jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,836
- 7,602
Mambo ya aliens kwa kweli nafikiri yapo, kutokana na hapo juu kuhusu nyota/jua, lazima ktk kila jua kuna sayari moja iko kama yetu, that much i understand, na nakubali yawezekana sayari kama zetu zitakuwa kibao huko, zikiwa na viumbe wenye uwezo kiakili kuliko sisi, lini dunia yetu wataimaliza hatujuwi, ila kutokana na vitabu wanasema kufifia kwa jua ndio mwisho wetu, mabilioni ya miaka yajayo ofcourse, sisi hatutakuwepo, ila dunia itaisha tu.
Ni somo kali lenye kuhitaji uwezo mkubwa wa kufikiri na sio sisi wenye kuamini dini za waarabu au wazungu, yahitaji IQ ya uhakika kwa kweli, thread bomba...endelea mkuu
Ni somo kali lenye kuhitaji uwezo mkubwa wa kufikiri na sio sisi wenye kuamini dini za waarabu au wazungu, yahitaji IQ ya uhakika kwa kweli, thread bomba...endelea mkuu