Kuiper Belt: Behind the certain

Kuiper Belt: Behind the certain

Man you cant beat the bold! That guy is special. He was born to do do what he does. Baki msomaji kama mimi. Sio lazima wote tuandike. Makala ndeeefuu hadi usingizi. Acha kujaza server kwa nonsensical threads
aiseeee we ni kilaza sijapata kuona ulicho kiandika kina sadifu jinsi ubongo wako ulivo mzito kufikiri
poor you MFK


....


una bahati nimekosa emoj ya middle finger
 
Man you cant beat the bold! That guy is special. He was born to do do what he does. Baki msomaji kama mimi. Sio lazima wote tuandike. Makala ndeeefuu hadi usingizi. Acha kujaza server kwa nonsensical threads
Sio lazima the bold ndo aseme kila kitu jaman wengine haya tulikuwa hatuyajui kama imekuboa lala co lazma kutoa michango....
 
nashindwa kusema kama ni kweli ama ni uongo!,lkn nikiangalia mazingira ndio naweza sema huenda kukawa na viumbe wengine zaidi yetu,sidhani kama hizo nyota zipo angani kama mapambo tu.. ila uhakika wa kusema "ndio" kuna viumbe wengine nje ya dunia hilo ndilo nalositia!.
Ktk upande wa pili kama kuna watu wanatambua kuna alien hlf wanaficha lzm tuwaangalie ktk jicho la ulakini either wana yao ajenda 1.yakutawala
hili ndilo limebeba dhana kuu ya lengo lao ama ktk ukweli au udanganyifu!.

chengine kama watu hao wanashirikiana na alien ili kuangamiza wengine basi watakuwa wamepotoka either kwa kudanganywa ama kuambiwa ukweli!
inaniwia vigumu kusema kwamba sayari hii ilikuwa ni ya alien! na kwa kusema hivyo kutakuwa kumeharibu historia mbalimbali zinazoaminika kama ndio mwanzo wa maisha ktk dunia..

kipi kiliwaondosha hao alien hapa duniani..?
na kipi kinawarudisha hao alien hapa duniani..?
wapi mwanadamu na viumbe wa hapa duniani chanzo chake..?
 
Man you cant beat the bold! That guy is special. He was born to do do what he does. Baki msomaji kama mimi. Sio lazima wote tuandike. Makala ndeeefuu hadi usingizi. Acha kujaza server kwa nonsensical threads
Huu ni upuuzi wa hali ya juu,haya ni mahaba yaliyopitilizaaa
 
Mkuu Eiyer kwanza nikupongeze sana kwa thread nzuri na ya kufikirisha

hii dunia ina mambo mengi sana yaliyojificha ambayo wataalamu wanajitahidi yatambulike lakini nina maswali

1. je inawezekana wanasayansi wakawa wanatupa/kutulisha taarifa ambazo sio sahihi au kwa muonekano wao waliochofikiri kikundi kinachofanya utafiti?

2. Vipi kuhusu Muumbaji aliumba mwanadamu kuja kumalizwa na viumbe wengine na sio kifo pekee?

3. kwa hiyo ipo siku hii dunia itakuwa ya wengine na sie tutakwenda kuishi huko walipokuwa wanaishii wao?

usisahau kuni tag (bila kukosea) ili niweze kupata ufahamu wa mambo haya
 
nashindwa kusema kama ni kweli ama ni uongo!,lkn nikiangalia mazingira ndio naweza sema huenda kukawa na viumbe wengine zaidi yetu,sidhani kama hizo nyota zipo angani kama mapambo tu.. ila uhakika wa kusema "ndio" kuna viumbe wengine nje ya dunia hilo ndilo nalositia!.
Ktk upande wa pili kama kuna watu wanatambua kuna alien hlf wanaficha lzm tuwaangalie ktk jicho la ulakini either wana yao ajenda 1.yakutawala
hili ndilo limebeba dhana kuu ya lengo lao ama ktk ukweli au udanganyifu!.

chengine kama watu hao wanashirikiana na alien ili kuangamiza wengine basi watakuwa wamepotoka either kwa kudanganywa ama kuambiwa ukweli!
inaniwia vigumu kusema kwamba sayari hii ilikuwa ni ya alien! na kwa kusema hivyo kutakuwa kumeharibu historia mbalimbali zinazoaminika kama ndio mwanzo wa maisha ktk dunia..

kipi kiliwaondosha hao alien hapa duniani..?
na kipi kinawarudisha hao alien hapa duniani..?
wapi mwanadamu na viumbe wa hapa duniani chanzo chake..?
Mkuu,shukran kwa post yako hii inayoonesha inatoka kwa mtu anayefuikiri....

Kama ni ukweli [kitu ambacho binafsi ninaamini ni kweli] wapo hao Aliens basi ni dhahiri watakuwa na ajenda yao tu ambayo siyo njema.Ni kwanini kuna watu ambao wanajua kwa hakika kuwa wapo na wanaficha? Hili ni swali ambalo majibu yake yanaweza kutufanya tuingie kwenye namna tofauti kabisa kimtazamo mkuu...

Kuna mambo ni magumu sana kuyaelewa lakini kuna mambo nimejifunza katika harakati zangu za kufuatilia haya mambo magumu,miongoni mwa mambo hayo ni kwamba ili uweze kumdanganya mtu yoyote ni kwamba unapaswa kuchanganya uwongo na ukweli.Unaweka ukweli kidogo na uwongo mwingi hapo utafanikiwa...

Kwenye ishu hii ya uwepo wa Aliens kunawezekana imetumika njia hiyo hiyo au kinyume chake,lakini kwa namna inavyoonekana kuna jambo kubwa sana katikati ya hili....
 
Mkuu Eiyer kwanza nikupongeze sana kwa thread nzuri na ya kufikirisha
Ahsante sana kwa kutambua hili mkuu....
hii dunia ina mambo mengi sana yaliyojificha ambayo wataalamu wanajitahidi yatambulike lakini nina maswali

1. je inawezekana wanasayansi wakawa wanatupa/kutulisha taarifa ambazo sio sahihi au kwa muonekano wao waliochofikiri kikundi kinachofanya utafiti?
Kimsingi ni kweli humu duniani kuna mambo ambayo hayaeleweki vizuri na hii ni kutokana kuonekana kuna kundi moja na viumbe linakuwa na ajenda fulani inayopelekea kuendesha harakati fulani fulani zinazofanya wasieleze ukweli wa yanayotokea hapa duniani hivyo unachosema huenda kiko sahihi au kinyume chake...
2. Vipi kuhusu Muumbaji aliumba mwanadamu kuja kumalizwa na viumbe wengine na sio kifo pekee?
Lengo na Muumba linatofautiana kutoka dini moja kwenda nyingine hivyo ni suala la dini husika kusema lengo hili.Lakini kimsingi ni kwamba kuna nguvu fulani inayosimamia kila kitu kiende kama inavyotaka yenyewe na ndiyo maana hata unaona kuwa kuna ugumu wa kutekeleza baadhi ya mambo....
3. kwa hiyo ipo siku hii dunia itakuwa ya wengine na sie tutakwenda kuishi huko walipokuwa wanaishii wao?
Kwa hili sina jibu la moja kwa moja lakini kwa mimi binafsi ninaamini katika hukumu ya Mungu kwa dunia hii...
usisahau kuni tag (bila kukosea) ili niweze kupata ufahamu wa mambo haya
Usijali mkuu....
 
Ahsante sana kwa kutambua hili mkuu....

Kimsingi ni kweli humu duniani kuna mambo ambayo hayaeleweki vizuri na hii ni kutokana kuonekana kuna kundi moja na viumbe linakuwa na ajenda fulani inayopelekea kuendesha harakati fulani fulani zinazofanya wasieleze ukweli wa yanayotokea hapa duniani hivyo unachosema huenda kiko sahihi au kinyume chake...

Lengo na Muumba linatofautiana kutoka dini moja kwenda nyingine hivyo ni suala la dini husika kusema lengo hili.Lakini kimsingi ni kwamba kuna nguvu fulani inayosimamia kila kitu kiende kama inavyotaka yenyewe na ndiyo maana hata unaona kuwa kuna ugumu wa kutekeleza baadhi ya mambo....

Kwa hili sina jibu la moja kwa moja lakini kwa mimi binafsi ninaamini katika hukumu ya Mungu kwa dunia hii...

Usijali mkuu....

Mkuu asante sana

unazidi kunifikirisha sana kuhusiana na ulimwengu tuliomo.
najaribu kufikiria vita vinavyoendelea kila pembe ya ulimwengu kwamba ni mapandikizi ya watu wachache ya kutaka wengine kuendelea kufikiri vita na wakati huu wao wakiendelea kuubadilisha ulimwingu.

swali la kujiuliza
1 je kama wanajua kwamba kuna viumbe wengine ambao ni hatari wanaficha nini kuelezea ulimwengu kwa sababu mwisho wa siku na wao watakuwa katika hati hati hiyo hiyo

2. je kuna uwezekano wa hivyo viumbe kutengenezwa nao na kama ndivyo wakileta madhara si inakuwa kwa wote

3. Hiyo nguvu inayosimamia kila kitu nini matarajio yao ya baadae kwamba kutawala dunia je kifo kipo mbali nao au watakuwa wametengeneza anti kifo
 
Mkuu Eiyer tupo ktk dunia yenye mkanganyiko.. lkn majibu ya kweli yapo ktk tafiti sasa kuna hao waliotutangulia wana uchaguzi wa kufikisha kweli au uongo au kweli yenye uongo.
usikute hao elien hawana hata mpango wa kumuumiza binadamu ila wale binadamu wachache ndio wenye nia hiyo.. sasa kinachotumika ni njia ya kumuingiza samaki mtegoni! hili nalo lawezekana.

kikubwa hapa kuangalia ni hao eliens wana sifa gani na je wanawiana na mfumo wa kimazingira wa dunia..? mpk waseme ni mahala pao.hapa najaribu kuangalia kile kinachosemwa kuhusu wao na dunia.
kama ni kweli wanataka kuidhuru dunia inamaana mpk wewe kulitambua hilo basi siri imeshavuja! je,kunajitihada zozote za kujikomboa..? kama hakuna hapa napata walakini mwengine!
 
Siku za mwisho kutakuwapo na nyakati za hatari uzuri haya mambo yote yapo kwenye biblia kitabu cha ufunuo wanasayansi ubishi na ufukunyuku wao tu.
 
Nilishawahi kukutana na taarifa ikionesha kuwa hata huku Afrika hao Aliens walishawahi kuonekana na tukio la karibuni zaidi ni la kwenye shule moja kule Zimbabwe....

Mkuu,kuna mambo mengine ukiyajua kuwahusu hawa Aliens maswali yanapata majibu taratibu tu na yanaisha,acha tuendelee kujifunza kuhusu haya kisha tutaendelea kupata ukweli zaidi mkuu....

NWO ni ishu pana sana mkuu na sidhani kama ni sawa kusema tu kirahisi kuwa imeshashindwa,tuendelee kujifunza mkuu....
Mkuu huko Zimbabwe hao alien aliewaona ni nani? Itakuwa hao hao wenye hizi propaganda.

NWO imefeli mkuu, sasa hivi ni kumalizia shina na matawi. Mizizi imekufa.

Fatilia tu sasa hivi jinsi binadamu wanavyopindua meza. Zile myths na taboo za hao watu wachache zinavunjwa na kupingwa wazi wazi. US president ashawaambia hao NASA na CIA wamuoneshe hao aliens na wamuoneshe effects za global warming! Wote kimya wamebaki kuduwaa tu maana hawana ushahidi tangible. Ni kikundi cha wachache kilijitengenezea mazingira ya kunyonya na kutawala wengi.
 
Imaginary stories. Kama unaweza kukaa na Aliens na usifahamu kama ni Aliens, sasa unamjuaje? Huyo Princess wa Japan anageuza ndoto kuwa reality.
 
Mkuu asante sana

unazidi kunifikirisha sana kuhusiana na ulimwengu tuliomo.
najaribu kufikiria vita vinavyoendelea kila pembe ya ulimwengu kwamba ni mapandikizi ya watu wachache ya kutaka wengine kuendelea kufikiri vita na wakati huu wao wakiendelea kuubadilisha ulimwingu.
Kama ulishawahi kuipitia Allegory of the cave ya Plato utanielewa vizuri sana mkuu...

Kuna wimbo mmoja Coolio anasema kuwa amekuwa mtumwa kwakuwa akili yake imelishwa mambo ambayo yanamfanya awe mtumwa kwayo kama vile fedha na mambo ya kidunia....

Wakati wao wakipambana na namna ya kuibadilisha dunia sisi tunahangaika kila siku kusaka fedha na starehe za dunia wakati hayo yote hatuwezi hata kuishi nayo hata kwa miaka 50.....
swali la kujiuliza
1 je kama wanajua kwamba kuna viumbe wengine ambao ni hatari wanaficha nini kuelezea ulimwengu kwa sababu mwisho wa siku na wao watakuwa katika hati hati hiyo hiyo
Kwanza jambo ambalo ninalifahamu ni kwamba uwepo wa viumbe hawa unawanufaisha maana wanaweza kupata access ya info ambazo hawakuzijua hapo kabla na kuwafanya wawe juu kisayansi kwa namna ya kutisha kabisa....

Kuna silaha ambayo unapolenga mtu na kumlenga sawia risasi inatoka bila wewe kuiruhusu,yaani huhitaji shabaha tena ili uweze kuua....
2. je kuna uwezekano wa hivyo viumbe kutengenezwa nao na kama ndivyo wakileta madhara si inakuwa kwa wote
Hili uwezekano wake ni mdogo sana maana ni viumbe wa hali ya juu kuliko,kama wameumbwa au kutengenezwa basi itakuwa vimetengenezwa na viumbe wengine ambao ni hatari zaidi kiubora....

Hawa viumbe siyo product ya binadamu....
3. Hiyo nguvu inayosimamia kila kitu nini matarajio yao ya baadae kwamba kutawala dunia je kifo kipo mbali nao au watakuwa wametengeneza anti kifo
Kwa namna nijuavyo ni kwamba watakuja kupambana na nguvu hii na watashinda na hii ni kwa mujibu wao wenyewe,acha tusubiri tuone mkuu....

Tuombe uzima tu kwakweli.....
 
Back
Top Bottom