo haufai kabisa kuliwa usiku tofauti na mtoa mada anavyojaribu kuwaaminisha watu hapo juu, wali ni aina ya chakula chenye kiasi kikubwa sana cha wanga na digestion yake inachukua muda mrefu.
 
Nafikiri mleta mada analenga watu wasile chakula kizito (heavy meal) masaa machache kabla ya kulala ili kupumzisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na mifumo mingine inayohusiana nayo, kitu ambacho kitakuletea usingizi mwanana kabisa. Wataalamu wa lishe kujeni huku mtoe ushauri zaidi tafadhali
 
DONA SAMAKI MKAVU MBOGA ZA MAJANI USIKU NA MCHANA HATA IKITOKEA VITA NAPIGA HIYO MENU NDO NAANZA KUKIMBIA
 
Usomi mwiiingi na complications za ajabu lakini bado tunakufa sana tu. Wazee waligonga menyu hizo hizo na bado wakaishi miaka kibao tu ambayo leo hatufikishi licha ya elimu zenu uchwara hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
rudia Kusoma Hajaongelea Maswala Ya Kufa Mapema ,,,, Naona Umevulugwa Na Maswala Ya Lisu Plus Makinikia Plus Ajira
 
Unatatajia nini ikiwa utaufakamia Ugali majira ya Usiku, ukiwa katika Nyumba ya kupanga...na wakati huohuo Umeuaminisha Ubongo wako kuwa wewe, ni mtu daraja/kiwango cha Masikini...!!

Tupo watu tunaula/tunakula Ugali kama hobbies, mchana na usiku, kitu cha msingi, ni kuwa na utaratibu tu wa kufanya mazoezi (Asubuhi na Jioni)

Ikiwa hutozingatia hili, huwezi kuboresha Afya yako Mwili na Ubongo, kuepuka pengine hizo ndoto za Majinamizi, hata kama utakuwa unakula Matunda pekee nyakati za Usiku.

Fomula ya ulaji wa vyakula vyote, inasisitiza na swala la kufanya/kushiriki mazoezi.

Nakataa kuwa ulaji wa Ugali nyakati za usiku ni Kiashiria cha umasikini.

Kwangu maandalizi ya Ugali, ni ya ghali (gharama) kuliko maandalizi ya chakula chochote...!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nagonga kitu cha ugali maharage mixer maparachichi then i sit back to the well-ventilated or windy place to enjoy the fruit of my labour.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom