Ujuaji mwingimalimbukeni tu
😁😁 kivipi mkuu wakati mnaongopa hata karungu yeye😄Dogo ukiona mtu anaishi Dar ujue huyo ni Superstar tayari sio level za watu wa mikoani tena.
Ahahah kazi yake ni uchawaKuna sehemu ina wapumbavu, washamba na maboya kupita Dar?
Jitu halina kazi lakini linaona aibu kufanya baadhi ya kazi. Mwanaume anajipura kuliko hata dada zake, mtoto wa kiume anajua habari za mwanaume mwenzie kuliko hata mke wa huyo mwanaume.
Ilikuwaje?Mtoto wa dar nimetapeliwa makambako😭
Au sio kuna kila aina ya matukioUkiweza kuishi Kampala Uganda ndo unakuwa mjanja
Muache kutupiga vibomuWatu wa mikoa mna chuki sana na sisi mbona si hatuna noma na nyie wakuu
Umeongea ushuzi 🤣broo, mimi nipo mwanza, ila kwenye moja na mbili kuna watu wadsm hawanifikii japo ni dereva bajaji tuDogo ukiona mtu anaishi Dar ujue huyo ni Superstar tayari sio level za watu wa mikoani tena.
Hamna matukio Ila akili yako lazima iwe active 24/7 tofauti na miji midogo Kama dar, Nairobi n.kAu sio kuna kila aina ya matukio
Ahaha pambana kabisa sio kawe nenda mbweni kuleHili jiwe limeubonda mbichwa wangu japo ni gizani .
Mwakani na mimi nitapambana ninunue kakiwanja hata kawe ka 20*20 nimeanza kuziona shombo za akina dada nikiwapiga biti wapangaji 🤔
Karungu yeye ndo nini, mizimu au? Dar hamna ivo vitu kwaiyo lazima tuogope😁😁 kivipi mkuu wakati mnaongopa hata karungu yeye😄
Sasa mkuu mbona wanatupiga vibomu sisi wa mkoa kuomba hela kwa sanaDogo ukiona mtu anaishi Dar ujue huyo ni Superstar tayari sio level za watu wa mikoani tena.
Hellow
Kuna watu wana jiaminisha kuwa hawewezi kutapeliwa wala hakuna asichokijua kwasababu tu anaishi dar ni uongo
Kuna watu wamezaliwa dar na wamekulia hapo ila wanatapeliwa kila siku na kuibiwa kijinga sana sasa wewe wa mkoa umeenda dar kwasababu tu ya kazi unajiona mjanja subiri wakuingize mjini
Na watu wa dar wengi wanajiamin kuwa wanajua kuvaa yaan wanaenda na wakati uongo sio wote ukitembea utakutana na vituko vingi sana kiasi hukutegemea kabisa
Kuishi kwako dar haimaanishi unajiweza uongo wengi dar wanaishi maisha ya kawaida sana tena kama mgeni usikimbilie kununua gar itakutesa mkuu
Kuishi kwako dar sio kwamba dar yote unaijua no kuna njia zingine uzijui kuwa mpole punguza ujuaji utashindwa saidiwa
Watu wa mwanza hamna haki kabisa ya kuongea apa, angalau angalau ArushaUmeongea ushuzi 🤣broo, mimi nipo mwanza, ila kwenye moja na mbili kuna watu wadsm hawanifikii japo ni dereva bajaji tu
Ahahah sasa hapo unawachokozaMsukuma sasa akienda dar kila simu anayopigiwa utasikia
"eeh haloo nipo dar..." ndio anaendelea na mazungumzo
Wanawaona washamba ndo maana, huku Dar kila mtu Superstar hakuna anaetaka kuonekana mnyonge kwa kumwomba Superstar mwenzie helaSasa mkuu mbona wanatupiga vibomu sisi wa mkoa kuomba hela kwa sana
Dar ni kijijini kilichochangamka tu , wanaoishi dar kweli ni wachache mno , wengi waliopo huko dar bora waje tu huku mguupande tulime mpunga😁Karungu yeye ndo nini, mizimu au? Dar hamna ivo vitu kwaiyo lazima tuogope
h hapana mimi tangu nifike dar nilitaka kuibiwa mara moja tu kariakoo tena kuna jamaa akanisanua kunihelpImekuaje baba Catress?
Umetapeliwa mtu akakulaumu umetapeliwaje na wewe ni mtu wa Dar?
huko mabondekuinama ndo wapi, Tanzania ipo Dar mkuu ogopa matapeliDar ni kijijini kilichochangamka tu , wanaoishi dar kweli ni wachache mno , wengi waliopo huko dar bora waje tu huku mguupande tulime mpunga😁
Sijamaanisha nitanunua kiwanja kawe kaka huko sipawezi ,nitaenda hata vikindu huko .Ahaha pambana kabisa sio kawe nenda mbweni kule