Kula ugali usiku nacho ni kipimo cha umaskini

Kula ugali usiku nacho ni kipimo cha umaskini

Kula ugali usiku mjini,ilhali huna kazi ngumu unayofanya ni kipimo cha kutafuta kitambi
 
Basi itakua mimi maskini sana, maana usiku nakulaga KITIMOTO na ugali, kachumbari na pilipili.. unavyosema kula ugali usku ni umaskini uwe unataja na aina ya mboga, mboga yangu hiyo inagharimu 12000 utaniitaje maskini?

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Kwahyo mm mla ugali usiku niko kundi la maskini?

BUJA
 
Wacha tupambane na hali zetu ,maisha yenyewe, mkulu wa nchi kabana.
Kubadilisha menu kila siku, wamasaki ndo wamebaki wanafanya hivyo.
Wauswazi hata huo ugali kuupata ni shida.
 
Ninachofahamu ni kwamba usiku hutakiwi kula sana. Hilo la ugali ni uongo tu, mfano mimi ni mpenzi wa ugali sana lakini kwangu ni lazima niwe na vyakula vingine kama mchele, unga wa mahindi (dona), unga wa ngano, unga wa mtama na unga wa muhogo. Suala la msosi kila mtu hutumia apendacho. Pia misosi huendana na hali ya kijiografia na utamaduni wa eneo husika.
 
wabongo bwana mmedanganyana huko kijiweni unakuja kuanzisha thread.. ugali ukishautafuna mdomoni ukashuka tumboni unameng'enywa sawa na hivyo vyote ulivyotaja katika chemical digestion maana zote ni wanga

Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
In this case ugali = wali = viazi (chukua tano mkuu), ugali dhidi ya wali utakuwa moja ya chakula kigumu kama tu watu wanakula bila kumeza
 
Je nikila ugali mlainiiiiii kuna shida?

Ila nashangaa, unatushauri tule wali na kuacha ugali wakati vyote ni wanga na huleta virutubisho sawa mwilini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo Ni Madhara Ya Kusoma Kwa Kukariri. Ulipaswa Kuzungumzia Uelewa/elimu Duni Ya Afya Lkn Sio Umackn, Hakuna Logic Hapo Mkuu. Ukienda Migahawani Au Hotelini, Bei Ya Wali Na Ugali Ni Sawa Nowdays, Juz Juz Hapa Bei Ya Unga Ilifika 2400 Kwa Kilo Wkt Mchele Upo Had Wa 1500 Na Kuna Sehemu Zngine Bado Unga Upo Juu. Ss Umackin Umeuangalia Ktk Mtazamo Upi? Usomi Ni Uwezo Wa Kutazama Mambo Broadly, Uckurupuke Bro. Nenda Serena Wakupe Menu Ya Vyakula Af Uje Useme Hapa. Ugali Pia Upo Aina Nyingi Kuna Wa Ndizi, Mihogo, Mtama, Mahindi Nk. Mm Ninakawaida Crudii Kula Chakula Nlichokula Mchana, Mf Km Nlienda Sehemu Nikala Wali Bac Ucku Lazma Nile Chakula Tofauti Hata Km Ni Ugali Ilimradi Upate Mboga Nzuri Na Zakutosha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom