Kuishi Dar haimaanishi wewe mjanja

Kuishi Dar haimaanishi wewe mjanja

acha blaablaa nyingi mkuu njoo Dar ilipo Tanzania
Dar mlituoshea sana zamani hizo miaka ya 97-98 😁😁 sasa hivi wala hamtushtui bro, nakumbuka mlikua mna kuja na zile game boys zenu, ili kuzishika tu mnatuambia tukaoge kwanza na kuvaa nguo mpya😁😁😁
 
Dar es salaam Maisha ni magumu sana hasa kwa vijana wanaoanza maisha.
Hili jiji ni la mateso sana kwa kweli mungu tu awasaidie wale ambao wanapambana Dar na kijijini hakuna kitu (mashamba, mifugo)
Ahahha nawahurumia sana mbaya zaidi wanafosi maisha ambayo sio yao
 
Fake P siku nikija pelekwa dar nitalia sana

1743682120733.jpeg
 
Sehemu kubwa ya jiji la Dar ni takataka, kuna wengi Dar ni kama tu wanaishi dampo

Maeneo mengine unajiuliza inawezekanaje binadamu kuishi maana kiafya ni hatarishi sana

Ukiwa na kinyaa huwezi kuishi Dar

Ukitoka nje ya Dar ukaenda mikoa yenye hewa nzuri, safi na baridi unainjoi

Ukirudi Dar unagundua hewa yake ni nzito na harufu za ajabu ajabu

Kama ni kweli Michael Jackson alipokuja Dar alisema jiji la Dar linanuka alikuwa sahihi sana
👉Harufu za shombo ya supu ya pweza
👉Harufu za kondomu zilizotumika kila gesti yenye 😅dada poa
👉Harufu ya uduvi
👉Harufu za bhangi na shisha
👉Harufu ya jasho la kwenye daladala
👉Harufu ya makombo ya supu za mabaki ya makongoro
👉Harufu ya visamaki vya mbususu za kushare
👉Harufu za mashoga Kmmke mbona mtihani🥶🙌

Hii combo ya minuko=mnuko promax
 
👉Harufu za shombo ya supu ya pweza
👉Harufu za kondomu zilizotumika kila gesti yenye 😅dada poa
👉Harufu ya uduvi
👉Harufu za bhangi na shisha
👉Harufu ya jasho la kwenye daladala
👉Harufu ya makombo ya supu za mabaki ya makongoro
👉Harufu ya visamaki vya mbususu za kushare
👉Harufu za mashoga Kmmke mbona mtihani🥶🙌
Daladala inaniwia ugumu kupanda ase
 
Kuna sehemu ina wapumbavu, washamba na maboya kupita Dar?

Jitu halina kazi lakini linaona aibu kufanya baadhi ya kazi. Mwanaume anajipura kuliko hata dada zake, mtoto wa kiume anajua habari za mwanaume mwenzie kuliko hata mke wa huyo mwanaume.
😂😂😂😂😂
 
Dar hihi ikifika kipindi cha mvua watu hugeuka vyura ndio ujione mjanja au unaongelea dar ipi
Jana nilikuwa kariakoo nyuma ya china plaza sijui inaitwaje ile mitaa ila ni karibu na Agrey.... ebwana mvua imenyesha kuna maji machafu yametwama barabarani yanatoa harufu kali kweli utafikiri watu wametapisha vyoo, nilikaa pale kwa muda wa saa moja ila nilipata mateso makali sana sio kwa harufu ile, nilijikuta nawahurumia wafanya biashara wa lile eneo, halafu cha kustaajabisha zaidi nikawaona wengine eti wanakula na chakula kabisa licha ya harufu kali iliyokuwepo pale.

Kiukweli huu mji ni mchafu sana unatia kinyaa, ukitaka kuona hilo subiri kipindi cha mvua.
 
kama upo oystabey ,mbweni ,masaki na maeneo yanayofanana na hayo, tena zile sehemu nyeti tu hapo sawa, tofauti na hapo mvua zina nyesha huku kila mpanda uje tupige majaruba bwashee😁😁
😂😂😂😂
 
Jana nilikuwa kariakoo nyuma ya china plaza sijui inaitwaje ile mitaa ila ni karibu na Agrey.... ebwana mvua imenyesha kuna maji machafu yametwama barabarani yanatoa harufu kali kweli utafikiri watu wametapisha vyoo, nilikaa pale kwa muda wa saa moja ila nilipata mateso makali sana sio kwa harufu ile, nilijikuta nawahurumia wafanya biashara wa lile eneo, halafu cha kustaajabisha zaidi nikawaona wengine eti wanakula na chakula kabisa licha ya harufu kali iliyokuwepo pale.

Kiukweli huu mji ni mchafu sana unatia kinyaa, ukitaka kuona hilo subiri kipindi cha mvua.
Watu wanafungua mashimo ya vyoo kipindi cha mvua
 
Back
Top Bottom