Kuhusu MwanaJF mwenzetu Tutor B

Status
Not open for further replies.
Kama yeye amefanya utani, basi atakuwa mpuuzi wa kutoka nje ya nchi😡😡😡
 
Duuhhh mambo km hizi ziwe zinatukumbusha 'Muda'.


Pole mkuu uko uliko.... Ila nadhan anataka kujua km kuna mtu anamkonsida kua wa muhimu !!
 
Kama yeye amefanya utani, basi atakuwa mpuuzi wa kutoka nje ya nchi😡😡😡
Inawezekana kweli ikawa ni mzaha tu, ila atakuwa anafeli sana kwa kiwango cha flyover... Japo pia hatuna uhakika, ndo maana nkakushaur ujarib kuchek na rafki yake wa mtaa unaemjua!
 
Ndio tunajuana lakini hatufahamiani
Nahuja, Mimi nnachokiona hapa
1. Rafiki yako analia kilio cha huruma, either katika urafiki wenu alishakuhitaji kimapenzi ukamkataa nae hataki kukubaliana na hali anajaribu kutumia hii mbwinu

2. Hajawahi kukutamkia anaumia ndani kwa ndani, anaona atumie hii mbinu ya huruma ili kukupata.

3. Ana upweke
 
Evelyn Salt huyu ni rafiki yangu katika kunywa pombe tu. hajawahi hata siku moja kunieleza mambo ya mapenzi. Lakini ukweli mimi na yeye wote ni watu wazima sio watoto (kama wa JF) hahahahaha
 
NAHUJA mbona hujibu maswali ya msingi wanayouliza wadau, jamaa ashawahi kuomba mzigo b4 ukamkatalia?
 
NAHUJA mbona hujibu maswali ya msingi wanayouliza wadau, jamaa ashawahi kuomba mzigo b4 ukamkatalia?
Hapana hajawahi. ila kuna sehemu nimejibu kwa mfano kama hapa hivi:
Evelyn Salt huyu ni rafiki yangu katika kunywa pombe tu. hajawahi hata siku moja kunieleza mambo ya mapenzi. Lakini ukweli mimi na yeye wote ni watu wazima sio watoto (kama wa JF) hahahahaha
 
Mmh nimejaribu kupiga haipatikanj[emoji47][emoji47][emoji24]
 
Mkuu yani unajua hadi ananitisha. Nimemuuliza swali, kuwa anavuta bangi? akanijibu kwa kifupi kuwa hata South Africa inaruhusiwa. yaani hadi muda ninavyotaipu hii comment bado sms zinaendelea kuingia za kuwaaga wanaJF!!
Ana no nyingine? Ya tigo haipatikani
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…