Kuingia kwa Bei Elekezi: Failure ya market economy katika Tanzania?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,333
24,222
Asubuhi hii nasikiliza taarifa ya habari, nasikia Zanzibar nako serikali ya huko imetangaza Bei Elekezi kwa sukari!

Nafika ofisini mapema n inabidi nijiulize kwa makini.
Nini maana ya bei elekezi?
Hii ni bei iliyopangwa na serikali baada ya kuondoa gharama zote za uzalishaji, na kuongeza kafaida kidogo kwa muuzaji.
Kwa mlaji anapata bei yenye unafuu ukilinganisha na mazingira ya upatikanaji wake, kwa sasa tueseme sukari.

Lakini Market Economy inasema pamoja na bei elekezi, sukari ikikosekana kwenye soko, matokeo immediate ni kupanda kwa bei. Hii ina maana hata yule mzalishaji, ambaye uzalishaji wake haukidhi demand ya soko, sukari inanunuliwa hata kabla haijafika sokoni.

Wachumi wanasema scarcity creates higher demand kwa commodity. Demand inaongeza bei ya hiyo bidhaa.
Hizi ndio principles za economics.
Sasa serikali yaweza kufanya nini?
Suala si kweka bei elekezi, huko ni kujidanganya.
Demand iko pale pale.
Tatizo kulitatua ni kufeed on the demand, ongeza uzalishaji au weka njia mbadala kukidhi demand, na kuondoa sscarcity.

Kuna mzee mmoja watu wana msahau, anaitwa Brown Ngwilulupi.
Mzee huyu likuwa General Manager wa Kampuni ya Sigara miaka ya 70.
kulikuwa na carcity kubwa ya sigara kwenye soko, hadi sigara inauzwa kwa puff(mvuto) mmoja mmoja!

Mzee Ngwilulupi kimya kimya alipata malighafi baada ya kushirikiana na serikali(wizara ya Viwanda).
Zikatengenezwa sigara nyingi na tofauti.
Siku tatu kabla ya kuziweka sokoni sigara zote mzee Ngwilulupi alitoa tamko ambalo wengine hawakulielewa vizuri.
Alisema I WILL FLOOD THE MARKET na kuingiza sigara nyingi sokoni, hivyo walanguzi waanchie sigara walizoficha kwenye magodown.
Kweli kama utani, sigara mara zikawa nyingi sana kwenye soko. Na wale(hasa wahindi) walioficha sigara kwa bei ya juu na walikuwa wakizi release kidogo kidogo kwa bei ya juu, wakajikuta wana mali kubwa waliyonunua kwa bei kubwa, ambayo sasa bei ni nusu tu ya waliyonunulia.
FLOODING THE MARKET-The Ngwilulupi Principle!
Serikali imelisahau hili somo?
Tunaye Waziri wa fedha ambaye anajigamba kuwa Dokt wa Uchumi, mbona hatuzioni cheche!

UPDATE
Bei elekezi Zanzibar yashindikana.
20240315_082524.jpg

Market economy na principles zake at work.
 
Mkuu,

Kiujumla dhana ya bei elekezi ni ya kizamani. Naelewa free market inabidi kuwa regulated, lakini si kwa bei elekezi. Sanasana bei elekezi italeta black market tu au kuondoa incentive ya kuzalisha kabisa.

Waziri Bashe si amesema kwenye bunge la bajeti wanaenda kupitisha sheria ya kuondoa protectionism kwenye sukari, kila mtu ataweza ku import sukari na hilo litaleta ushindani sokoni na kusababisha bei kushuka?

Unafikiri hilo litasaidia tatizo?

In the meantime wanasema kuna sukari ya dharula wame import, lakini kitaa ni kama wamekubali tatizo liendelee tu.


View: https://youtu.be/ZJdhcV1b0ek?si=hrMkZhzobFCTDTbb


View: https://youtu.be/WC1k_jJbnBE?si=sURGWWrhbqvNYhMR


View: https://youtu.be/PUpKGfdwmOI?si=uqwYO-lSuUEtBeKe
 
Mkuu,

Kiujumla dhana ya bei elekezi ni ya kizamani. Naelewa free market inabidi kuwa regulated, lakini si kwa bei elekezi. Sanasana bei elekezi italeta black market tu au kuondoa incentive ya kuzalisha kabisa.

Waziri Bashe si amesema kwenye bunge la bajeti wanaenda kupitisha sheria ya kuondoa protectionism kwenye sukari, kila mtu ataweza ku import sukari na hilo litaleta ushindani sokoni na kusababisha bei kushuka?

Unafikiri hilo litasaidia tatizo?

In the meantime wanasema kuna sukari ya dharula wame import, lakini kitaa ni kama wamekubali tatizo liendelee tu.


View: https://youtu.be/ZJdhcV1b0ek?si=hrMkZhzobFCTDTbb


View: https://youtu.be/WC1k_jJbnBE?si=sURGWWrhbqvNYhMR


View: https://youtu.be/PUpKGfdwmOI?si=uqwYO-lSuUEtBeKe

Ni kweli, bei elekezi ndio kuimarisha hoarding na black market.
Kwa wale tuliokuwepo miaka ya 70 na mwanzoni mwa miaka ya 80, lilikuwa tatizo kubwa sana.
 
Ni kweli, bei elekezi ndio kuimarisha hoarding na black market.
Kwa wale tuliokuwepo miaka ya 70 na mwanzoni mwa miaka ya 80, lilikuwa tatizo kubwa sana.
Bashe unamuonaje anavyosema anataka kuondoa protectionism, wame protect viwanda vya ndani kwa miaka 20 inatosha sasa, anataka kufungua soko kuwe na ushindani.

Msikilize kutoka dakika ya 6 video ya kwanza.

Unaona kufungua soko kutasaidia?
 
Bashe unamuonaje anavyosema anataka kuondoa protectionism, wame protect viwanda vya ndani kwa miaka 20 inatosha sasa, anataka kufungua soko kuwe na ushindani.

Msikilize kutoka dakika ya 6 video ya kwanza.

Unaona kufungua soko kutasaidia?
Mkuu hili swala ni balancing act.
Ni muhimu kulinda viwanda vyetu lakini kama ilivyo sasa, viwanda havikidhi demand.
Siyo siri viwanda vyetu vina matatizo mengi ya uzalishaji na urasimu, hawawezi kushindana na viwanda vya nje.

Hivyo huyu Bashe, bado hatakuwa na jibu la uhakika.
 
Mkuu hili swala ni balancing act.
Ni muhimu kulinda viwanda vyetu lakini kama ilivyo sasa, viwanda havikidhi demand.
Siyo siri viwanda vyetu vina matatizo mengi ya uzalishaji na urasimu, hawawezi kushindana na viwanda vya nje.

Hivyo huyu Bashe, bado hatakuwa na jibu la uhakika.

Sasa viwanda vimeachiwa miaka 20, bado vimeshindwa, vinataka nini tena?
 
Mkuu,

Kiujumla dhana ya bei elekezi ni ya kizamani. Naelewa free market inabidi kuwa regulated, lakini si kwa bei elekezi. Sanasana bei elekezi italeta black market tu au kuondoa incentive ya kuzalisha kabisa.

Waziri Bashe si amesema kwenye bunge la bajeti wanaenda kupitisha sheria ya kuondoa protectionism kwenye sukari, kila mtu ataweza ku import sukari na hilo litaleta ushindani sokoni na kusababisha bei kushuka?

Unafikiri hilo litasaidia tatizo?

In the meantime wanasema kuna sukari ya dharula wame import, lakini kitaa ni kama wamekubali tatizo liendelee tu.


View: https://youtu.be/ZJdhcV1b0ek?si=hrMkZhzobFCTDTbb


View: https://youtu.be/WC1k_jJbnBE?si=sURGWWrhbqvNYhMR


View: https://youtu.be/PUpKGfdwmOI?si=uqwYO-lSuUEtBeKe

Huyu msomali anaviwanda vya sukari
 
Asubuhi hii nasikiliza taarifa ya habari, nasikia Zanzibar nako serikali ya huko imetangaza Bei Elekezi kwa sukari!

Nafika ofisini mapema n inabidi nijiulize kwa makini.
Nini maana ya bei elekezi?
Hii ni bei iliyopangwa na serikali baada ya kuondoa gharama zote za uzalishaji, na kuongeza kafaida kidogo kwa muuzaji.
Kwa mlaji anapata bei yenye unafuu ukilinganisha na mazingira ya upatikanaji wake, kwa sasa tueseme sukari.

Lakini Market Economy inasema pamoja na bei elekezi, sukari ikikosekana kwenye soko, matokeo immediate ni kupanda kwa bei. Hii ina maana hata yule mzalishaji, ambaye uzalishaji wake haukidhi demand ya soko, sukari inanunuliwa hata kabla haijafika sokoni.

Wachumi wanasema scarcity creates higher demand kwa commodity. Demand inaongeza bei ya hiyo bidhaa.
Hizi ndio principles za economics.
Sasa serikali yaweza kufanya nini?
Suala si kweka bei elekezi, huko ni kujidanganya.
Demand iko pale pale.
Tatizo kulitatua ni kufeed on the demand, ongeza uzalishaji au weka njia mbadala kukidhi demand, na kuondoa sscarcity.

Kuna mzee mmoja watu wana msahau, anaitwa Brown Ngwilulupi.
Mzee huyu likuwa General Manager wa Kampuni ya Sigara miaka ya 70.
kulikuwa na carcity kubwa ya sigara kwenye soko, hadi sigara inauzwa kwa puff(mvuto) mmoja mmoja!

Mzee Ngwilulupi kimya kimya alipata malighafi baada ya kushirikiana na serikali(wizara ya Viwanda).
Zikatengenezwa sigara nyingi na tofauti.
Siku tatu kabla ya kuziweka sokoni sigara zote mzee Ngwilulupi alitoa tamko ambalo wengine hawakulielewa vizuri.
Alisema I WILL FLOOD THE MARKET na kuingiza sigara nyingi sokoni, hivyo walanguzi waanchie sigara walizoficha kwenye magodown.
Kweli kama utani, sigara mara zikawa nyingi sana kwenye soko. Na wale(hasa wahindi) walioficha sigara kwa bei ya juu na walikuwa wakizi release kidogo kidogo kwa bei ya juu, wakajikuta wana mali kubwa waliyonunua kwa bei kubwa, ambayo sasa bei ni nusu tu ya waliyonunulia.
FLOODING THE MARKET-The Ngwilulupi Principle!
Serikali imelisahau hili somo?
Tunaye Waziri wa fedha ambaye anajigamba kuwa Dokt wa Uchumi, mbona hatuzioni cheche!
Serikali kuingiza ingiza pua ndio kunaharibu soko

Always govt is the problem on anything
 
Huyu msomali anaviwanda vya sukari

Kumuita Msomali ni ad hominem attack. Uraia wa Tanzania hauendi kikabila. Kama Bashe ni raia, ni raia tu, hizo habari za "Msomali" zinakufanya uonekane wewe ni mbaguzi wa kikabila tu, huna point, hata kama una point.

Kama ana viwanda vya sukari, he is even better, kwa sababu anavibana viwanda vya sukari kwa kuleta competition zaidi kwenye sekta, kitu ambacho nisingetegemea mtu mwenye kiwanda cha sukari afanye.

Nakuomba tujadili hoja na tuachane na ujinga wa "huyu Msomali..."..

Ukianza hivyo, hata kama una point muhimu ya conflict of interest, unaonekana kuwa unaendeshwa na chuki binafsi tu, si suala la hoja za kimantiki.
 
Sasa ndiyo wanajitoa, wanaondoa protectionism kwenye vowanda vya ndani, watqbadili sheria bunge la bajeti.

Kila mtu aweze ku import sukari bila ukiritimba wa protectionism.

Hapo vipi?
Upo sahihi...mule mule ndani ya Milton Friedman

Taabu ni pale wanasiasa wapohemka wanakuja na matamko ya hamaki wakidhani ndio solution kumbe kiukweli ni uharibifu mtupu
 
Bashe unamuonaje anavyosema anataka kuondoa protectionism, wame protect viwanda vya ndani kwa miaka 20 inatosha sasa, anataka kufungua soko kuwe na ushindani.

Msikilize kutoka dakika ya 6 video ya kwanza.

Unaona kufungua soko kutasaidia?
Viwanda vyote vya ndani vitafungwa kwa kuzingatia gharama kubwa za uzalishaji - raw materials, utilities, tax, technology, etc.
 
Viwanda vyote vya ndani vitafungwa kwa kuzingatia gharama kubwa za uzalishaji - raw materials, utilities, tax, technology, etc.
Kama hatuna competitive advantage, kwa nini viwanda vya ndani visivyoweza kujiendesha competitively viendelee kuwa protected?

Yani tukipata sukari ya nje ya bei nafuu, kwa nini tununue ya ndani ambayo ni ya bei ya juu sana?

Zaidi, sifikiri vitafungwa, vitalazimishwa kujiendesha kwa faida kwa kuwa more innovative and price competitive.

Sasa hivi, serikali inajitahidi ku vi protect viwanda vya ndani. Kuna sababu nyingi nzuri za kufanya hivi, kiuchumi na as a matter of national security. Matatizo ya supply chain wakati wa Covid yametuonesha kuwa, nchi kutegemea imports tu si kitu kizuri. So there is a case to be made for some degree of measured protectionism.

Tatizo ni kuwa, Bongo, serikali ikifanya protectionism iki viwanda vijue, wenye viwanda na wafanyabiashara wanatumia fursa hiyo kufanya hoarding and price gourging. Wanafica bidhaa iki beinipande halafu wauze kwa bei ya juu, bila kupanga mkakati wa kujuza uzalishaji.Matokeo yaje, baada ya miaka 20 ya protectionism, hakuna lolote la maana tulilo achieve.

Ndiyo maana mimi nina support move ya Bashe kwenda kuondoa protectionism formally kisheria kwenye bunge la bajeti June. Viwanda itabidi vi operate competitively, na habari za kuficha sukari iki bei ipande hazitawezekana, kwa sababu ukificha sukari wenzako wana flood the market with impory at very good prices.
 
Kama hatuna competitive advantage, kwa nini viwanda vya ndani visivyoweza kujiendesha competitively viendelee kuwa protected?

Yani tukipata sukari ya nje ya bei nafuu, kwa nini tununue ya ndani ambayo ni ya bei ya juu sana?

Zaidi, sifikiri vitafungwa, vitalazimishwa kujiendesha kwa faida kwa kuwa more innovative and price competitive.

Sasa hivi, serikali inajitahidi ku vi protect viwanda vya ndani. Kuna sababu nyingi nzuri za kufanya hivi, kiuchumi na as a matter of national security. Matatizo ya supply chain wakati wa Covid yametuonesha kuwa, nchi kutegemea imports tu si kitu kizuri. So there is a case to be made for some degree of measured protectionism.

Tatizo ni kuwa, Bongo, serikali ikifanya protectionism iki viwanda vijue, wenye viwanda na wafanyabiashara wanatumia fursa hiyo kufanya hoarding and price gourging. Wanafica bidhaa iki beinipande halafu wauze kwa bei ya juu, bila kupanga mkakati wa kujuza uzalishaji.Matokeo yaje, baada ya miaka 20 ya protectionism, hakuna lolote la maana tulilo achieve.

Ndiyo maana mimi nina support move ya Bashe kwenda kuondoa protectionism formally kisheria kwenye bunge la bajeti June. Viwanda itabidi vi operate competitively, na habari za kuficha sukari iki bei ipande hazitawezekana, kwa sababu ukificha sukari wenzako wana flood the market with impory at very good prices.
Kuna baadhi ya factors are within their (viwanda) reach but others are completely beyond their control. Kwa mfano, gharama kubwa za umeme, maji, usafirishaji, mafuta, etc; vibali mbalimbali, kodi (hadi kwenye vipuri), n.k. sioni wakishindana na viwanda ambavyo vinatumia AI; viwanda ambavyo nchi zao nishati ni by far several times less than gharama za Tanzania. Tanzania hii ambayo mtaji unatozwa kodi how could you be competitive against nchi ambazo tax holiday ni kubwa?
 
Back
Top Bottom