Kuiper Belt: Behind the certain

Kuiper Belt: Behind the certain

Mkuu huko Zimbabwe hao alien aliewaona ni nani? Itakuwa hao hao wenye hizi propaganda.

NWO imefeli mkuu, sasa hivi ni kumalizia shina na matawi. Mizizi imekufa.

Fatilia tu sasa hivi jinsi binadamu wanavyopindua meza. Zile myths na taboo za hao watu wachache zinavunjwa na kupingwa wazi wazi. US president ashawaambia hao NASA na CIA wamuoneshe hao aliens na wamuoneshe effects za global warming! Wote kimya wamebaki kuduwaa tu maana hawana ushahidi tangible. Ni kikundi cha wachache kilijitengenezea mazingira ya kunyonya na kutawala wengi.
Zimbabwe huko walitua kwenye shule moja ya chekechea na wale watoto walisimulia hii kitu.Nilishawahi kuona documentary ya hili tukio siku za nyuma sana na nitaisaka hii kitu.....

Mkuu kwani unafahamu NWO ni kitu gani?
 
Huu ni utoto dada. Yeye amekwambia he wants to beat smebody?mnapaswa muelimike the man ameelezea vizuri kabisa kama wewe huna upeo wa namna hii unategemea mtu flan akufanyie acha wenzio wanaojisomea. Jf kumeharibika baada ya ninyi watoto kuja humu ndani. Unaabisha sana bidada kuwa na mahaba ya kipuuzi namna hii. Let others do what they do best we endelea kusifia wanaume wa wenzio.

Man you cant beat the bold! That guy is special. He was born to do do what he does. Baki msomaji kama mimi. Sio lazima wote tuandike. Makala ndeeefuu hadi usingizi. Acha kujaza server kwa nonsensical threads
 
Mkuu nadhan hapa umeongelea sayansi tu na nadharia zilizojificha nyuma yake na MUNGU hajaonekana katika hiyo vita ya hao viumbe juu yetu. Swali langu leo ni JE, KUNA USHIRIKI WA MUNGU KATIKA HILI? Maana umeficha origin ya hivyo viumbe so sijui ni wa MUNGU au SHETANI.
 
Man you cant beat the bold! That guy is special. He was born to do do what he does. Baki msomaji kama mimi. Sio lazima wote tuandike. Makala ndeeefuu hadi usingizi. Acha kujaza server kwa nonsensical threads
Inafaa uchunguzwe jinsi ubongo wako unavyo fanya kazi.. huenda unakatatizo
 
Zimbabwe huko walitua kwenye shule moja ya chekechea na wale watoto walisimulia hii kitu.Nilishawahi kuona documentary ya hili tukio siku za nyuma sana na nitaisaka hii kitu.....

Mkuu kwani unafahamu NWO ni kitu gani?

NWO tunaaminishwa tu vitu ili kuwezesha kikundi cha mabepari wachache kuendelea kunyonya rasilimali za dunia bila kuguswa, ni mwavuli wa kujificha. Totalitarian World Government, Globalism au New world Order. dunia itakuwa chini ya utawala mmoja, ni histioia mpya ya utawala wa ulimwengu. Huu ni utabiri wenye walakini maana lengo kuu ni kuweka hofu kwa watu ili waendelee kunyonywa bila kuhoji. Hawa elites wanatumia mbinu na matatizo machache ambayo yako juu kidogo ya uwezo wa binadamu kufikiri.

Ni neno lililotumiwa sana na Woodrew Wilson na Churchil na kupelekea kuanzishwa kwa UN na mifumo ya kifedha ya kidunia, IMF na WB. Utata ni kwamba unavyosema New automaticaly lazima kuwe na OLD, tujiulize system ya sasa itakwenda wapi? na alieiweka na anae iongoza kwa sasa atakuwa wapi by that time of NWO? Kama NWO wana nguvu kuliko power of nature ya sasa hadi walete utawala wao ni kitu gani kinawashinda kukanilisha agenda yao kwa sasa? Mbona wanasubiri series ya matukio ndio wanaanzia kuweka maneno yao?

Hawa wamejipa access kubwa ya kutafuta na kupata information, ndio fimbo wanayotumia kutuchapa na kutupumbaza. Wanatutisha ili tuendelee kuwa chini ya utawala wao, ajabu ni kwamba hao Elites wenyewe kwa hii conspirancy nao hawako salama! Na ndio maana hawaweki wazi mambo mengi maana kuna utata mkubwa. Watu wanapohoji ndio ukweli unakuwa wazi na kuonekana ni uzushi tu. Kiumbe chochote chenye mwili kina mwanzo na mwisho wake. Huo utawala mmoja kwa dunia utawezekana vipi? kwa Imani tofauti, Rangi tofauti, na maeneo na tabia tofauti. na hizi classess ni hao hao walizitengeneza kwa makusudi hayo hayo ya kurahisisha kutawala na kupora. Then Watuunganishe chini ya serikali moja?
 
NWO tunaaminishwa tu vitu ili kuwezesha kikundi cha mabepari wachache kuendelea kunyonya rasilimali za dunia bila kuguswa, ni mwavuli wa kujificha. Totalitarian World Government, Globalism au New world Order. dunia itakuwa chini ya utawala mmoja, ni histioia mpya ya utawala wa ulimwengu. Huu ni utabiri wenye walakini maana lengo kuu ni kuweka hofu kwa watu ili waendelee kunyonywa bila kuhoji. Hawa elites wanatumia mbinu na matatizo machache ambayo yako juu kidogo ya uwezo wa binadamu kufikiri
Mkuu tunatofautiana sana katika kuelewa hili jambo mkuu,nadhani tutakutana kwenye mada husika ili tuweze kujadili hilo....

Shukran sana mkuu....
 
Mkuu nadhan hapa umeongelea sayansi tu na nadharia zilizojificha nyuma yake na MUNGU hajaonekana katika hiyo vita ya hao viumbe juu yetu. Swali langu leo ni JE, KUNA USHIRIKI WA MUNGU KATIKA HILI? Maana umeficha origin ya hivyo viumbe so sijui ni wa MUNGU au SHETANI.
Mkuu

Katika kufuatilia haya mambo nimeamua kuandika tu halafu kila mmoja ataona mwenyewe ni kipi akubaliane nacho...

Msimamo au mtazamo wangu utabaki kuwa wangu na hauwezikuwa wa mtu mwingine maana kila mmoja atapaswa atafakari kwa namna yake kisha aamue...

Tutaendelea kujuzana taratibu kisha mambo yataanza kuwa wazi taratibu tu mkuu....
 
Man you cant beat the bold! That guy is special. He was born to do do what he does. Baki msomaji kama mimi. Sio lazima wote tuandike. Makala ndeeefuu hadi usingizi. Acha kujaza server kwa nonsensical threads


Ndugu usiewe kilaza namna hiyo ktk jukwaa la ma-great thinker,The Bold ana kipawa chake na huyu jamaa pia ana kipawa chake ndo maana hata ukitizama aina ya topic aliyo-post ndugu huyu ni tofauti ki-muktadha ukilinganisha na The Bold.Pia uandishi wa makala haukuanza jana wala leo ni wa kitambo,sasa kama toka enzi hizo watu wangekuwa na attitude/mentality kama yako sijui kama jamii ingesonga mbele......we endelea tu kusoma vya wenzio bila ya ww pia kuchukua jitihada ya kugundua kipawa chako na kushare na wenzio kama ambavyo The Bold na ndugu yetu huyu wanavyolitendea haki jukwaa hili......NI USHAURI MDOGO TU KWAKO.
 
Mkuu tunatofautiana sana katika kuelewa hili jambo mkuu,nadhani tutakutana kwenye mada husika ili tuweze kujadili hilo....

Shukran sana mkuu....
Nadhani sio tofauti ya uelewa was haya maswala. Tatizo ni perception.

Ila hata hao wanaohubiri NWO hawajui their fate. Uhakika walio nao ni kwamba nao watapita tu kama sisi kwenye huu ulimwengu. Baada ya maisha ya hapa hakuna ajuae kinachofata.

Je, kifo ndio mwisho wa historia ya mwanadamu au ndio mwanzo wa historia mpya? Hapo ndio mwisho wa upeo wetu. Mbele ya hapo ni nadharia tu na hekaya zisizo na mashiko .
 
Man you cant beat the bold! That guy is special. He was born to do do what he does. Baki msomaji kama mimi. Sio lazima wote tuandike. Makala ndeeefuu hadi usingizi. Acha kujaza server kwa nonsensical threads
ni nzuri na inatumia akili acha upuuzi na mambo ya kike kukosoa wakati huna cha kufanya hebu andika yako tuone.
acha kukatisha watu tamaa na Uwe unaficha ujinga wako
 
daaah aise mleta mada umeifkirisha sana akili yangu.
ila kama ni kweli hawa viumbe wapo ni bora Lionestic being Aliens.

MKUU USISAHAU KUNITAG KWA POST ZAKO
 
Niliiona halafu ghafla ikapotea nikajiuliza kulikoni?ahsante Eiyer huu Uzi unanirudisha nyuma kdg ila ktk upande ule wa akina Pindar na wenzake,je Pindar na hawa aliens wako pamoja
Kwa wakati wa Digital technology kweli mtu anapoteza muda kwa non sense kama hii ya Alien? Reference zenyewe za movie na Ulimwengu wa kufikirika !!!?
Ni Lini tutakuwa na post za maana za kututoa hapa tulipo na kwenda mbele , Tutatoka vipi kwenye hii mental slavery na kuwa huru kweli kweli , I just think out loud.
 
Nadhani sio tofauti ya uelewa was haya maswala. Tatizo ni perception.

Ila hata hao wanaohubiri NWO hawajui their fate. Uhakika walio nao ni kwamba nao watapita tu kama sisi kwenye huu ulimwengu. Baada ya maisha ya hapa hakuna ajuae kinachofata.

Je, kifo ndio mwisho wa historia ya mwanadamu au ndio mwanzo wa historia mpya? Hapo ndio mwisho wa upeo wetu. Mbele ya hapo ni nadharia tu na hekaya zisizo na mashiko .
Mkuu

Naomba tu uelewe kwamba kimsingi mtu anajenga msimamo kutokana na kiwangocha taarifa alichonacho kuhusiana na suala husika.Kama una taarifa kidogo utakuwa na msimamo tofauti na yule mwenye taarifa za kutosha and vise versa....

Ndiyo maana nakuambia kuwa wakati ukifika na kwenye thread husika tutabadilishanauzoefu mkuu na tutaweza kujifunza zaidi kuhusu haya mambo....

Ahsante sana mkuu....
 
daaah aise mleta mada umeifkirisha sana akili yangu.
ila kama ni kweli hawa viumbe wapo ni bora Lionestic being Aliens.

MKUU USISAHAU KUNITAG KWA POST ZAKO
Nimefurahi kuona kuwa makala hii imekufanya ufikirie sana,tuendelee kutafari mkuu...

Usijali nitakutag kiongozi....
 
Kwa wakati wa Digital technology kweli mtu anapoteza muda kwa non sense kama hii ya Alien? Reference zenyewe za movie na Ulimwengu wa kufikirika !!!?
Ni Lini tutakuwa na post za maana za kututoa hapa tulipo na kwenda mbele , Tutatoka vipi kwenye hii mental slavery na kuwa huru kweli kweli , I just think out loud.
Kiongozi,ni kwanini unadhani hii ni none sense?
 
Mkuu Eiyer kwa mara nyingine nakushukuru kwa maandiko yako yenye upeo mpana na yenye mafundisho tele. Kwa uandishi huu umeweza kutenganisha boys from men. Wale waliokukejeli wanafanana na kuku unapomtupia kipande cha almasi. Ni dhahiri kuwa ataona kuwa ni kama kipande cha kijiwe kitakachomsaidia kumeng'enya nafaka anazokula, asijue kuwa hicho ni kito chenye thamani kubwa.
 
Mkuu Eiyer kwa mara nyingine nakushukuru kwa maandiko yako yenye upeo mpana na yenye mafundisho tele. Kwa uandishi huu umeweza kutenganisha boys from men. Wale waliokukejeli wanafanana na kuku unapomtupia kipande cha almasi. Ni dhahiri kuwa ataona kuwa ni kama kipande cha kijiwe kitakachomsaidia kumeng'enya nafaka anazokula, asijue kuwa hicho ni kito chenye thamani kubwa.
Kiongozi shukran sana kwa kunipa kongole [pongezi] tuendelee kutafakari pamoja....

Hao wengine ni changamoto tu mkuu na wapo ili kutupa nguvu ya kusonga mbele....

Pamoja sana mkuu....
 
Back
Top Bottom