Kula ugali usiku nacho ni kipimo cha umaskini

Kula ugali usiku nacho ni kipimo cha umaskini

Sidhani kama ni umaskini kula ugali usiku, tatizo ni elimu ya lishe.

Mimi binafsi nasema kula vyakula vya wanga (carbohydrates) ndio kiashiria cha umaskini kwakua maskini ni vigumu kumudu gharama za vyakula vya protein kama vile mayai,matunda na mboga mboga.
Gharama hizo sio kubwa sana ila ugumu unakuja kwakua hivyo vyakula vinatakiwa kununuliwa kila siku au mara kwa mara kwa sababu haviwezi kuhifadhiwa kwa muda mrefu na ukila vinawahi kumeng'enywa, sasa mtu anataka ale wanga ashibe ili apate nguvu za kufanya kazi muda mrefu.

Kwa mantiki hiyo kimbilio ni vyakula vya wanga.

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
 
Umaskini unaingia vipi hapo mkuu? Bei ya unga na mchele inakaribiana sana na kuna wakati unga ulizidi mchele kwa bei.
Tueleze tu madhara ya kula vyakula vigumu usiku tutakuelewa.
 
watu na pesa zao wanakula ugali usiku, ni mapenzi tu ya mtu, ....we ungeandika tu kama kutoa ushauri
 
Ugali unatakiwa kuwahi kuliwa usiku, yani mapema na ule kiwango kidogo sio ule hadi uvimbewe,
 
Ninapenda makande yawe na maharage mengi kuliko mahindi na yakolee nazi.

Makonde ya boarding yalikuwa na mahindi mengi mafuta ya kunyunyiza
Rafiki Sasa kande likiwa na maharage mengi vipi kuhusu kujamba??.......au hutishiki??
 
Umaskini unaingia vipi hapo mkuu? Bei ya unga na mchele inakaribiana sana na kuna wakati unga ulizidi mchele kwa bei.
Tueleze tu madhara ya kula vyakula vigumu usiku tutakuelewa.
demi mwenzio nakumiss!!
 
Mkuu sawa Mimi Labda uniambie Mimi masikini wa Elimu na sio pesa .... Napenda mpaka kubakisha kiporo mzeee .....asubuhi unapiga Status.... U natembea na Yesu ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom