Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,827
- 95,740
Hizi issue za alliens nazo zinachanganya sana, kwangu huwa naona kama ni myth tu mpaka pale ntakapoweza kufikiria nje ya hapo,
Kuna taarifa nyingi sana kuwahusu ambazo nazo zinaonekana kama sio za kuaminika sana kulingana na ushahidi wa uwepo wao kuwa mdogo,
Ila kama kweli wapo na kwasababu teknolojia inakuwa kila siku basi nadhani tutaanza kuona uwepo wao kwa njia rahisi zaidi
Kuna taarifa nyingi sana kuwahusu ambazo nazo zinaonekana kama sio za kuaminika sana kulingana na ushahidi wa uwepo wao kuwa mdogo,
Ila kama kweli wapo na kwasababu teknolojia inakuwa kila siku basi nadhani tutaanza kuona uwepo wao kwa njia rahisi zaidi