Fahamu chanzo cha kukosa choo na madhara yake

Fahamu chanzo cha kukosa choo na madhara yake

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,766
Reaction score
2,685
WhatsApp Image 2026-08-06 at 22.06.37.jpeg



CONSTPATION NI NINI ?

Hili ni Tatizo la kutopata Kwa Muda Mrefu au"
Kupata Mara Chache


Lakini Kwa Shida Sana na Nguvu Kubwa huwa inatumika Katika
Kuhakikisha Walau hicho Kidogo Kinatoka , Kwa Sababu Ya Choo hicho Kuwa Kwenye Muundo Kama tope Jeusi au Vipande Vipande Kama Cha Mbuzi na Kwa Kiwango Kikubwa Kinatawaliwa na Miungurumo isiyokwisha tumboni na Hewa Nyingi Wakati wa Kwenda haja ( Kujamba Sana ) Inayoambatana na Harufu Kali Sana.



CHANZO CHA CONSTIPATION NI NINI ?

Constipation inasababishwa na
mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula

Kwenye utumbo mdogo
ambao una urefu wa takribani mara 3 na nusu ya urefu wa mtu husika , Kwenye Utumbo huo kuna Villi , hivi ni kama vidole ambavyo muda Wote huwa vinachezacheza ili kumeng'enya chakula,

Ila kutokana na sumu tunazoingiza mwilini kila siku kutoka kwenye vinywaji , Chakula , Dawa , Hewa tunzovuta Pamoja na Mafuta tunayokula kwenye vyakula huwa Viaenda kujipachika katikati ya Villars (vidole) na hivyo kusababisha vidole visimame (blocked)

Hivyo chakula Kinakuwa hakimeng'enywi na kusababisha chakula tunachokula kupitiliza moja kwa moja kwenye utumbo mkubwa Kama Kilivyo na hapo ndio tatizo linapoanzia.

Tatizo hili la Constipation hupelekea Watu kupata Magonjwa Mengi na Kusababisha Vifo Vingi Sana Kwa Watu Mbali Mbali Mbali na Wengine Bila Kufahamu Chanzo Cha Magonjwa Waliyonayo - Hata Baada ya Vipimo Vya Kimaabala
.

Kama Unapata Choo Mara Moja(1) Kwa SIKU Na Unakula Mara Tatu (3) Upo Kwenye Hatari Kubwa Ya Kupata Magonjwa Yafuatayo:


~Kansa ya Utumbo.

~Uzito uliozidi.

~Bawasir i(Vinyama sehemu ya haja kubwa).

~Maumivu ya Kiuno , Mgongo , Mabega , Kichwa , Misuli.

~Kukosa usingizi(Insomnia)

~Kukosa hamu ya kula (Loss of appetite).

~Tumbo kujaa gesi.

~Vidonda vya tumbo (Ulcers).

~Upungufu wa nguvu za kiume.


~Kushindwa kubeba mimba au kuzaa ( Ugumba ).


~Kupasuka kwa utumbo.


~Ileocecal valve incompetence.


~Kutoa harufu mbaya mdomoni na unapojamba.


~ Msongamano wa Hewa Kwenye Mapafu ( Kubanwa Mbavu na Kukosa Pumzi).


~ Maumivu ya tumbo Mara kwa Mara.


~ Muwasho Njia ya Haja Kubwa .


~ Maumivu ya Koromeo ( Kuhisi Kitu Kinapanda Kooni na Kushuka ).


~ Kiungulia .


~ Magonjwa ya Ngozi.



Na Mengine Mengi Sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom