izzo
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 2,812
- 6,381
Wakati mwingine ni aibu sana hata kuangalia ulichokiandika na naimani ww huna tofauti na wale wafuasi wa Mange istagram ambao kazi yao ni kusifia tu bila ya kuhoji wala kuuliza ukweli na uhakika wa taarifa anazowapatia. lakini akili na ufahamu wao huko kwa mtu aliye zaidi ya 13987 km sawa na 8691 miles kutoka pale walipoMan you cant beat the bold! That guy is special. He was born to do do what he does. Baki msomaji kama mimi. Sio lazima wote tuandike. Makala ndeeefuu hadi usingizi. Acha kujaza server kwa nonsensical threads