Kuishi Dar haimaanishi wewe mjanja

Kuishi Dar haimaanishi wewe mjanja

Huko mikoani wanakaa mafans wetu mkuu, Dar ni Dar tu haijalishi mtu anakaa Goba, Mvuti, Kibamba wala Chanika mwisho, wote ni masuperstar huez linganisha na wa uko Kakonko ndanindani kuoga mpaka mvua inyeshe 😂
Umenikumbusha kuna dada yangu anakaa huko goba, kuna siku kapiga simu anaomba atumiwe vitu vya kula na pesa za matumizi, nikafikiria mbona huyu ni nyumbu sana ,kaacha mashamba kijijini miaka zaidi ya 40 yupo dar si arudi tu kijiji kushika jembe ,huku sisi tunakula mpaka tuwabakizia na nguruwe😁😁😁😁
 
Umenikumbusha kuna dada yangu anakaa huko goba, kuna siku kapiga simu anaomba atumiwe vitu vya kula na pesa za matumizi, nikafikiria mbona huyu ni nyumbu sana ,kaacha mashamba kijijini miaka zaidi ya 40 yupo dar si arudi tu kijiji kushika jembe ,huku sisi tunakula mpaka tuwabakizia na nguruwe😁😁😁😁
kwanza elewa maana ya usuperstar mkuu, sisi huku tunaishi stress free tukijua mashabiki zetu washamba huko vijijini watatupa sapoti 😂
 
Kama upo mkoani we kubali tu kuwa shabiki yetu kabla wabibi hawajakuroga
Kaka karibu njombe , huku viazi na mayai mnavyoita chips, buku unakula na kusaza😁😁😁
1743680541568.jpg
 
kwanza elewa maana ya usuperstar mkuu, sisi huku tunaishi stress free tukijua mashabiki zetu washamba huko vijijini watatupa sapoti 😂
Kaka huku ni jembe tu , tukirudi jioni tunahesababu mayai kama matano fresh ,tunapsaulia kwenye sufuria tunakula , huku tukisubiria kuku mzima wa kienyeji achemke , huku hatuli miguu ya kuku na kichwa kaka hivyo ni vya mbwa kiongozi 😁😁
 
Fanyeni wepesi wa kuvituma huku Tanzania tulipo mastar wenu mpate walau hela ya kushona nguo za vitenge😂
Kaka vijinini kwa sasa tunauza mazao tunanunua matreka ya kupiga kazi 😁😁 mzigo ukiiva nairobiiiiii😄😄
 
Dar es salaam Maisha ni magumu sana hasa kwa vijana wanaoanza maisha.
Hili jiji ni la mateso sana kwa kweli mungu tu awasaidie wale ambao wanapambana Dar na kijijini hakuna kitu (mashamba, mifugo)
 
Kaka huku ni jembe tu , tukirudi jioni tunahesababu mayai kama matano fresh ,tunapsaulia kwenye sufuria tunakula , huku tukisubiria kuku mzima wa kienyeji achemke , huku hatuli miguu ya kuku na kichwa kaka hivyo ni vya mbwa kiongozi 😁😁
acha blaablaa nyingi mkuu njoo Dar ilipo Tanzania
 
Umetoka nyumbani kuja Dar ili ubadilishe hali ya maisha ya kwenu lakini kwenu wasipokutumia debe la mahindi unaweza kufa njaa
Kabisa na sio njaa tu ata umeme unalipiwa na wazaz
 
Back
Top Bottom