Yofav
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 3,962
- 6,897
Habari,
Je, kuna mtu hufikia hatua akawa katika hali niliyonayo muda huu? I mean kwamba kuna wakati ukifika nikitafakari maisha yangu nahisi kama kukata tamaa, yaani kuhisi uchovu tu from no where.
Yaani sijui niiweke vipi ila kuna muda tu ukifikaga tafakuri ya maisha hunijia, najikuta nayaangalia maisha yanavyoenda na kuanza kujiuliza kwanini ninaishi na ndipo unagundua vitu vinavyonitoa kwenye mood ya hamasa ya kuishi.
Mungu ananibariki silali njaa, I pay my own bills on time, ila nikirudi katika kutafakari haya maisha tunayoyaishi wanadamu, nikitafakari kuhusu kifo, magonjwa, umasikini, ajali, fake people surronding us because of what we have waki-pretend kama wanatupenda ila tukiishiwa hatuwaoni, ukifanikiwa pia inabidi uwe makini maana maadui wanakuwinda pia nk, yaani ni kama mtu umekuja duniani kwa ajili ya kuteseka tu hadi ufe, basi nikiwaza hayo ndo najikuta napoteza kabisa mood ya kuishi.
I have tried kuiepuka hiyo kitu ila tafakuri hainiachi, nakuwa na furaha ya muda halafu baada ya hapo narudi kwenye tafakuri. Kuna muda tu nitajikuta mwenyewe mahali nikiwa na huzuni na mawazo on why sasa ninaishi si bora tu nisingekuwepo?
Wakati mwingine nikawaza labda kuwa na upweke wa u-single kunafanya niwe hivi na labda pengine nikiwa na mpenzi nitaachana na hii hali lakini sivyo, ni baada ya kuona hata huyo mpenzi anakuja kwangu ikiwa kama kuna kitu cha kumpa na kama sina basi sitomuona tena karibu yangu.
Sasa je, furaha na upendo ya kweli ya maisha ni nini? Basi nikiwaza hayo najikuta tena nikitokwa na mood ya kuishi kabisa.
Nani mwingine hupitia hali hii? Majibu yake ni nini kwako? Tupeane uzoefu ebu.
Je, kuna mtu hufikia hatua akawa katika hali niliyonayo muda huu? I mean kwamba kuna wakati ukifika nikitafakari maisha yangu nahisi kama kukata tamaa, yaani kuhisi uchovu tu from no where.
Yaani sijui niiweke vipi ila kuna muda tu ukifikaga tafakuri ya maisha hunijia, najikuta nayaangalia maisha yanavyoenda na kuanza kujiuliza kwanini ninaishi na ndipo unagundua vitu vinavyonitoa kwenye mood ya hamasa ya kuishi.
Mungu ananibariki silali njaa, I pay my own bills on time, ila nikirudi katika kutafakari haya maisha tunayoyaishi wanadamu, nikitafakari kuhusu kifo, magonjwa, umasikini, ajali, fake people surronding us because of what we have waki-pretend kama wanatupenda ila tukiishiwa hatuwaoni, ukifanikiwa pia inabidi uwe makini maana maadui wanakuwinda pia nk, yaani ni kama mtu umekuja duniani kwa ajili ya kuteseka tu hadi ufe, basi nikiwaza hayo ndo najikuta napoteza kabisa mood ya kuishi.
I have tried kuiepuka hiyo kitu ila tafakuri hainiachi, nakuwa na furaha ya muda halafu baada ya hapo narudi kwenye tafakuri. Kuna muda tu nitajikuta mwenyewe mahali nikiwa na huzuni na mawazo on why sasa ninaishi si bora tu nisingekuwepo?
Wakati mwingine nikawaza labda kuwa na upweke wa u-single kunafanya niwe hivi na labda pengine nikiwa na mpenzi nitaachana na hii hali lakini sivyo, ni baada ya kuona hata huyo mpenzi anakuja kwangu ikiwa kama kuna kitu cha kumpa na kama sina basi sitomuona tena karibu yangu.
Sasa je, furaha na upendo ya kweli ya maisha ni nini? Basi nikiwaza hayo najikuta tena nikitokwa na mood ya kuishi kabisa.
Nani mwingine hupitia hali hii? Majibu yake ni nini kwako? Tupeane uzoefu ebu.