Kuishi Dar haimaanishi wewe mjanja

Kuishi Dar haimaanishi wewe mjanja

Sijamaanisha nitanunua kiwanja kawe kaka huko sipawezi ,nitaenda hata vikindu huko .
Ni jana kuna kampangaji nakauliza vipi mnaelewana vizuri hapo na hamgombani na wapangaji wenzio kakasema ndiyo .

Kumbe walishanishusha heshima kawapigia akina dada eti mbona simsomi mdogo wenu anapiga simu kunibughudhi ,wacha akina dada waniwashie moto mpaka nilianza kuogopa kupokea simu .

Sasa solution ni kujenga kibanda changu ili na mimi niringe tu vya urithi sio kabisa .
Vya kurithi ukitaka visikusumbue uwe na chako kikubwa zaid ya urithi mkuu
 
Hellow

Kuna watu wana jiaminisha kuwa hawewezi kutapeliwa wala hakuna asichokijua kwasababu tu anaishi dar ni uongo

Kuna watu wamezaliwa dar na wamekulia hapo ila wanatapeliwa kila siku na kuibiwa kijinga sana sasa wewe wa mkoa umeenda dar kwasababu tu ya kazi unajiona mjanja subiri wakuingize mjini

Na watu wa dar wengi wanajiamin kuwa wanajua kuvaa yaan wanaenda na wakati uongo sio wote ukitembea utakutana na vituko vingi sana kiasi hukutegemea kabisa

Kuishi kwako dar haimaanishi unajiweza uongo wengi dar wanaishi maisha ya kawaida sana tena kama mgeni usikimbilie kununua gar itakutesa mkuu

Kuishi kwako dar sio kwamba dar yote unaijua no kuna njia zingine uzijui kuwa mpole punguza ujuaji utashindwa saidiwa
Mwachi Nini kimetokea in mwamposa voice😆
 
Sehemu kubwa ya jiji la Dar ni takataka, kuna wengi Dar ni kama tu wanaishi dampo

Maeneo mengine unajiuliza inawezekanaje binadamu kuishi maana kiafya ni hatarishi sana

Ukiwa na kinyaa huwezi kuishi Dar

Ukitoka nje ya Dar ukaenda mikoa yenye hewa nzuri, safi na baridi unainjoi

Ukirudi Dar unagundua hewa yake ni nzito na harufu za ajabu ajabu

Kama ni kweli Michael Jackson alipokuja Dar alisema jiji la Dar linanuka alikuwa sahihi sana
 
Sehemu kubwa ya jiji la Dar ni takataka, kuna wengi Dar ni kama tu wanaishi dampo

Maeneo mengine unajiuliza inawezekanaje binadamu kuishi

Ukiwa na kinyaa huwezi kuishi Dar

Ukitoka nje ya Dar ukaenda mikoa yenye hewa nzuri, safi na baridi unainjoi

Ukirudi Dar unagundua hewa yake ni nzito na harufu za ajabu ajabu

Kama kweli Michael Jackson alipokuja Dar alisema jiji la Dar linanuka alikuwa sahihi sana
😂😂 watu wana mahangaiko
 
kama upo oystabey ,mbweni ,masaki na maeneo yanayofanana na hayo, tena zile sehemu nyeti tu hapo sawa, tofauti na hapo mvua zina nyesha huku kila mpanda uje tupige majaruba bwashee😁😁
Huko mikoani wanakaa mafans wetu mkuu, Dar ni Dar tu haijalishi mtu anakaa Goba, Mvuti, Kibamba wala Chanika mwisho, wote ni masuperstar huez linganisha na wa uko Kakonko ndanindani kuoga mpaka mvua inyeshe 😂
 
Back
Top Bottom