Niliwaambia humu kupitia makala/yangu kwamba sukari haishukagi bei tangu Julai 2001 (miaka 23) hata ikiagizwa kwa wingi kiasi gani, bei elekezi ni porojo za kisiasa.Serikali ilitangaza bei elekezi ya sukari kwa nchi nzima lakini mpaka sasa bei hiyo haifuatwi na bei ya sukari imebaki vile vile kabla ya matangazo ya bei elekezi. Kwa nini?
kwa sababu waki enforce ishuke, hutaiona tenaKwa nini?
Kwa kuwa hii biashara inaratibiwa na chikundi cha watu yenye nasaba, badala ya Biashara kuwa ya ushindani, hivyo hivyo chikundi ndio kinacho panga bei na sio nguvu ya solo.Chiongozi wetu wa juu wanasema wanafanya sindiketi.Serikali ilitangaza bei elekezi ya sukari kwa nchi nzima lakini mpaka sasa bei hiyo haifuatwi na bei ya sukari imebaki vile vile kabla ya matangazo ya bei elekezi.
Kwa nini?
Serikali dhaifuSerikali ilitangaza bei elekezi ya sukari kwa nchi nzima lakini mpaka sasa bei hiyo haifuatwi na bei ya sukari imebaki vile vile kabla ya matangazo ya bei elekezi.
Kwa nini?
Wafanya biashara wana nguvu kuliko serikaliSerikali ilitangaza bei elekezi ya sukari kwa nchi nzima lakini mpaka sasa bei hiyo haifuatwi na bei ya sukari imebaki vile vile kabla ya matangazo ya bei elekezi.
Kwa nini?