iNine9
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 4,231
- 7,815
Sio anashika record ya dunia..?! Make sijawahi skia hii record hata huko ulaya..Ni mgonjwa ghali zaidi kutokea katika bara la Afrika.
Ndugai ni evil man..
Sio anashika record ya dunia..?! Make sijawahi skia hii record hata huko ulaya..Ni mgonjwa ghali zaidi kutokea katika bara la Afrika.
Mkuu mbona kabla ya mwenda zake kwenda hukuwa unayazungumza haya?Iliwahi kutokea kwa CUF pia lakini hii ya Chadema ni tofauti.
Akina Halima James Mdee na wenzake hawana uhalali wa kuwa bungeni tokea day one.
Mtu katoka jela usiku asubuhi anakuwa mbunge hicho ni kituko cha karne na aibu kubwa kwa mbunge mwenyewe ( kama ni mtu) na waliomuingiza!
Hizo hela kwa namna yoyote ile inatakiwa watu 19 wa jinsi ya kike wazipata, vinginevyo zitakaa pasipo stahili! waache hao wa-mama/dada wazifanyie matumizi kwa kadri watakavyoona inafaa!!Mwanzo mwanzoni niweke wazi, kama ilivyo kawaida yangu, kuwa mimi si mwanachama wala mshabiki wa chama chochote cha kisiasa hapa nchini au nje ya nchi hii. Nikiongozwa na uzalendo na utanzania wangu, huwa naunga mkono hoja zozote za kuujenga utaifa wetu na kuleta maendeleo ya Tanzania yetu. Natazama hasa mantiki na uzito wa hoja bila ya kujali ameisema nani na ni wa chama gani.
Pili, naomba kumpa pole Ndugu Jesca Kishoa kwa 'kulazimika' kufuta kauli yake kuwa 'alishaondolewa CHADEMA' ili kulinda Ubunge wake pale alipobanwa na kutakiwa kufanya hivyo na Naibu Spika Daktari Tulia Ackson Mwansasu. Kishoa ni kama aliteleza katika kusema hivyo na akaifuta kauli yake 'kinyonge na kwa huruma' sana. Kuna wakati siasa huutweza hata utu angalau tu mambo yaende.
Hoja yangu hapa ni kuanika baadhi ya 'facts' ambazo zitaonyesha kuwa sakata la Wabunge 19 wa Viti Maalum wakiongozwa na Halima Mdee liko wazi ila wahusika wanajifanya kutoona na hivyo kulinyamazia. Fuatana nami hapa ujionee yaliyo ya wazi;
Mosi, akina Halima Mdee walishtakiwa na KUFUKUZWA UANACHAMA na kilichokuwa chama chao cha CHADEMA. Mchakato wa hilo na UAMUZI huo ulitangazwa kwenye vyombo vya habari na Katibu Mkuu wa CHADEMA John John Mnyika na hata Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Aikaeli Mbowe. Sitaki hapa nizungumzie utaratibu uliofuatwa kufikia UAMUZI huoa kwakuwa sisi wafuatiliaji hatuna ushahidi juu ya hilo la utaratibu.
Pili, akina Halima Mdee walitangaza kukata rufaa ndani ya CHADEMA kupinga UAMUZI huo. Hadi hapa iko wazi kuwa kuna UAMUZI uliotolewa na CHADEMA wa KUWAFUKUZA UANACHAMA akina Halima Mdee na huo UAMUZI ndiyo uliokatiwa rufaa na wahusika hao. Ifahamike pia kuwa UAMUZI huo unawafanya akina Mdee KUTOKUWA WANACHAMA wa CHADEMA hadi pale utakapobadilishwa na mamlaka ya rufaa ndani ya CHADEMA.
Tatu, katika uga wa kisheria, KUKATA RUFAA hakufuti UAMUZI uliofikiwa hadi pale rufaa itakaposikilizwa na kutolewa uamuzi mwingine. Ndiyo kusema, kuanzia siku ya KUWAFUKUZA UANACHAMA akina Halima Mdee, UAMUZI ule umebaki hata sasa. Ni kwamba, wote WALIOFUKUZWA UANACHAMA, si wanachama wa CHADEMA. Wanachopambania kwenye rufaa zao ni KUREJESHEWA UANACHAMA WAO ndani ya CHADEMA. Kama wao kwasasa ni wanachama wa CHADEMA, wamekata rufaa ili kupata uamuzi upi tena?
Nne, nakubaliana na Naibu Spika Daktari Tulia (alipokuwa akimueleza Jesca Kishoa Bungeni) kuwa kwa mujibu wa Katiba kila Mbunge lazima atokane na chama cha siasa. Tena, kupoteza UANACHAMA wa chama cha siasa ni kupoteza nafasi yoyote ya kisiasa ya kuchaguliwa kama Ubunge na Urais. Natofautiana na kaka na mtani wangu Pascal Mayalla aliyeandika humu JF kuwa Mbunge ANAPOTEULIWA hawezi kuondolewa na chama chake. Chama cha siasa kinaweza kumfukuza mwanachama wake na uongozi unakomea hapo.
Tano, akina Halima Mdee, kuanzia siku ya UAMUZI wa CHADEMA wa KUWAFUKUZA UANACHAMA, hawakupaswa kuendelea kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sababu iko wazi: SI WANACHAMA wa chama chochote cha siasa hapa Tanzania kuwawezesha kuwa Wabunge wa Viti Maalum. Sikugusia mchakato wa kupatikana kwao kwakuwa sina ushahidi nao. Nazungumzia kilichotokea baada ya wao kutangazwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum.
Wahusika wanaujua ukweli huu lakini wamekuwa kimya. Fedha za umma zinaendelea kuwalipa wasio Wabunge. Kulingana na Naibu Spika, Ofisi ya Spika haina TAARIFA YA KUFUKUZWA UANACHAMA WA CHADEMA kwa akina Halima Mdee. Hili lina ukweli gani? Linabadilije UAMUZI wa CHADEMA? Tuwe wakweli katika hili na kutenda yatupasayo kutenda kwa mujibu wa Katiba na sheria za nchi yetu.
Kwani hii mada ni ya lini?!Mkuu mbona kabla ya mwenda zake kwenda hukuwa unayazungumza haya?
Asante sana Wakili Msomi Petro.Mwanzo mwanzoni niweke wazi, kama ilivyo kawaida yangu, kuwa mimi si mwanachama wala mshabiki wa chama chochote cha kisiasa hapa nchini au nje ya nchi hii. Nikiongozwa na uzalendo na utanzania wangu, huwa naunga mkono hoja zozote za kuujenga utaifa wetu na kuleta maendeleo ya Tanzania yetu. Natazama hasa mantiki na uzito wa hoja bila ya kujali ameisema nani na ni wa chama gani.
Pili, naomba kumpa pole Ndugu Jesca Kishoa kwa 'kulazimika' kufuta kauli yake kuwa 'alishaondolewa CHADEMA' ili kulinda Ubunge wake pale alipobanwa na kutakiwa kufanya hivyo na Naibu Spika Daktari Tulia Ackson Mwansasu. Kishoa ni kama aliteleza katika kusema hivyo na akaifuta kauli yake 'kinyonge na kwa huruma' sana. Kuna wakati siasa huutweza hata utu angalau tu mambo yaende.
Hoja yangu hapa ni kuanika baadhi ya 'facts' ambazo zitaonyesha kuwa sakata la Wabunge 19 wa Viti Maalum wakiongozwa na Halima Mdee liko wazi ila wahusika wanajifanya kutoona na hivyo kulinyamazia. Fuatana nami hapa ujionee yaliyo ya wazi;
Mosi, akina Halima Mdee walishtakiwa na KUFUKUZWA UANACHAMA na kilichokuwa chama chao cha CHADEMA. Mchakato wa hilo na UAMUZI huo ulitangazwa kwenye vyombo vya habari na Katibu Mkuu wa CHADEMA John John Mnyika na hata Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Aikaeli Mbowe. Sitaki hapa nizungumzie utaratibu uliofuatwa kufikia UAMUZI huoa kwakuwa sisi wafuatiliaji hatuna ushahidi juu ya hilo la utaratibu.
Pili, akina Halima Mdee walitangaza kukata rufaa ndani ya CHADEMA kupinga UAMUZI huo. Hadi hapa iko wazi kuwa kuna UAMUZI uliotolewa na CHADEMA wa KUWAFUKUZA UANACHAMA akina Halima Mdee na huo UAMUZI ndiyo uliokatiwa rufaa na wahusika hao. Ifahamike pia kuwa UAMUZI huo unawafanya akina Mdee KUTOKUWA WANACHAMA wa CHADEMA hadi pale utakapobadilishwa na mamlaka ya rufaa ndani ya CHADEMA.
Tatu, katika uga wa kisheria, KUKATA RUFAA hakufuti UAMUZI uliofikiwa hadi pale rufaa itakaposikilizwa na kutolewa uamuzi mwingine. Ndiyo kusema, kuanzia siku ya KUWAFUKUZA UANACHAMA akina Halima Mdee, UAMUZI ule umebaki hata sasa. Ni kwamba, wote WALIOFUKUZWA UANACHAMA, si wanachama wa CHADEMA. Wanachopambania kwenye rufaa zao ni KUREJESHEWA UANACHAMA WAO ndani ya CHADEMA. Kama wao kwasasa ni wanachama wa CHADEMA, wamekata rufaa ili kupata uamuzi upi tena?
Nne, nakubaliana na Naibu Spika Daktari Tulia (alipokuwa akimueleza Jesca Kishoa Bungeni) kuwa kwa mujibu wa Katiba kila Mbunge lazima atokane na chama cha siasa. Tena, kupoteza UANACHAMA wa chama cha siasa ni kupoteza nafasi yoyote ya kisiasa ya kuchaguliwa kama Ubunge na Urais. Natofautiana na kaka na mtani wangu Pascal Mayalla aliyeandika humu JF kuwa Mbunge ANAPOTEULIWA hawezi kuondolewa na chama chake. Chama cha siasa kinaweza kumfukuza mwanachama wake na uongozi unakomea hapo.
Tano, akina Halima Mdee, kuanzia siku ya UAMUZI wa CHADEMA wa KUWAFUKUZA UANACHAMA, hawakupaswa kuendelea kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sababu iko wazi: SI WANACHAMA wa chama chochote cha siasa hapa Tanzania kuwawezesha kuwa Wabunge wa Viti Maalum. Sikugusia mchakato wa kupatikana kwao kwakuwa sina ushahidi nao. Nazungumzia kilichotokea baada ya wao kutangazwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum.
Wahusika wanaujua ukweli huu lakini wamekuwa kimya. Fedha za umma zinaendelea kuwalipa wasio Wabunge. Kulingana na Naibu Spika, Ofisi ya Spika haina TAARIFA YA KUFUKUZWA UANACHAMA WA CHADEMA kwa akina Halima Mdee. Hili lina ukweli gani? Linabadilije UAMUZI wa CHADEMA? Tuwe wakweli katika hili na kutenda yatupasayo kutenda kwa mujibu wa Katiba na sheria za nchi yetu.
Mkuu CCM nimakafiri na kutenda dhambi ni jadi yaoMwanzo mwanzoni niweke wazi, kama ilivyo kawaida yangu, kuwa mimi si mwanachama wala mshabiki wa chama chochote cha kisiasa hapa nchini au nje ya nchi hii. Nikiongozwa na uzalendo na utanzania wangu, huwa naunga mkono hoja zozote za kuujenga utaifa wetu na kuleta maendeleo ya Tanzania yetu. Natazama hasa mantiki na uzito wa hoja bila ya kujali ameisema nani na ni wa chama gani.
Pili, naomba kumpa pole Ndugu Jesca Kishoa kwa 'kulazimika' kufuta kauli yake kuwa 'alishaondolewa CHADEMA' ili kulinda Ubunge wake pale alipobanwa na kutakiwa kufanya hivyo na Naibu Spika Daktari Tulia Ackson Mwansasu. Kishoa ni kama aliteleza katika kusema hivyo na akaifuta kauli yake 'kinyonge na kwa huruma' sana. Kuna wakati siasa huutweza hata utu angalau tu mambo yaende.
Hoja yangu hapa ni kuanika baadhi ya 'facts' ambazo zitaonyesha kuwa sakata la Wabunge 19 wa Viti Maalum wakiongozwa na Halima Mdee liko wazi ila wahusika wanajifanya kutoona na hivyo kulinyamazia. Fuatana nami hapa ujionee yaliyo ya wazi;
Mosi, akina Halima Mdee walishtakiwa na KUFUKUZWA UANACHAMA na kilichokuwa chama chao cha CHADEMA. Mchakato wa hilo na UAMUZI huo ulitangazwa kwenye vyombo vya habari na Katibu Mkuu wa CHADEMA John John Mnyika na hata Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Aikaeli Mbowe. Sitaki hapa nizungumzie utaratibu uliofuatwa kufikia UAMUZI huoa kwakuwa sisi wafuatiliaji hatuna ushahidi juu ya hilo la utaratibu.
Pili, akina Halima Mdee walitangaza kukata rufaa ndani ya CHADEMA kupinga UAMUZI huo. Hadi hapa iko wazi kuwa kuna UAMUZI uliotolewa na CHADEMA wa KUWAFUKUZA UANACHAMA akina Halima Mdee na huo UAMUZI ndiyo uliokatiwa rufaa na wahusika hao. Ifahamike pia kuwa UAMUZI huo unawafanya akina Mdee KUTOKUWA WANACHAMA wa CHADEMA hadi pale utakapobadilishwa na mamlaka ya rufaa ndani ya CHADEMA.
Tatu, katika uga wa kisheria, KUKATA RUFAA hakufuti UAMUZI uliofikiwa hadi pale rufaa itakaposikilizwa na kutolewa uamuzi mwingine. Ndiyo kusema, kuanzia siku ya KUWAFUKUZA UANACHAMA akina Halima Mdee, UAMUZI ule umebaki hata sasa. Ni kwamba, wote WALIOFUKUZWA UANACHAMA, si wanachama wa CHADEMA. Wanachopambania kwenye rufaa zao ni KUREJESHEWA UANACHAMA WAO ndani ya CHADEMA. Kama wao kwasasa ni wanachama wa CHADEMA, wamekata rufaa ili kupata uamuzi upi tena?
Nne, nakubaliana na Naibu Spika Daktari Tulia (alipokuwa akimueleza Jesca Kishoa Bungeni) kuwa kwa mujibu wa Katiba kila Mbunge lazima atokane na chama cha siasa. Tena, kupoteza UANACHAMA wa chama cha siasa ni kupoteza nafasi yoyote ya kisiasa ya kuchaguliwa kama Ubunge na Urais. Natofautiana na kaka na mtani wangu Pascal Mayalla aliyeandika humu JF kuwa Mbunge ANAPOTEULIWA hawezi kuondolewa na chama chake. Chama cha siasa kinaweza kumfukuza mwanachama wake na uongozi unakomea hapo.
Tano, akina Halima Mdee, kuanzia siku ya UAMUZI wa CHADEMA wa KUWAFUKUZA UANACHAMA, hawakupaswa kuendelea kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sababu iko wazi: SI WANACHAMA wa chama chochote cha siasa hapa Tanzania kuwawezesha kuwa Wabunge wa Viti Maalum. Sikugusia mchakato wa kupatikana kwao kwakuwa sina ushahidi nao. Nazungumzia kilichotokea baada ya wao kutangazwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum.
Wahusika wanaujua ukweli huu lakini wamekuwa kimya. Fedha za umma zinaendelea kuwalipa wasio Wabunge. Kulingana na Naibu Spika, Ofisi ya Spika haina TAARIFA YA KUFUKUZWA UANACHAMA WA CHADEMA kwa akina Halima Mdee. Hili lina ukweli gani? Linabadilije UAMUZI wa CHADEMA? Tuwe wakweli katika hili na kutenda yatupasayo kutenda kwa mujibu wa Katiba na sheria za nchi yetu.
Karibu MkuuAsante sana Wakili Msomi Petro.
Mwanzo mwanzoni niweke wazi, kama ilivyo kawaida yangu, kuwa mimi si mwanachama wala mshabiki wa chama chochote cha kisiasa hapa nchini au nje ya nchi hii. Nikiongozwa na uzalendo na utanzania wangu, huwa naunga mkono hoja zozote za kuujenga utaifa wetu na kuleta maendeleo ya Tanzania yetu. Natazama hasa mantiki na uzito wa hoja bila ya kujali ameisema nani na ni wa chama gani.
Pili, naomba kumpa pole Ndugu Jesca Kishoa kwa 'kulazimika' kufuta kauli yake kuwa 'alishaondolewa CHADEMA' ili kulinda Ubunge wake pale alipobanwa na kutakiwa kufanya hivyo na Naibu Spika Daktari Tulia Ackson Mwansasu. Kishoa ni kama aliteleza katika kusema hivyo na akaifuta kauli yake 'kinyonge na kwa huruma' sana. Kuna wakati siasa huutweza hata utu angalau tu mambo yaende.
Hoja yangu hapa ni kuanika baadhi ya 'facts' ambazo zitaonyesha kuwa sakata la Wabunge 19 wa Viti Maalum wakiongozwa na Halima Mdee liko wazi ila wahusika wanajifanya kutoona na hivyo kulinyamazia. Fuatana nami hapa ujionee yaliyo ya wazi;
Mosi, akina Halima Mdee walishtakiwa na KUFUKUZWA UANACHAMA na kilichokuwa chama chao cha CHADEMA. Mchakato wa hilo na UAMUZI huo ulitangazwa kwenye vyombo vya habari na Katibu Mkuu wa CHADEMA John John Mnyika na hata Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Aikaeli Mbowe. Sitaki hapa nizungumzie utaratibu uliofuatwa kufikia UAMUZI huoa kwakuwa sisi wafuatiliaji hatuna ushahidi juu ya hilo la utaratibu.
Pili, akina Halima Mdee walitangaza kukata rufaa ndani ya CHADEMA kupinga UAMUZI huo. Hadi hapa iko wazi kuwa kuna UAMUZI uliotolewa na CHADEMA wa KUWAFUKUZA UANACHAMA akina Halima Mdee na huo UAMUZI ndiyo uliokatiwa rufaa na wahusika hao. Ifahamike pia kuwa UAMUZI huo unawafanya akina Mdee KUTOKUWA WANACHAMA wa CHADEMA hadi pale utakapobadilishwa na mamlaka ya rufaa ndani ya CHADEMA.
Tatu, katika uga wa kisheria, KUKATA RUFAA hakufuti UAMUZI uliofikiwa hadi pale rufaa itakaposikilizwa na kutolewa uamuzi mwingine. Ndiyo kusema, kuanzia siku ya KUWAFUKUZA UANACHAMA akina Halima Mdee, UAMUZI ule umebaki hata sasa. Ni kwamba, wote WALIOFUKUZWA UANACHAMA, si wanachama wa CHADEMA. Wanachopambania kwenye rufaa zao ni KUREJESHEWA UANACHAMA WAO ndani ya CHADEMA. Kama wao kwasasa ni wanachama wa CHADEMA, wamekata rufaa ili kupata uamuzi upi tena?
Nne, nakubaliana na Naibu Spika Daktari Tulia (alipokuwa akimueleza Jesca Kishoa Bungeni) kuwa kwa mujibu wa Katiba kila Mbunge lazima atokane na chama cha siasa. Tena, kupoteza UANACHAMA wa chama cha siasa ni kupoteza nafasi yoyote ya kisiasa ya kuchaguliwa kama Ubunge na Urais. Natofautiana na kaka na mtani wangu Pascal Mayalla aliyeandika humu JF kuwa Mbunge ANAPOTEULIWA hawezi kuondolewa na chama chake. Chama cha siasa kinaweza kumfukuza mwanachama wake na uongozi unakomea hapo.
Tano, akina Halima Mdee, kuanzia siku ya UAMUZI wa CHADEMA wa KUWAFUKUZA UANACHAMA, hawakupaswa kuendelea kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sababu iko wazi: SI WANACHAMA wa chama chochote cha siasa hapa Tanzania kuwawezesha kuwa Wabunge wa Viti Maalum. Sikugusia mchakato wa kupatikana kwao kwakuwa sina ushahidi nao. Nazungumzia kilichotokea baada ya wao kutangazwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum.
Wahusika wanaujua ukweli huu lakini wamekuwa kimya. Fedha za umma zinaendelea kuwalipa wasio Wabunge. Kulingana na Naibu Spika, Ofisi ya Spika haina TAARIFA YA KUFUKUZWA UANACHAMA WA CHADEMA kwa akina Halima Mdee. Hili lina ukweli gani? Linabadilije UAMUZI wa CHADEMA? Tuwe wakweli katika hili na kutenda yatupasayo kutenda kwa mujibu wa Katiba na sheria za nchi yetu.
😂😂😂😂Iliwahi kutokea kwa CUF pia lakini hii ya Chadema ni tofauti.
Akina Halima James Mdee na wenzake hawana uhalali wa kuwa bungeni tokea day one.
Mtu katoka jela usiku asubuhi anakuwa mbunge hicho ni kituko cha karne na aibu kubwa kwa mbunge mwenyewe ( kama ni mtu) na waliomuingiza!
Leo ndiyo umekubali uzwazwa wa CCM eeh..?Naibu Spika Dr Tulia ndio alitoa siri kwamba mchezo wote ulichezwa bungeni.
Mzee Mgaya alidhani Tume ya uchaguzi ndio walichakachua majina.
Kazi Iendelee!
hitimisho lako linaukakasi.umeanza vzr lkn umemaliza vibaya.kwa nn huwashauri CDM wamwandike barua spika kuwa wabunge hao wamevuliwa uanachama.je spika anafanya kazi kwa kufuata vyombo vya habari au documents?acheni ushabiki humu kila mtu ana utashi wa kujua nn kinachoendelea.CDM wanajua kila kitu kuhusu sakata hili na wameamua kukaa kinywa.mwambieni Mbowe amwandikie barua spika tuone kama hajareact na kama unaamini kuwa kuna barua ameandikiwa spika hebu iwazi hapa janvini.Mwanzo mwanzoni niweke wazi, kama ilivyo kawaida yangu, kuwa mimi si mwanachama wala mshabiki wa chama chochote cha kisiasa hapa nchini au nje ya nchi hii. Nikiongozwa na uzalendo na utanzania wangu, huwa naunga mkono hoja zozote za kuujenga utaifa wetu na kuleta maendeleo ya Tanzania yetu. Natazama hasa mantiki na uzito wa hoja bila ya kujali ameisema nani na ni wa chama gani.
Pili, naomba kumpa pole Ndugu Jesca Kishoa kwa 'kulazimika' kufuta kauli yake kuwa 'alishaondolewa CHADEMA' ili kulinda Ubunge wake pale alipobanwa na kutakiwa kufanya hivyo na Naibu Spika Daktari Tulia Ackson Mwansasu. Kishoa ni kama aliteleza katika kusema hivyo na akaifuta kauli yake 'kinyonge na kwa huruma' sana. Kuna wakati siasa huutweza hata utu angalau tu mambo yaende.
Hoja yangu hapa ni kuanika baadhi ya 'facts' ambazo zitaonyesha kuwa sakata la Wabunge 19 wa Viti Maalum wakiongozwa na Halima Mdee liko wazi ila wahusika wanajifanya kutoona na hivyo kulinyamazia. Fuatana nami hapa ujionee yaliyo ya wazi;
Mosi, akina Halima Mdee walishtakiwa na KUFUKUZWA UANACHAMA na kilichokuwa chama chao cha CHADEMA. Mchakato wa hilo na UAMUZI huo ulitangazwa kwenye vyombo vya habari na Katibu Mkuu wa CHADEMA John John Mnyika na hata Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Aikaeli Mbowe. Sitaki hapa nizungumzie utaratibu uliofuatwa kufikia UAMUZI huoa kwakuwa sisi wafuatiliaji hatuna ushahidi juu ya hilo la utaratibu.
Pili, akina Halima Mdee walitangaza kukata rufaa ndani ya CHADEMA kupinga UAMUZI huo. Hadi hapa iko wazi kuwa kuna UAMUZI uliotolewa na CHADEMA wa KUWAFUKUZA UANACHAMA akina Halima Mdee na huo UAMUZI ndiyo uliokatiwa rufaa na wahusika hao. Ifahamike pia kuwa UAMUZI huo unawafanya akina Mdee KUTOKUWA WANACHAMA wa CHADEMA hadi pale utakapobadilishwa na mamlaka ya rufaa ndani ya CHADEMA.
Tatu, katika uga wa kisheria, KUKATA RUFAA hakufuti UAMUZI uliofikiwa hadi pale rufaa itakaposikilizwa na kutolewa uamuzi mwingine. Ndiyo kusema, kuanzia siku ya KUWAFUKUZA UANACHAMA akina Halima Mdee, UAMUZI ule umebaki hata sasa. Ni kwamba, wote WALIOFUKUZWA UANACHAMA, si wanachama wa CHADEMA. Wanachopambania kwenye rufaa zao ni KUREJESHEWA UANACHAMA WAO ndani ya CHADEMA. Kama wao kwasasa ni wanachama wa CHADEMA, wamekata rufaa ili kupata uamuzi upi tena?
Nne, nakubaliana na Naibu Spika Daktari Tulia (alipokuwa akimueleza Jesca Kishoa Bungeni) kuwa kwa mujibu wa Katiba kila Mbunge lazima atokane na chama cha siasa. Tena, kupoteza UANACHAMA wa chama cha siasa ni kupoteza nafasi yoyote ya kisiasa ya kuchaguliwa kama Ubunge na Urais. Natofautiana na kaka na mtani wangu Pascal Mayalla aliyeandika humu JF kuwa Mbunge ANAPOTEULIWA hawezi kuondolewa na chama chake. Chama cha siasa kinaweza kumfukuza mwanachama wake na uongozi unakomea hapo.
Tano, akina Halima Mdee, kuanzia siku ya UAMUZI wa CHADEMA wa KUWAFUKUZA UANACHAMA, hawakupaswa kuendelea kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sababu iko wazi: SI WANACHAMA wa chama chochote cha siasa hapa Tanzania kuwawezesha kuwa Wabunge wa Viti Maalum. Sikugusia mchakato wa kupatikana kwao kwakuwa sina ushahidi nao. Nazungumzia kilichotokea baada ya wao kutangazwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum.
Wahusika wanaujua ukweli huu lakini wamekuwa kimya. Fedha za umma zinaendelea kuwalipa wasio Wabunge. Kulingana na Naibu Spika, Ofisi ya Spika haina TAARIFA YA KUFUKUZWA UANACHAMA WA CHADEMA kwa akina Halima Mdee. Hili lina ukweli gani? Linabadilije UAMUZI wa CHADEMA? Tuwe wakweli katika hili na kutenda yatupasayo kutenda kwa mujibu wa Katiba na sheria za nchi yetu.
Mkuu, unaposoma mada za watu wenye upeo na wasomi usiwe unakurupuka. Hebu nisome tena kwa utulivu. Kwenye hilo unalolisema nimeuliza maswali na si kwamba nimehitimisha kwa hivi au vile. Kunywa maji halafu nisome tena...usiniweke kwenye kundi la mashabiki wa vyama...H
hitimisho lako linaukakasi.umeanza vzr lkn umemaliza vibaya.kwa nn huwashauri CDM wamwandike barua spika kuwa wabunge hao wamevuliwa uanachama.je spika anafanya kazi kwa kufuata vyombo vya habari au documents?acheni ushabiki humu kila mtu ana utashi wa kujua nn kinachoendelea.CDM wanajua kila kitu kuhusu sakata hili na wameamua kukaa kinywa.mwambieni Mbowe amwandikie barua spika tuone kama hajareact na kama unaamini kuwa kuna barua ameandikiwa spika hebu iwazi hapa janvini.
Mkuu barua imeandikwa na Mnyika alishaitisha press kuelezea hilo na imepelekwa mara mbili.....H
hitimisho lako linaukakasi.umeanza vzr lkn umemaliza vibaya.kwa nn huwashauri CDM wamwandike barua spika kuwa wabunge hao wamevuliwa uanachama.je spika anafanya kazi kwa kufuata vyombo vya habari au documents?acheni ushabiki humu kila mtu ana utashi wa kujua nn kinachoendelea.CDM wanajua kila kitu kuhusu sakata hili na wameamua kukaa kinywa.mwambieni Mbowe amwandikie barua spika tuone kama hajareact na kama unaamini kuwa kuna barua ameandikiwa spika hebu iwazi hapa janvini.
kuwa mimi si mwanachama wala mshabiki wa chama chochote cha kisiasa hapa nchini au nje ya nchi hii.
Mkuu Wakili Msomi Petro E. Mselewa , hapo ambapo hautaki kupazungumzia, ndipo mimi ninapoanzia. Vyama vya siasa Tanzania, sio mali ya viongozi, sio mali ya wanachama, ni public parties, ni mali ya umma, vinaendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, haiwezekani, viongozi waitane na kukaa kama a kangaroo court na kujiamulia kuwatimua tuu wanachama wake kama wanavyojisikia!. No Way. Lazima wafuate katiba, sheria, taratibu na kanuni. Katiba ya Chadema iko wazi, ni an open document ambayo iko kwa mujibu wa sheria na taratibu za nidhamu ziko wazi kabisa, lakini siku zote, Chadema inawatimua wanachama wake kienyeji enyeji tuu, bila kufuata taratibu. Hivyo huko kufukuzwa kwa wanachama hao ni batili!. Hii sio mara ya kwanza kwa Chadema kufanya madudu haya, wewe ni wakili msomi unajua maana ya ubatili, Halima Mdee ni mwanasheria msomi anazijua haki zake.Mosi, akina Halima Mdee walishtakiwa na KUFUKUZWA UANACHAMA na kilichokuwa chama chao cha CHADEMA. Mchakato wa hilo na UAMUZI huo ulitangazwa kwenye vyombo vya habari na Katibu Mkuu wa CHADEMA John John Mnyika na hata Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Aikaeli Mbowe. Sitaki hapa nizungumzie utaratibu uliofuatwa kufikia UAMUZI huoa kwakuwa sisi wafuatiliaji hatuna ushahidi juu ya hilo la utaratibu. Tena, kupoteza UANACHAMA wa chama cha siasa ni kupoteza nafasi yoyote ya kisiasa ya kuchaguliwa kama Ubunge na Urais. Natofautiana na kaka na mtani wangu @Pascal Mayalla aliyeandika humu JF kuwa Mbunge ANAPOTEULIWA hawezi kuondolewa na chama chake.
NdiyoUchaguzi 2020 - Nasimama na Dkt. John Pombe Magufuli, Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM
Nilitabiri humu na ikawa kweli kuwa Wagombea wakuu wa uchaguzi mkuu wa Rais mwaka huu ni Wakili Msomi mwenzangu Tundu Lissu (Upinzani/CHADEMA) na Dr. John Pombe Magufuli (CCM). Ni katika andiko langu hili: Uchaguzi 2020 - Utabiri wangu 2020: Ni Dr. John Pombe Magufuli (CCM) na Wakili Msomi Tundu...www.jamiiforums.com
Hivi hata hapo haukuwa na chama?