Kula ugali usiku nacho ni kipimo cha umaskini

Kula ugali usiku nacho ni kipimo cha umaskini

bila ugal uck wife nae hapat chakula ya uck, nmejenga iman kuwa ugal ndo kila kitu
 
Ugali ni chakula kizito na digestion yake inafanyika taratibu hivyo matokeo yake digestion haiishi, chakula kinachacha na kuwa kigumu.

Ugumu wa chakula unafanya utumbo kukakamaa na hivyo kuongeza mgandamizo kwenye "diaphram' akili ita sence abnormality kutokana na huo mgandamizo.

Kwa kuwa umelala abnormality ndio hapa watu wanaanza kuota ndoto za ajabu na kuamka asubuhi wamechoka wakisingizia wachawi.

Usiku tunatakiwa tule chakula laini( tambi, wali, viazi, magimbi na ndizi) ila kwa sababu ya hali zetu za kimaskini wengine hatumudu hivyo vyakula hivyo ni mwendo wa ugali na maharage mbaya zaidi tunakula kiwango kile kile kama cha mchana.

Hii nayo ni aina ya umaskini kama umaskini mwingine! .
Babu yangu na bibi na hata wazee wengi wa kwetu, walikula ugali na makande miaka hao yote, lakini waligonga miaka themanini na zaidi.Wewe na elimu yako uchwara uliyopata, ukifika miaka arubaini na tano utakuwa na bahati sana.

Hizi ni dharau na tambo za kijinga.Kula ugali au chochote kile usiku, ni chaguo la mtu na mara nyingi ni swala la mazoea,mila na desturi,wala halihusiani na umaskini au utajiri.
 
Duh Ndio nimetoka kutupia dona, spinach, ng'ombe, nyanya, nyanya chungu, vitunguu, chumvi na mtindi Lol!
 
Ugali ni chakula kizito na digestion yake inafanyika taratibu hivyo matokeo yake digestion haiishi, chakula kinachacha na kuwa kigumu.

Ugumu wa chakula unafanya utumbo kukakamaa na hivyo kuongeza mgandamizo kwenye "diaphram' akili ita sence abnormality kutokana na huo mgandamizo.

Kwa kuwa umelala abnormality ndio hapa watu wanaanza kuota ndoto za ajabu na kuamka asubuhi wamechoka wakisingizia wachawi.

Usiku tunatakiwa tule chakula laini( tambi, wali, viazi, magimbi na ndizi) ila kwa sababu ya hali zetu za kimaskini wengine hatumudu hivyo vyakula hivyo ni mwendo wa ugali na maharage mbaya zaidi tunakula kiwango kile kile kama cha mchana.

Hii nayo ni aina ya umaskini kama umaskini mwingine! .
Kibaya zaidi, hata huo ugaliwengi tunakoboa mahindi na kuondoa protein yote, tunakula wanga mtupu ambao zaidi ya kuwa na energy, hauna virutubisho.

Tunakula kushiba tu (energy),lakini ugali waunga uliokobolewa (mweupe) hauna virutubisho.

Ugaliwenye protein ni wa dona,wa mahindi ambayo hayajakobolewa, ambao unaonekana ni wa kimasikini kwa sababu ya rangi, kumbe ile rangi ndiyo virutubisho vyenyewe.

Hili ni kweli usiku au mchana.
 
Mtoa mada shule ni Bashite. Ulivyotaja vyote ni wanga. Na mmeng'enyo wa wanga huanzia kinywani. Your so foolish
Matusi ya Nini sasa?

Nionavyo mimi Asili ya vyakula hivyo ni moja Ila vinatofauti hasa kwenye umeng'enyaji.

Jamani, Tambi utafananisha na Ugali?
 
Ugali ni chakula kizito na digestion yake inafanyika taratibu hivyo matokeo yake digestion haiishi, chakula kinachacha na kuwa kigumu.

Ugumu wa chakula unafanya utumbo kukakamaa na hivyo kuongeza mgandamizo kwenye "diaphram' akili ita sence abnormality kutokana na huo mgandamizo.

Kwa kuwa umelala abnormality ndio hapa watu wanaanza kuota ndoto za ajabu na kuamka asubuhi wamechoka wakisingizia wachawi.

Usiku tunatakiwa tule chakula laini( tambi, wali, viazi, magimbi na ndizi) ila kwa sababu ya hali zetu za kimaskini wengine hatumudu hivyo vyakula hivyo ni mwendo wa ugali na maharage mbaya zaidi tunakula kiwango kile kile kama cha mchana.

Hii nayo ni aina ya umaskini kama umaskini mwingine! .

Nakula ugali kwa interest na uchaguzi, sasa sijui unatoa wapi kauli yako kwamba ni chakula cha kimaskini?
 
Mtoa mada naona unawa support wanaume wa Dar wanaopenda kulalia chips na vitu vilaini laini. Sisi wa mikoani tutaendelee kula ugali wetu wa dona, hata usiku wa manane ikibidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo digital watu wengi walivyosikia ugali mawazo yao sembe hiyo ndio hukaa tumbon zaidi ya masaa24 sababu hata kabla hujala hyo ni takataka kula usio kobolewa ni dk45 kwisha viinlishe huenda mahali pake haraka Sana Nadhan nimeeleweka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kula vyakula vyenye wanga zaidi ya aina zingine ndio uashiria mzuri wa umasikini au kipato kidogo.

Na hilo linatuangukia wengi, ugali nusu kilo, maharage kidogo, hakuna mboga mboga wala nyama wala matunda. Hiyo ndio ishara kuwa tu masikini.
 
Ugali ni chakula kizito na digestion yake inafanyika taratibu hivyo matokeo yake digestion haiishi, chakula kinachacha na kuwa kigumu.

Ugumu wa chakula unafanya utumbo kukakamaa na hivyo kuongeza mgandamizo kwenye "diaphram' akili ita sence abnormality kutokana na huo mgandamizo.

Kwa kuwa umelala abnormality ndio hapa watu wanaanza kuota ndoto za ajabu na kuamka asubuhi wamechoka wakisingizia wachawi.

Usiku tunatakiwa tule chakula laini( tambi, wali, viazi, magimbi na ndizi) ila kwa sababu ya hali zetu za kimaskini wengine hatumudu hivyo vyakula hivyo ni mwendo wa ugali na maharage mbaya zaidi tunakula kiwango kile kile kama cha mchana.

Hii nayo ni aina ya umaskini kama umaskini mwingine! .
Imetusaidia kujua kuwa chakula chako cha jioni unakula kuanzia saa mbili usiku na kuendelea. Ushauri wa bure, kula chakula chako cha jioni/usiku kabla ya saa 10 jioni, ugali inclusive.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina kakaangu mkewe akipika chakula kingine tofauti na ugali lazima apikiwe ugali wake.

Wengine wanapenda tu ugali wala si kwa sababu ya umaskini. Halafu watafiti wa ugali wamekuwa wengi sana siku hizi kwani wazee wetu walikuwa wanakula nn enzi hizo!!!!

Kuna watu wana mapenzi na ugali, kuna mzee wangu mdogo hata kwenye sherehe kama hakuna ugali basi ataenda kuutafuta mgahawani/hotelini.
 
Usiku wa leo nimekula ugali kwa mbaazi zilizoungwa kwa mafuta ya mbabe wa meza. Hapa nakunywa maji tu! Kitumbo ndiiii!! Kila mtu anapenda ugali.

Arage Jekundu.
 
Nafikiri mleta mada analenga watu wasile chakula kizito (heavy meal) masaa machache kabla ya kulala ili kupumzisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na mifumo mingine inayohusiana nayo, kitu ambacho kitakuletea usingizi mwanana kabisa. Wataalamu wa lishe kujeni huku mtoe ushauri zaidi tafadhali
Hata kama hiyo ndiyo iliyokuwa maana yake mkuu,his presentation is ecxtremely poor.
 
Daah hapa nipo nakandamiza nguna yangu na sato wa kupaka, mara paa, naona bandiko hili!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom