Belleringal
Member
- May 25, 2020
- 83
- 155
Dawa ya kuacha kukoloma ni ipi jamani
HILO NI TATIZO LAMFUMO WA UPUMUAJI. NENDA KCMC au MUHIMBILI au BENJAMINI MKAPA HOSPITAL, DODOMA. Utafanyiwa minor surgery katika mfumo wa upumuaji. Nenda haraka, usiogope. Ni upasuaji mdogo sana kupitia mdomoni. Utapona kabisa hiyo hali.Dawa ya kuacha kukoloma ni ipi jamani
Kukoroma Ni mhim hasa kwa Mwanaume hata vibaka wakija usku wanajua Kuna dume ndaniHILO NI TATIZO LAMFUMO WA UPUMUAJI. NENDA KCMC au MUHIMBILI au BENJAMINI MKAPA HOSPITAL, DODOMA. Utafanyiwa minor surgery katika mfumo wa upumuaji. Nenda haraka, usiogope. Ni upasuaji mdogo sana kupitia mdomoni. Utapona kabisa hiyo hali.
Mimi nilikaa na mtoto wangu miaka sita nikiwa nakwepa kwenda, kumbe ni upasuaji mdogo sana tu. Kijana amepona kabisa na hakoromi tena.
HahahahahKukoroma Ni mhim hasa kwa Mwanaume hata vibaka wakija usku wanajua Kuna dume ndani
Ndo wanakunyonga kabisa maana wanajua umezima. Lakini pia huwezi kwenda kulala nyumba ndogo ukiwa na tatizo la kukoroma.Kukoroma Ni mhim hasa kwa Mwanaume hata vibaka wakija usku wanajua Kuna dume ndani
Ni tatizo lakini linatibika. Kama kuna mtu anasumbuliwa na hilo tatizo aende Benjamin Mkapa kitengo cha Pua, Masikio na Macho. Kuna Madaktari bingwa wa eneo hilo.Jamani hii suala lakukoroma,ni janga la taifa aiseee!! Yaani hata huwezi kua na amani kabisa! Unaunguruma kama Generator!
Nenda fasta Benjamin Mkapa. Hilo tatizo linaisha kabisa. Kijana wangu alisumbuka miaka 5. Baada ya kufanyia minor surgery mwaka juzi amepona kabisa. kama una bima itatumika. Kama hamna I hope hata laki mbili hutamaliza maana gharama kubwa itakuwa hapo kwenye surgery ndogo tu. Kwengine dawa za kawaida za antibitic.Hadi hua naogopa kulala nyumba ndogo aiseeee
Mno yaniiUongo dhambi kulala na mtu anayekoroma ni kero sana
Wewe ni angel wa Twitter au nimekufananishaMno yanii
MimiWewe ni angel wa Twitter au nimekufananisha